do you disclose your total salary package to your spouse.
I know some companies reviews salaries annually, do you disclose it when you get home?
Promotion is celebrated by couples, do you disclose...
Ni jamaa fulani huku kwetu,Ni baada ya kusaritiwa na mpenzi wake na kuamua kujinyonga.
Kijana huyu alikuwa mwaminifu sana kwa mpenz wake,cha ajabu ni pale alipoanza kugundua kuwa mpenzi wake ana...
Ok Nina wifi yangu jamani.aliolewa na mtu wa Iran lakini huyu mume wake alizaliwa USA hata Huko Iran hakujui.Huyu wifi yangu amesoma Yale university na hakufanya kazi tangia aolewe na mumewe.mume...
Wana JF nimejaribu kufanya utafiti kidogo na kugundua kuwa asilimia kubwa ya mme na mke huwa hawana maongezi ya furaha wakati wakiwa kwenye vyombo vya usafiri wakiwa wanaelekea sehemu mbali mbali...
Kuna mwanamke nilimpenda sana na tukapeana ahadi ya kuoana, baada ya makubaliano hayo alikuwa na mtoto nikaamua kumsomesha kwenye shule ya English medium karo zaidi ya milioni moja na mtoto huyo...
Unakuta umeoa mke na mna watoto wawili au watatu. Mke anafanya kazi kipato chake ni kama 1m kwa mwezi, na wewe unafanya kazi kipato chako ni hicho hicho. Matumizi ya home anakutegemea wewe (mme)...
Leo katika pitapita zangu
kwenye mtandao
(internet) nikakutana na
hizi chuma
nikaona sio
mbaya nikiwashirikisha
wadau. Jamaa wanaeleza kinaga ubaga maujanja
muhimu sana ambayo
unaweza...
Wandugu naombeni ufafanuzi/elimu kuhusiana na hili. Iwe kwa experience ama taaluma, ntashukuru kupata majibu.
Kuna mama mtu mzima aliolewa ndoa ya kanisani miaka mitatu iliyopita. Alikuta mume...
Kuna ka binti kamoja kalikuwa karafiki kangu tukipiga stori hii na ile,
Siku moja tumekaa tukiongea hili na lile mara gafla kakaniuliza swali hili,
"Sijawahi kumuona mpenzi wako, lakini hebu...
Mimi ni mwana "uma-jumuhi " wa kiafrika, ninaipenda Afrika, na ninautukuza sana uafrika wangu. Hata hivyo ninasikitika kuwataarifu wananzuoni wenzangu wa kiafrika, kwamba nimeoa...
TAFITI za kitaalamu zinaonesha kuwa, tabia za watu hujengwa na ndugu, marafiki au mazingira yanayowazunguka kila siku. Hii ina maana kwamba kama tutakuwa na marafiki au ndugu walikata tamaa ya...
Siku ya Jumatatu; tarehe 14 January 2013 ni siku ambayo Regia Mtema Foundation imeitenga maalumu kwa ajili ya kumbukumbu ya Regia Mtema. Katika siku hii maalumu wote mnakaribishwa Peacock Hotel...
Wadau kuna uzi wa jamaa kafumaniwa na mke wake akilawitiwa....na nyuzi nyingine nyingi tu za mimomonyoko ya maadili kwa watoto wetu wa kike na wakiume...
Hebu turudi tuangalie nini chanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.