"HAVING MANY GIRLFRIENDS/BOYFRIENDS DOESN'T MEAN THAT UR HANDSOME BOY/BEAUTY BUT IT MEANS THAT UR CHEAP, SINCE CHEAP PRODUCTS ARE THE ONES WITH MANY BUYERS." Take care coz many are involved...
Wadau Nina Mchumbangu Ambaye Natarajia Kumuoa Mda Mchache Ujao,ila Ye Nmemzidi Mwaka Mmoja Tu,vp Kuna Athar Zozote Nkimuoa Huyo Mwanamke Kwa Kuwa Umr Unakalibiana?
Kwa usema kweli my wife amesafiri, tokea aondoke kila mda akipiga simu mara oh uko na mwanamke?mara aseme nisogelee tv kama ni usiku,akipiga simu labda imeishiwa moto hapo ugomvi sasa leo kapiga...
Habari wana JF, natumai ni wazima. Kwa wale waliofikwa na matatizo au kuwa wagonjwa kwa siku ya leo poleni sana.
Baada ya kutokea tukio la Arusha la mke kutaka kumuua mumewe pamoja na mtoto wa...
Baada ya kuachwa na mwanamke wangu wa kwanza.pamoja na maumivu yote moyo wangu haukuacha kupenda.nimempenda msichana mmoja.nimejiuliza kama mwezi mmoja kama kweli nimempenda nikagundua kweli...
Imebainika kwamba, iwapo warsha na makongamano yanayofanyika mbali yakitumiwa vyema na watu walio single na wanaotafuta wenza wa kufunga nao ndoa husaidia kufanikisha jambo hilo.
Kwanza...
Katika miaka yote tangu tumeoana mume wangu amenizidi kipato kwa maana mshahara wake ni mkubwa kuliko wa kwangu..lakini mara kwa mara yeye analalamika hana pesa. Sio tu kwamba analalamika lkn...
Jana nilileta mada ya hasara ya kuchelewa kufunga ndoa, kama mjuavyo kwa sasa hivi hapa jamvini kuna tatizo la watu kuto kujibu mada husika na kumshambulia mleta mada. Sasa nilitegemea ningepata...
Nina Ukimwi nahitaji mpenzi wa ukweli kwa ajili ya ngono tu, hakuna kingine. Kila tukikutana nitamlipa above 300,000/=
Siyo mimi Majaribu2013, Ni rafiki yangu alikuwa akinieleza!
Unataka? Send...
Wanajamvi,
Jioni hii tumepata barua ya Joining instructions ya mtoto tunaeishi nae ndani, tukaamua tukusanyike familia yote tusome wote kwa pamoja ili tujue tutajifunga vipi mkanda kumwezesha...
1 When a Boy says Sorry even though He didn't do
anything.
2 When a Boy cries because he still Loves you or
misses you
3 When a Boy still tries to get you Back.
4 When a Boy no...
Mungu nijalie demu mpenda
pesa
kila siku nipigane kuwa
bakhresa
Asinipende mimi apende verosa
Wana wamegewa wengi ndio
kitu wamekosa
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi...
Kwa kweli mi ni kijana 29 years nimeoa na mtoto mmoja binti wa mwaka 1, toka nimezaliwa sijabahatika kukutana na msichana bikra na wala sijawahi bikiri. Ili jambo linaniumiza kiasi kwamba najiona...
Heshima kwenu wakuu.
Poleni na majukumu ya kila siku. Hili suala ni gumu kuliko linavyofikirika na jamii na watu ambao hawajapatwa na mikasa migumu. Ndio maana unyanyapaa unaendelea kutawala...
Habari zenu great thinkers.
Nimekuwa mfuatiliaji wa jamii forum kwa muda mrefu lakini leo nimependa kushare nanyi kuhusu malezi ya watoto wetu wapenzi
Siku hizi Dunia imebadilika sana si vizuri...
Kuna mshikaji hapa mtaani mkewe kazaa na jirani yake na mtoto ni copyright na babaake. Yaani kila kitu, ni aibu. Katoto chenyewe kanafanana na watoto wa jirani (bana mzazi). Mtaani kila mtu anajua...
Najua siko perfect lakini najivunia kua mimi. Najipenda hivi nilivyo. Najivunia kuzaliwa mwanamke. Namshukuru mungu kwa kuniumba mimi. Hakuna hawezaye kuwa mimi.
Kuna watu wanajichukia...
Mfanya biashara wa madini ya Tanzanite mkazi wa Moshono mkoani Arusha inadaiwa alipanga na majambazi wamuue mumewe ili aweze kumiliki utajiri alio nao. Inadaiwa licha ya kutaka kumuua mumewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.