Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ambae haja lala ani-PM tuchat ila awe jinsia ya ME. Karibu sana
0 Reactions
1 Replies
897 Views
Ni marachache sana kukuta mwanaume wa kizungu akiwa na demu wa kibongo(mbantu) aliyetulia,mwenye kujiheshimu,mwenye elimu au hata mwenye kazi mzuri. Badala yake ukikutana na hawa wazungu huku...
0 Reactions
83 Replies
24K Views
Wakuu this is a serious suggestion. Hizi hadithi za Mtambuzi ni hadithi nzuri sana. Mimi napendekeza zitengenezewe kipindi cha TV. Hicho kipindi kiwe kama soap opera lakini ziwe ni zile...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanajamvi habari za mchana, Ni furaha iliyoje tumepewa nafasi ya kufurahia kufika kikomo cha mwaka 2012 Kuna jambo ambalo linanitatiza kuhusu ndoa na historia zake yaani tangu wawili hawa...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
Juzi nikiwa kwenye mgahawa mmoja hivi.... pembeni yangu kulikuwa na wadada wawili wakijuviana mambo ya ofcn kwao. Mazungumzo yao ilikuwa kama ifuatavyo:- AA. ''ujue( jina) hajaolewa mpaka...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndio wewe apo, Nasema Na wewe.. Kati ya wajinga viongozi Na wewe umo, bahati mbaya wajinga wengi hawajijui Kwamba ni wajinga lakini Leo jiwekee mstari wa mjinga.. Hata ikikuuma ni Mjinga tu..pata...
4 Reactions
57 Replies
3K Views
Jamani mwenzenu ninamasikitiko makubwa sana. Shemeji aliyeoa dada yangu ananichukulia mke wangu, nilikuwa nasikia tu fununu siku za nyuma lakini sasa ushahidi umekuwa dhahiri. Kulipa kisasi kwake...
0 Reactions
60 Replies
6K Views
siku hizi kumejengeka tabia akifariki kijana anaotokea familia bora au kama ameacha mali,basi wadada wengi wajawazito watajitokeza na kusema marehemu ndio muhusika wa huo ujauzito,pia utaona...
0 Reactions
3 Replies
942 Views
Dada mmoja anayejihusisha na mambo y kununuliwa na kwenda kutoa kiburudisho kwa mnunuaji alikutwa na dhahama ya aina yake baada ya kukimbia uwanja juzi kati maeneo ya elizaberth lodge in Dada...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Some songs have the ability to bring fresh memories of someone from our past. Someone we crossed paths with and even loved with every beat of our hearts. Someone not even the stretches of time can...
0 Reactions
4 Replies
921 Views
1.Commitment+Intimacy+Passion= Consummate Love 2.Commtment+Intimacy-Passion= Companionate Love 3.Commitment+Passion-Intimacy= Fatuous Love 4.Passion+Intimacy-Commitment= Romantic Love...
1 Reactions
0 Replies
976 Views
Karibuni kwa mawazo mbalimbali kuhusu mada hapo juu,maana utafiti unaonesha kuwa ndoa nyingi huvunjika na sababu kubwa nisuala la usaliti je unafikiri nini kifanyike kupunguza au kuzuia kabisa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nilikuwa na mchumba wangu ambae tulijuana baada ya mm kuweka no. Zangu natafuta rafiki kwenye tv. Ndipo nilipopata wengi na mmoja wao ni huyu niliendelea nae tulikuwa tukiongea kwa cm na sms kwa...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Mapenzi ya Fesibuku BOY: Baibe, i know i did u wrong but i just ask 4 ua forgiveness.... GAL:[message seen] 3minutes ago. BOY: Hunnie, pliz just forgive me... am a human being and am not...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Picha haihusiani na habari hii................ Ilikuwa ni mwaka 1999. Wakati huo nilikuwa nimemaliza chuo na nimeanza kuishi peke yangu baada ya kukorofishana na kaka yangu aliyenileta mjini...
14 Reactions
41 Replies
5K Views
Kuna jamaa ana baa hapa mtaani. Kila siku anabadilisha wahudumu. Sasa hivi kaleta vitoto tupu kwenye baa yake, vinadanganya kuwa vina miaka 18 lakini ni wazi kuwa vinadanganya ili watu...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu ndugu wapendwa wana MMU wote, Kwa heshima na taadhima naomba kuwashirikisha mambo yangu wawili yanayohusiana na mahusiano kwa ushauri zaidi na majadiliano, Case no 1.. Kuna kijana...
8 Reactions
40 Replies
4K Views
Asubuhi unataka kusafiri mara mkeo anakuambia usubiri anakitu anataka akupatie, wakati ukisubiri mara ghafla mkeo anakujia na box la condom anakupatia huku akikuambia "nimeona nikupe hili box...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Sababu kubwa ni zile nilizozitaja kwenye jukwaa la sheria. Nimesimamishwa kazi najihisi mpweke sana. Any one wa kunifariji hapa jamani.
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom