Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wadau habari Kuna hiki kioja nimekutana nacho,kuna jamaa ameoa,mke wake anasoma chuo na jamaa anafanya kazi,wanapokua faragha mwanamke lazima afungue simu yake na atazame video za ngono ndo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna wakati tulifukuzia mrembo na jamaa mmoja,watu waliniambia nisishindane na huyo mtu mana ni mshirikina balaa,nilifanikiwa kuwa na huyo girl kimapenzi,baada ya hapo najikuta hisia zangu za...
1 Reactions
75 Replies
5K Views
habari wana jf,Ndugu wana jf naomba ushauri wenu katika hili,miez mitatu nyuma nilikutana na binti mmoja maeneo fulan,ikatokea katika muda mfupi tulikua marafiki wa karibu sana,muda mwing tulikua...
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Inawezekana ikawa kama kichekesho lakini limetokea kweli, mwanamke daktari amemng'oa meno yote mpenzi wake wa zamani baada ya kwenda kwake akitaka kutibiwa meno yalokuwa yakimuuma. Jisomee...
3 Reactions
60 Replies
7K Views
Miongoni mwa vitu muhimu katika maisha ya mwanadamu ni kupata furaha. Watu wengi wamekuwa na harakati nyingi za kuhakikisha kuwa wanafurahika katika kuishi kwao. Kuna wanaotafuta furaha kupitia...
3 Reactions
12 Replies
4K Views
We all know that the major benefit of sperm is its major role in the reproduction process. But aside that there are other major benefits women in particular derive from the male semen. Various...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Watu wa mjini hupenda kusema: "Wizi noma ila unyama balaa" Huu ni zaidi ya unyama, zaidi ya ukatili uliokithiri uliofanywa na wanakijiji wenye mioyo ya jiwe iliyokosa nyama. Tukio hili limetokea...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Mitihani mingine hapa duniani bhana, matatizo tupu. Hapa kwa work place yangu, kuna dada mlimbwende hasa, amesimamia kucha kishenzi. hana muda mrefu toka aanze job. Mimi ni kibosile wake, lakini...
1 Reactions
48 Replies
4K Views
Here are 7 types of women every man should date: 1. Submitted to God – If a woman is submitted to and passionate about living for God, she will be the same to you, assuming you’re a man...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hala kwa wapnz wote ivi kwani "PENZI LA WIKI " isiwe suluwisho la ugovi,dharau,madhaifu penzini ? Yan %PENZI LAWIKI% nikimaa nisha kika mwisho wa WIKI wapenzi wakutane au wa2miane sms juu ya nini...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Nilisoma naye O'level miaka ya 90; sasa nimekutana naye ukubwani anataka tuka-du - lakini namwogopa, kila tukipanga kuonana najenga sababu za kutoonana naye faragha. Sijui ni kwa nini moyo wangu...
0 Reactions
60 Replies
5K Views
Nimeandika mada hii kutokana na watu wengi kushindwa kutofautisha kupendwa kweli na kutamaniwa. Wapo walioingia mkenge kwa neno hilo hasa walio wageni katika uwanja huu wa mahaba. Ukiambiwa...
1 Reactions
21 Replies
27K Views
  • Closed
guys naombeni mwenye namba za dina marious nimsimulie mkasa wangu wa maisha naona mambo yanakua magum
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wana JF, jirani yangu ambaye ni close friend tunaishi nae amepata masahibu naweza kusema ni ya kujitakia lakini ndo mambo ya dunia. jamaa ni mtu wa ku socialise sana na mpenda lager mzuri tu. ana...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Most men become less caring and a little more aggressive after marriage. Infact, some become extremely violent. I think the new constitution should enforce compulsory psychiatric evaluation for...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Tyrese - How You Gonna Act Like That - YouTube
0 Reactions
1 Replies
840 Views
CLEAN VERSION; samahann' wakubwa.. Wadau mpo vizuri...☑ Mpaka kufunguka hapa kuna ishu imenipata..҉ Nimepitia experience kidogo ya kuwa single kwa takribani 2 and a half years...
0 Reactions
72 Replies
5K Views
Habari wana JF, Wakristo na Waislam wa Tanzania watakubaliana nami kwa sababu hizi; 1. Wanaume waoaji wengi wao hawapendi kuoa mwanamke anayevaa nguo fupi (kimini). 2. Wanaume waoaji wengi wao...
10 Reactions
61 Replies
9K Views
Ilikuwa kama utani uliponipigia simu na kuniambia una mpenzi mwingine. Ulijua ni jinsi gani nilikupenda na ukanipa maneno ya kuniumiza ili ujue kuwa nakupenda au lah. Nilijikaza kisabuni na...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
WATOTO huwa kwa kawaida wanajifunza kutoka kwa watu wazima. Hujifunza kutoka kwa wazazi, walezi, watu wanaoishi nao au kuchangamana nao na kutoka katika jamii inayowazunguka kwa ujumla wake...
6 Reactions
25 Replies
4K Views
Back
Top Bottom