Spiritual bond soul tie.Watch who you lay down with.Kila unayekutana naye kimwili kuna sehemu yake inabaki mwilini kwakoo.Ndiyo maana unaweza ukakuta wengine are...
Nini kilikuchochea, kushawishi na kukutumbukiza kwenye kadhia hii nzito ya feheha, na yenye sura ya utumwa binafsi wa kisiri siri?
Utumwa ambao ni mzigo mzito unao dhoofisha na kunyong"onyeza...
Wakati watu wawili mwanamke na mwanaume wanapokuwa kwenye kilele cha mapenzi, ni rahisi sana kila mmoja kuchunga kauli zake na kuongea yale ambayo yatamvutia mpenzi wake ili kila mmoja awe na...
Habari
Kuna mwanamke nimempenda ila ana watoto wawili, kazaa na mwanaume mmoja na wameachana kitambo sana, hata huyo mwanaume hawasilianagi nao wala hatumii mahitaji ya watoto.
Naombeni msaada...
Ndugu zangu habari za weekend wakuu
Kuna wakati mwanaume hutaki kukaa nyumbani kukwepa makelele ya mwanamke na maneno mengi yasiyo na mpango. Ila kuna kipindi mwili na akili vinachoka kudhurura...
Penny buana me nina makasiriko.
Mpenzi wangu buana amenipiga laki 5 akanikimbia akaja Dar.
Sa namtafuta mpaka kwao.kumbe kwao ni kwa mchongo.
Simu hapokei.
Money Penny: Hizo hela mlipeanaje...
Mwanamke mswaki wake ni mwanaume, Mwanaume ndio mswaki pekee wenye radha yake uliotengenezwa ili kumsukutua mwanamke.
Hata ukitumia kitu kingine huwezi kupata radha kama ya mswaki halisi.
Ile...
Wakuu habarini za wakati huu...
Niliwahi kuleta Uzi humu kuhusu mchumba wangu ambaye ni Mcha Mungu, bikira, mpole, mkarimu, mzuri n.k.
Nimegundua kwamba huyu mwanamke ana karama ya unabii pia...
Matukio yaliyonikuta mpaka nikaacha nyeto na kuhama CHAPUTA forever.
Dhumuni la kuleta uzi huu ni baada ya kuona kuna watu wanateseka sana na upigaji wa nyeto na wengine wanatamani kuacha ila...
Habari za muda huu wazee wenzangu.
Poleni na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Nyakati hizi kumekuwa na malalamiko na manung'uniko sana kwenye vyumba...
1. KIWANGO CHAKE CHA UVUMILIVU KTK SHUGHULI ZA KIUCHUMI. angalia amefanya shughuli ngapi za kiuchumi mpaka sasa, ukikujua kama alishawahi kufanya biashara nyingi kila anayoifanya kabla hajaimaliza...
Kama mfuatiliaji wa mitandano sasahivi kuna trending ya kupeana awareness na miongozo kuhusu mahusiano hususani suala zima la kuwa SIMP.
Hii miongozo mingi imekuwa ikiwahusu wanaume maana wanaume...
Kwanza mshukuru Mungu kwa kuwa mzima bila kasoro yoyote kama ulivyo, sasa twende kwenye mada.
Kuna kijana mmoja tulikutana kwenye group moja la Dini, baada ya mimi kushusha nondo flani na makala...
"Baby ili tuendelee na mahusiano acha kuvuta bange"" baada ya kuniambia hivyo nikamjibu tu kwa kifupi, ujue mpenzi nikivuta nakuona mzuri kuliko kawaida sio kama nisipovuta halafu nikiacha mchezo...
Shalom,
Katika maisha enenda kwa namna njema na ipasayo hasa katika mtazamo wa kibinadamu na katika Mungu, heshimu watu, salimia watu usivimbe na usijione una mpenzi mzuri na uko level za juu...
Sasa hivi vijana walio wengi hawataki wasichana rika lao na wanahitaji kulelewa tu.
Mikoa inayoongoza ni Dar es Salaam, Dodoma, Arusha sio kwa kiwango kikubwa ila wapo, pamoja na Mwanza. Wazazi...
Kaka zangu.....
Hebu kabla hatujalala tuambiane kakitu.
Kuna wanawake Mungu amewapa tu akili nyingi. Yaani naturally tu ana akili sana, ana mawazo ya mbali sana, ana upeo mkubwa, amekomaa...
Mimi ni kati ya wale ndugu wasiopenda kutongoza, ni mtu wa kuweka mitego tu bidada anaelewa mwenyewe hapa anaombwa utamu.
Mind you, huwezi mpata kila msichana kizembe namna hiyo. Hakika harakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.