Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kiukweli huyu binti kila nimwonapo ktk picha napata hisia kali juu yake, mpaka nimebandika picha zake chumbani kwangu. Kwa ufupi nampenda sana huyu dada, naomba yeyote atakaeweza kunikutanisha nae...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Wapendwa wa bwana katika pitapita yangu nimegundua kuwa kati ya mwaka 2008 hadi hivi tunavyosoma hii mada ni kuwa ndoa nyingi zimekubwa na misukosuko ambayo mingine imepelekea hata kutengana...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!! Natumai mu wazima! Leo nimeleta tena kwenu Upembuzi Yakinifu Niliofunya Mimi Lara 1 binafsi! (Ujue mtu sio kufanya study, research ya mambo ya shule tuuu hata ya...
8 Reactions
52 Replies
6K Views
1.We MUONGO Mwanamke kuwa muongo katika mapenzi ni kitu kibaya sana kinachosababisha wanaume wengi kupoteza imani naye kuweza kuishi naye kimaisha katika maisha yao yote. 2.MBINAFSI Mwanamke...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
Hamjambo wadau wa mmu? Shida yangu leo ni msaada wa kupata namba za simu za mwalimu mmoja anayefundisha Majengo Sekondari Moshi. Ninaamini huku JF hasa hapa mmu wapo watu wanaomfahamu huyu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
R.I.P Ngwair,Langa-habar wana jamvi Nautandika uzi wangu huu hapa kuomba ushauri nifanyaje au dawa yake ni nini katika tatizo hili linalonisibu! Nina mpenzi wangu niko kwenye mahusiano mwezi wa...
3 Reactions
198 Replies
20K Views
Mara nyingi tumekua tumesikia/tumeona Baba na Binti yake wakiwa na mahusiano ya kimapenzi kuliko vile tulivyosikia au tuseme ni mara chache sana sana kusikia Mama na kijana wake wana uhusiano...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Imani kubwa kama hii ni ushindi dhidi ya mwovu shetani ndani ya familia zetu. Binti mwenye imani kama hii aliyasema haya baada ya madaktari na wauguzi kumulazimisha ajifungue kwa njia ya kisu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wdau nauliza swali.kwan lazima penzi ndo ujue kuwa mpenzi anakupenda? Am jon 0786237866
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Demu wa mshiaji alimwambia kuwa aliwahi kuwa na mpenzi hapo mwanzo lakini aikuwa hajawahi kusex hivyo hakuweza kumtoa ubikra. Alikuwa akiweka tu demu anapiga kelele na uoga wa men alikuwa anatoa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
km pazia la utaftaji wenza uraian ltafungwa lbakie l JF wng 2tadanja bachela yn kwny vigezo vyao m nna k1 kwmb am man bs
0 Reactions
64 Replies
4K Views
Kumpiga siwezi....kukimbia nyumba siwezi....kumwacha siwezi maana nampenda zaidi ya nafsi yangu...nabaki kuumia tu kiti changu ofisini ndokimegeuka kitanda changu....maana usiku silali nikilala...
4 Reactions
41 Replies
4K Views
Mwanamke anapokwambia kiukweli wewe sio my Type, isipokuwa ninacho kupendea ni hilo umbile la Umee wako kwani maishani mwangu sijawahi bahatika kupata mwanaume mwenye umee kama wako.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarin wadau.., Nmekuwa nkikerwa na mada zinazoletwa hapa na watu wasiojua chochote zikiwaponda dada zang wa kchaga. Kwanza kabisa niweke wazi kuwa mimi ni Mbena wa huko Njombe. Kwangu mie...
2 Reactions
80 Replies
5K Views
Nina uhakika namna majina yetu yanavyohusika kwenye kuzielezea tabia zetu ' Pia hata sura nazo ni hivyo hivyo ' Nimejaribu kufikiri namna pia wa uchaguzi wa utambulisho hapa JF(ID's) ambavyo...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Hebu tuambie,zipi sifa za demu mtamu,anatakiwa aweje,maumbile nk... Wenye uzoefu tupieni mitazamo yenu hapa!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimekua nikifuatilia post zenu akina dada wa humu Jf. Nataka mchumba, na details zenu zinaonyesha kuwa ni vifaa vya ukweli. Swali langu ina maana huko mtaani hamuonekani?
1 Reactions
95 Replies
7K Views
Hamjambo jamani? Mi ni mgeni humu! hodi hodi kwa swali! hv kati ya alfajili,mchana,jioni na usiku upi ni muda mtamu kwa kupeana raha safi na mpenzi wako bila presha wala distabansi yoyote?
0 Reactions
50 Replies
14K Views
Jf ndio maskani yake. Nimekumiss
0 Reactions
30 Replies
3K Views
"Life For Rent" BY DIDO I haven't ever really found a place that I call home I never stick around quite long enough to make it I apologize once again I'm not in love But it's not as if I mind...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom