Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hivi sijui tatizo liko wapi kwa huyu kinda hata aachwe? Hivi ni uhaba kweli wa madume au papara zake tu? Hivi kiu yake ni mlo au na uvivu umetuwama pia kwake? Huyu binti ni kinda kiukweli-ukweli...
27 Reactions
55 Replies
4K Views
Jamaa na demu wake walipanga kujiua,wakapnda kwenye gorofa la 10,wakaanza kuhesabu 1,2, ikifika 3 waruke,3 ilipofika jamaa akaruka dem akabaki na kujisemea "love is blind but I'm not...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Hakuna kitu kibaya maishani kama kuonekana upo katika daraja la chini kuliko kawaida kwenye jamii unayoishi. Kisaikolojia kuna madhara makubwa. Kitaalamu hakuna jambo ambalo hutokea maishani bila...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Katika maisha mawazo ni kitu cha kawaida kwa mwanadamu, lakini hata hivyo matumizi ya akili lazima yawekewe mipaka na isiwe ni kitu cha kawaida ubongo kuruhusiwa kwenda mwendo mkali kulingana na...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakubwa zangu shiakamooni!!!!!!!! Natumai wote mu wazima wa afya!!!!!!!!! Topic: Dating Life Style and Journey to the Wife Hood Guest: Ciello Host: Lara 1 Back stage: Zinduna Epilouge! Leo...
6 Reactions
175 Replies
10K Views
Wana JF, ningependa kujua wanaJF wa jinsia zote mbili ambao kupitia JF wabebahatika kupata wenza wa maisha na wameoana. Waje watuletee ushuhuda humu ili wengine wawe na moyo mkuu kuwwa yote...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimemtia mimba.Nataka nikatoe posa bila wazaz wangu kujua maana hawatanielewa niko chuo mwaka wa kwanza.naomba msaada nitumie mbinu gani?
0 Reactions
67 Replies
6K Views
Wakubwa zangu shikamooo!!!!!!!! Weraaaa weraaaaaaaaaaa! (Sitoi bila Helaaaaaa! Ooooopps off the records) Ijumaaa hii kama kawa kama Dawa Tunayo Young Blood in The House, Kizazi kipya hiki, si...
6 Reactions
47 Replies
3K Views
Jacky: Baby nipo Kariakoo kuna gauni nimeiona nimeipenda inauzwa elfu 25,000, ningenunua sema wallet nimesahau nyumbani, pls nirushie M-pesa darling James:*150# >> tuma pesa >> kwa Jacky >> kiasi...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
"Ninakufahamu sana. Tulikutana siku ile ya harusi ya …(anataja jina). Ulikuwa umevaa gauni la mikunjo ya chini la rangi ya pinki. Namjua mumeo, nawajua ndugu zako . …. na...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
dakika chache zijazo ntatoka ofisini(mitaa ya mwenge dsm) kuelekea hom, mawazo yamenijaa ni jinsi gani nitapata gari za mbagala. shida ni kubwa sana kupata usafiri. tatizo kubwa zaidi ni jinsi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Peace of mind. Tolerance. Maturity. Committment. SOLID FRIENDSHIP. Consideration. Caring and sharing. Beautiful well-behaved children. Financial stability. Good health. Family support. Loving...
0 Reactions
5 Replies
825 Views
Hivi kazi ya chupi kwa kina dada ni nini? Ukiivaa haionekani na usipoivaa haionekani Ukikaa vibaya ikionekana tu, utaskia 'umekaa uchi!' Ukikaa vibaya isipoonekana, utaskia 'umekaa uchi' Je kuna...
0 Reactions
54 Replies
14K Views
Kijiji Balaa nimekubwa na balaa ambalo nahisi linautesa moyo wangu. Kuna mwanamke nilikuwa nimemtongoza kwa muda mrefu takribani mwaka sasa. Ni mwanamke mzuri sana kwa kweli. Msema kweli mpenzi...
1 Reactions
114 Replies
13K Views
Jamani ukistaajabu ya Musa utaona ya tongue bifurcation(splitting). Kuna hii kitu ya ku-split tongue, mojawapo ya sababu zinazowafanya watu wapitie mchakato huu mgumu ni pamoja na kuongeza...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ukikumbuka miaka mbali mbali iliyopita, 1970; Nipende lakini usiniguse. 1980; Niguse lakini usinibusu. 1990; Nibusu lakini usifanye kitu kingine chochote. 2000; Fanya kila kitu lakini...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani ndugu zangu naombeni mnisaidie, demu wangu anataka tufanye mapenzi kila siku. Hivi nifanyaje jamani
0 Reactions
4 Replies
931 Views
Nina jamaa yangu ana mke na mtt mmoja,na mke wake ana wivu sana juu yake kiasi kwamba hataki kumuona jamaa amecmama na mwanamke kwan anadhan anaibiwa.Jamaa yangu ile hali inamkera na akaamua...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanajamvi habari , Nimetokea moshi nikiwa na nimekaa na msichana mrembo sana na tukasilimiana vizur na safari ikaanza huku nikiwa nashindwa hata kuanza na story kkwa huhofia uzuri wake na...
2 Reactions
94 Replies
7K Views
Habari za Mwsho Wa DUNIA leo Tar 12/12/2012 , ikifika saa 12:12:12 ndio Mwisho , nikaona ngoja 2agane vzr humu JAMVINI, Mimi nina Rafiki yangu ambae tumekuwa wote tangu utotoni mpaki tukafikia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom