Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Bweta La Uhalifu - Ndoa Hadaa? - Full Video - YouTube je tutafika?????
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Wadau, Najua kwa namna moja au nyingine tumewahi kuhonga na kuhongwa katika mapenzi! Ni kiasi gani kikubwa kabisa ulichowahi kumhonga mtu au kuhongwa? Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
0 Reactions
22 Replies
2K Views
wenzetu wanasema upendo wa kweli huwa unadumu milele,kuna rafik yangu wa kike alifunga ndoa na jamaa fulani mwenye uwezo mzuri tu. Walikuwa na mpango wa kwenda fungate Kuala Lumpur,Malaysia,lakin...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Sexing to married couples is more than "Scratch my back and I will scratch your back", and has something immeasurable and wonderful in it that sometime makes people cry,die and reveal hidden...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dada zangu inabidi tuambiane ukweli inapotokea ukaachana na boyfriend wako au mme huwa haupendi kabisa apate maendeleo utakuta matangazo mara mshamba sura mbaya hajui mapenzi ile hali mwanzo...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Mimi ni msichana wa miaka 25.miaka minne iliyopita nlikutana na kijana flani nkiwa chuo,tukatokea kupendana tukawa wapenzi.muda haukupita sana,huyo kijana akaanza nionesha his true colours akawa...
1 Reactions
67 Replies
5K Views
Habr za uck wapendwa wangu,upande wangu me mzma wa afya njema kabsa!!!!!! Imekuwa kama kautamadun vidume kuogopa kuombwa pesa na wapenz wao! me nashindwa kuelewa mantiki yako!! kwa mfano naomb...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
new member in dis forum
0 Reactions
11 Replies
981 Views
Mgomo wa kodi ya simcard Umeanza Kote Nchini, ninawataarifu wapenzi wangu wote kuwa sitapatikana kuanzia sasa... nimezima laini zote za simu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau natumaini baadhi yenu mnafuatilia Reality Show ya Big Brother Africa (BBA) season 8 inayoendelea huko South Africa. Mshiriki mmojawapo toka Tanzania FEZA ameanza mahusiano na O'Neal kutoka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1.Utajua majina ya vifaa na procedure za kidaktari. 2. Ni watu smart. 3. Ni watu walii tayari kukesha na wewe kama unataka iwe hivyo. 4. Hutakaa foleni za kuonana na daktari hospitalini. 5...
2 Reactions
95 Replies
12K Views
nimekuta mesage ya namna hii (habari dear, mzima weye na watoto wangu. Nimekumisijeee) . Hiyo ni meseji nimeikuta kwa mume wangu je nimese au naibiwa
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Siri ya Furaha ya Familia Jinsi ya Kuanza Kuaminiana Tena Steve*: “Sikuwahi kuwazia kwamba Jodi angefanya uzinzi. Niliacha kumwamini kabisa. Siwezi kueleza jinsi ilivyokuwa vigumu kwangu...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau, nawaletea story ya kweli.ni hivi, nlikuwa na rafiki yangu (naomba nisimtaje jina ila nitawapa majina bandia.) na mpenzi wake. Huyu rafiki yangu Juma na Asha,walikuwa wanapendna na wakiishi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanajamvi msaada Nina mpenz wangu tumedumu naye muda mrefu (miala minne) mpaka baadhi ya ndugu zake wananifahamu. Tatizo la mchumba wangu huyu anasema hawez kuvumilia mapenz ya kukaa mbali kwani...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ili kutafuta heshima au nini?
0 Reactions
42 Replies
7K Views
Leo nilimtembelea rafiki yangu ofisini kwake hapa mjini opposite na ofisi za VODACOM. Ukweli mahusiano ya rafiki yangu na sekretary wake yamenitisha sana. Kwanza Sektretary mwenyewe amekaa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wana jf naomba kujua hapa kwenye mausiano inapotokea mwanaume anatembea na rafiki wa girlfriend wake tatizo ni nani kati yao?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimeenda kufanya participant research msukuma wa watu na ushamba wangu oohh kumbe huku iringa kuna ulanzi na commoni, dah? Ktk participant research lazma ubugie lol,nikaipenda umh? Nikapenda pia...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Pengine ni kukumbushana akuna kipya tushaweka vya kuwekwa na kusomwa na vingine vinalea ndoa za watu leo hii hata kama atujapata ahsantenirudi kwenye mada kuna watu wengi wamekuwa wakiteseka...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom