^^
Inaelezwa na wataalam wa mahusiano kuwa,wanaume wengi hushangaa ni kwa nini siku ya pili ya kuanza kwa safari ya ndoa,wanaanza kuwalinda sana waume zao na kutumia mbinu za kike kama...
Hbari zenu wakuu
Nimatumaini yangu mu wazima na mnaendelea na pilika za hapa chini ya jua.
Nina Rafiki yangu (me) kaniomba ushauri.
Kutokana na 7bu tofauti tofauti ikiwemo masomo+mapenzi...
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kutokana na ama kutojua staili au kuwafikiria zaidi wanaume wawapo kwenye majambozi kitu ambacho huwafanya wasifurahie tendo la...
Hivi kumbe suala la mapenzi linategemea na uwepo wa wazazi sikujua, hili suala limeanza kunisumbua sana koz mpenzi wangu niliyetegemea kumuoa tuliachana eti kwa kua sina wazazi.Sasa nikianzisha...
Naomba wataalamu, wazoefu, wenye mbinu bila kusahau wenye imani zote wanijuze namna ya kupata mtoto wa kike na wakiume katika ratio sawa kwenye ndoa.Nathamini jinsia zote ila napenda mchanganyiko...
VAZI LA NUSU UCHI LAZUIA NDOA KUFUNGWA JIJINI DAR. **PADRI AGEUKA MBOGO NA KUWATIMUA WAPAMBE
KIVAZI cha ndugu wa maharusi, kimesababisha patashika katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu...
Mwanamke anaonekana kuwa mzuri anayetamanisha na anayefaa kuoa pale anapokuwa siyo mkeo, lakini akishakuwa mkeo kila kitu kinabadilika.
Sijasema anakuwa mbaya lakini.......
Katika kuishi kwako huenda kuna cku ilishawahi ingia call mpya kweny cm yako ikiomba uhusiano wa mapenzi either m/me or m/ke au ktk ambao walishawahi kukuPM ila ilipofika wakati wa kutimiza...
Habari anajf.
Ni mara ya pili nafika katika jukwaa hili nikiwa na wazo moja.
Nilikua na uchumba na binti mmoja bahati nimemzidi umri kidogo nimemaliza elimu yangu yeye bado yuko shule Mungu si...
Nina mchumba ambaye tunapendana sana na sasa ni mwaka wa 5 niponaye kwenye mahusiano yakimapenzi.Ila dini zetu ni madhehebu tofauti na wazazi wake wanataka mm nibadili dini nifate dini yao na mm...
At 23 years old he began working and saving and saving some more. By age 30, hed amassed some $800,000 in cash and investments, and then entered early retirement.
The Rule of 70%
While a...
Takwimu za hivi karibuni za Serikali kupitia Wizara ya Afya zinaonyesha D'Salaam pekee inakadiriwa kuwa na machanguduo 7,500 ambapo kwa kila machanguduo mia moja, 31 wameambukizwa UKIMWI. Takwimu...
hivi wana jf naomba mnifahamishe ..hivi unapoamua kumwoa mwanamke yeyote tk familia yeyote ,pale unakuwa umemwoa huyo mwanamke au umefunga ndoa na ukoo wake mzima?
Waswahili wanasema Ukstaajabu ya Musa utaona ya FIlauni!ni kwelii ndugu zangu!yametokea na muda huu ninaoandika ndivyo ilivyo!!
Hali ilikuwa ivi mdada cheupe dawa toka kanda ya juu,alinogewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.