Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Imekuwa ni jambo la ajabu sana kwa msichana wa kiafrika kutongozwa mara moja au mbili na kukubali. Ili msichana wa kiafrika aweze kukukubalia inaubidi umtongoze zaidi ya mara kumi na mbili. Uongo...
1 Reactions
70 Replies
5K Views
wasalaam wadau,naomba kujuzwa wadau katika hili,je kuongea na kuchat na girlfriend wako had usiku wa manane kila siku iendayo kwa mungu inaboresha au inaua mapenzi yenu? Kuhusiana na kuchokana je...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wapendwa,kila nikikumbuka nachanganyikiwa. Mwaka 1993 nilinanihii na dada yangu usiku,mvua ilikuwa inanyesha kwa fujo,chumba cha dada kilikuwa kinavuja sn,akaamua kuja kulala kwangu,vituko...
0 Reactions
40 Replies
3K Views
Wadau jana nilikuwa kijiweni na jamaa zangu,wakati tunastorika as usual walipo vijana story kama sio siasa basi ni masuala ya mahusiano. Jamaa mmoja akaja na wazo ambalo ilibidi ni think na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Shida inakuja pale ambapo wewe ni mgeni,mwenyeji uliyemtembelea nyumbani kwake kuna tabia ya kutoka na maji ndani ukiwa unahitaji kwenda chooni,hii namaanisha kwamba chooni huwa hakuwekwi maji
0 Reactions
4 Replies
991 Views
Mambo wana Jf, Katika pita pita zangu za Humu jf, nimegundua kna vijana wanapenda sana mteremko, wanapenda kulelewa. Unakuta Dogo ana 26yrs anatafuta mtu mwenye 45 or 50 yrs, Pia anatanguliza na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana jf hapa mtaani kwetu kuna baba mmoja ni mtumishi wa serikali(Mwalimu) anamgegedua mwanawe tena hadi kampa mimba na akaabort lakini jambo la kusikitisha ni pale alipoamua kumuwekea...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Habarini za mchana wadau, Poleni na kazi za kuutafuta mpango mzima.....si mnajua ndo pekee wa kukuwekea heshima mjini hapa?so utafuteni kwa bidii. Binamu yangu amenipatia story (katika maongezi...
5 Reactions
89 Replies
8K Views
uchunguzi uliofanywa na Mkemia mkuu wa Serikali katika utafiti wa miaka mitatu, huku wanaume wanaolea watoto halali ni 52.7% sasa wanajf tuangalia ile swala kwa makina maana ishakuwa majanga...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
ZIFAHAMU DALILI 8 ZA MWANAMKE ANAYETOKA NJE YA NDOA Wataalamu wa maswala ya mahusiano wanaamini kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa kuliko...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
yaani leo nina hasira kishenzi... unajua nimechukia hadi najichukia. na kama ningekuwa na uwezo wa kumakata mmoja ningempa kichapo chenye kichapo.. na ningekuwa na uwezo wa kutukana, ningewatukana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari forum, nina rafiki wangu wa karibu anayefikiria kumtambulisha mke wake wa nje pamoja na mtoto wake wa miaka miwili aliyemzaa na huyo mwanamke kwa wazazi......tayari huyu rafiki yuko kwenye...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Iwe ni mwanamke au mwanaume kila mtu anaingia kwenye ndoa kwa sababu ya kusaka furaha wala si kutukanwa na kusimangwa.Mwanaume yeyote ambaye anamsimanga mkewe na kumtukana huyo ni --------.Wapo...
0 Reactions
0 Replies
765 Views
umesoma tuhuma zako, imekuwaje mkuu wife kajua ID yako, soma uzi huu-"kama mbinguni wanaenda wenye ndoa basi sitaeda"hii ni nouma, umejiandaa kukabiliana na hilo au ndo unamwambia nyumba ndogo...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Yvone Nelson & John Dumelo. Hii ni picha ya mfano wa wapenzi wenye furaha na wanao furahia maisha yao ya kimapenzi. Hakuna kitu kizuri katika maisha ya mwanadamu kama...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
waungwana kumekuwa na msemo kwamba asilimia kubwa ya kina dada wanapenda sana magari kiasi cha kwamba ni rahisi kwa binti au mwanamke kuingia kwenye mahusiano kwasababu amemuona mwanaume ana gari...
5 Reactions
127 Replies
10K Views
Mila na desturi zetu zinakemea chumba cha kulala cha wanandoa kuingiwa hovyo. Hasa na watu ambao wamefikia balahe au kuvunja ungo. Chumba cha kulala cha wasichana au wavulana, kwa mila na...
20 Reactions
119 Replies
23K Views
^^ Naomba tujadiliane kwa mabinti ambao wamekutana na wanaume ambao hawako tayari kwa harusi au kuhalalisha ndoa. Anakupenda sana lakini kwa sababu ambazo pengine ni za msingi au la! Hayuko...
2 Reactions
86 Replies
6K Views
Kwenu wana JF,Kuna totoz nilikutana naye na tukapendana sana baada ya kuzindua album miezi michache tu akaenda chuo. Kimbembe kilikuja alivofika chuo tu mwezi uliofuata akanitangazia uhusiano wa...
2 Reactions
38 Replies
3K Views
Urafiki ni kitu muhimu sana. Kuna urafiki na uchumba, watu wengi huchanganya pamoja vitu hivi. Uchumba ni aina ya urafiki kati ya msichana na mvulana walio na matarajio ya kuoana.
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Back
Top Bottom