1. Mwanamke anaposema, 'sasa hivi' au 'dakika moja tu,' maana yake ni kwamba, ni nusu saa ijayo. kwa mwanamke sasa hivi ya kujiandaa ina maana sasa hivi ya muda mrefu mara sita zaidi kuliko ule...
Mwanamke anayedaiwa kupanga njama za kumuua mumewe wa ndoa na mtoto wa mume huyo, amepandishwa mahakamani akiwa na mtuhumiwa mwingine wa mauaji hayo.
Janeth Jackson (32), mkazi wa Moshono...
ninawajua wote ni wapenzi tangu 2007 huko...
juzi all of a sudden jamaa ananitumia message kwamba anaoa...sikutaka kujua anamuoa nani maana mhusika namjua...good enough yule mtu wake sasa nae...
For talking to Women and getting their attention
Many men are never taught how to talk to women. Because of this many guys go through life without the ability to attract a woman. Here are 15...
kuna jamaa yangu anampenzi wake.ni miaka mitano sasa walisoma wote advance.mpaka university demu wa mshikaji alishawahi fika kwao na mshikaji wangu mara nyingi sana mpaka kuishi kwa muda hasa...
Wakuu naombeni ushauri mimi na mpenzi wangu tumekuwa na mahusiano kwa kipindi kirefu sana bila kuduu,mpenzi wangu yuko mwaka wa pili sasa ni mfanyakazi tayari ,imefika muda wa mimi kumjua vizuri...
Nimeona niliweke hapa jf kwa watu wenye akili timamu na wanaojua kushauri watu kitaalam. Nimepata binti lakini nimetumiwa picha za x wake akiwa anamkandamiza. Hii kitu imeniumiza sana na mda si...
Leo nilikuwa kwenye semina mahala. Topic hapo juu inahusika, zikiwemo ni zipi sababu nzuri na ni zipi mbaya za kuoa/kuolewa? Na pia uzuri unachukua sehem gani katika swala zima la uchumba.?
Jamani wadada wa JF ni wagumu, wabishi, hawashikiki, hawakamatiki, hawaambiliki, hawatongozeki! Sijui haya yananikuta mie tu au lah, yaani kila ninayemtokea, requirements kibao:
Unaendesha gari...
Mwanafunzi wa Malinyi S.S amevunja ndoa ya Salum Njewike ambaye aliamua kuachana na mkewe baada ya ugomvi wa muda mrefu uliosababishwa na binti huyo ambaye ameacha shule bada ya kunogewa na penzi...
Nawasalimu wanaMMU.
Nimeona nichukue muda huu tushauriane swala muhimu sana katika maisha yetu yanayoelekea kukomaa sana siku hizi. Swala la mahusiano ya mbali na hasa kwa wanandoa. Kuna baadhi ya...
Jackson ni mtu wa Njombe lakini anaishi Dar es Salaam, kijana mtanashati tu na mwenye kazi yake nzuri. Lily ni mdada wa njombe lakini anafanya kazi Mafinga (ni nurse); vijana hao wawili wanajuana...
Habari zenu jaman, naombeni mnisaidie ndo mapenzi haya au mimi ndo mshamba?
Nina boyfriend amepanga na mm pia nimepanga, kila mara huwa anakuja kwangu na mara chache huwa analala lakini kila...
My dear brothers and sisters,if ur given a second chance,would marry your spouse again??if ur answer is YES/NO please explain why u would or wouldnt do that.Please be honest as i do believe not...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
Kama kawaida nikiipata nawaleteeni ya moto moto kabla haijapoa! (Siku mkisikia nimekodiwa mashujaa band kuja kusutwa mniteteeee) Msinichoshe, nisiwachoshe ...
Jana nilipata mtihani ambao uliniweka roho juu kwa masaa taktiban nane.
Ilikuwa ni baada ya kupata staftahi majira ya saa 4:00 asubuhi mwanangu wa kiume wa miaka mitano alikwenda nje kucheza na...
Habari za leo wana JF! Naombeni msaada wa ushauri, mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, kuna mwanamke nimezaa naye mtoto ambaye hivi sasa amefikisha umri wa miaka mitano! Sasa nimekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.