wadau mi huyu maza simuelewi kabisa,nilipokuwa nahamia akadai eti nyumba yake haiwekwi mapazia.ilikuwa bonge ya soo ilibidi nitumie ubavu ndio niweke mapazia.coz akiwa anapita anaenda toilet...
Mkemia mkuu wa Serikali amesema zaidi ya asilimia 48 ya wanaume waliojitokeza kupima vipimo vya DNA wamegundulika kubambikizwa watoto!
Takwimu hizi ni majibu ya vipimo vilivyochukuliwa miaka 3...
Nina mpenzi wangu (mjita) ambae nimedumu nae kwa zaidi ya miaka miwili na nusu sasa, tunapendana sana kwenye shida raha kwani ameridhika na hali yangu ya kimaisha! Alikuwa anafanya kazi kwenye...
uko na mwanamke kwenye mahusiano hata wiki haijaisha unakuta anaanza kukubomu mara anataka pocket money kwa ajili ya matumizi madogodogo mara mama yake anaumwa zinatakiwa hela za matibabu mara ooh...
ndugu Zangu wanajf,nipo katika wkt mgumu wa kuamua nifanyeje kutokana na hali ilvyo,nina mpenz wangu na ninampenda sana naye pia naamini ananipenda pia, ni kabila lake, yaani ndugu, jamaa na...
Vijana tukiwa kwenye harakati za kutafuta mwenza wa maisha tunakumbana na mambo mengi sana unless uwe na bahati sana kumpata yule mnae match. Moja kati ya mabinti niliokua na date nao alikua ni...
Asilimia 90 ya watu wenye roho mbaya husababishwa na vyakula,hapa nina maana kwamba watu wengi wenye roho mbaya ni kwa sababu chakula kwao wanaona ni kitu cha maana zaidi kuliko kitu kingine...
Jaman yan najuta hata kupenda maana kila cku mateso haya ishi ama kweli nimeamin gal akijua unampenda lazima akusumbue yani nahis kama nimebebeshwa gunia la chumvi
Iwe ni mwanamke au mwanaume kila mtu anaingia kwenye ndoa kwa sababu ya kusaka furaha wala si kutukanwa na kusimangwa.Mwanaume yeyote ambaye anamsimanga mkewe na kumtukana huyo ni --------.Wapo...
Habarini wadau,naomba mnisaidie hili suala,shangazi yngu ana saluni ya kike(dressing saln),ni wk 2 sasa kuna mfanyakaz amekuja wa apo salun,na tangu amekuja sio siri nimetokea kumpenda na...
Wana jf, nmewaza na kuchambua hatua za Mapenzi, nazo ni;-
1. Huzaliwa
Kuzaliwa kwa mapenzi ni pale unapatwa na hisia za upendo toka moyoni kwako kwa mtu mwingine.
2. Huishi,
Mapenzi...
dunia ya sasa imebadilika sana, toka nikiwa mdogo mama yangu alikua akinifundisha na kunihusia nijitunze nisikubali kulala na mwanaume yeyote hadi yule ambae atanioa,kwani kwa kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.