The wedding monster
You can imagine the horror and shock on a mans face when he wakes up the night AFTER the wedding to find that the woman he once
knew transformed over night into this lazy...
Wakubwa zangu Shikamooni!
Peopleeeeeess!!!!!
Jamani mwaka unaisha huu, sasa mwaka umekuwa sugu sana kwangu huu, hivo nikaona niperuzi kwenye elimu ya nyota ukute nyota imezima kabisaa mie sina...
Yapo complicated
Atakuja kukuambia anakupenda lakini hayuko serious
Atakuja kukuambia anakupenda
yuko serious
mh! Utawatofautishaje?
mwingine kakubaliwa, anajitosa jumla mwisho wa siku...
Wakubwa shikamooni!!!!!!!!
How do you do my Broders n Sisters from Another Mother!!!!!!!!!
Mie mzima ila ndo mwaka wafikia mwisho hivooo, sasa pale kwa ofisi tumepewa PERFORMANCE EVALUATION...
habari wandugu,
natumaini asubuhi inaenda poa,leo nimekumbuka wimbo flani wa kwaya niliousikia kwenye mnuso mmoja weekend iliyopita unaitwa "zunguka zunguka",kuna mahali wanaimba "shetani na mama...
James (si jina lake halisi) ana mshangaa mke wake ambaye baada ya kuzaa mtoto ambaye sasa ana miaka miwili amekuwa akikwepa kuvua nguo na kubaki uchi wakiwa pamoja chumbani wakati haikuwa kawaida...
Miaka takribani 6 iliyopita, kuna dada moja mtu mzima kidogo alinieleza. Mdogo wangu, chonde chonde usije oa mwanamke ambaye nywele zake zimeshuka sana kuja chini katika kipaji cha uso wake...
Kuna uzi ulianzishwa kuhusu 'athari za tiGO'...nami nikachangia kutokana na taaluma na experience yangu nikihudumia waginjwa mbali mbali. Nikiwa na nia ya kutoa ukweli na kuelimisha jamii, naamini...
Heshima mbele kwa wanabodi + wandugu wote popote pale JF mtandao mkubwa wa kijamimi unapo patikana
Wana-jamii nimekuja mbeleyenu leo kwa nia ya kutaka mnipe ushahuri nifanye nini kwa majaribu...
Jana nilikuwa kwenye kikao cha wamama wa kanda ya ziwa,(wazanaki,wajaluo,wakurya,wajita) kufuatana na kundi letu. mimi sio wa kanda ya ziwa ila nimeolewa na mwanaume wa kanda ya ziwa hivyo...
Huyu dada ana umri wa miaka 42.
"
Ana watoto wa 5,mkubwa yuko form 5,kwa hiyo wanae wote wanasoma.
"
Dada huyu alifiwa na mumewe,baba wa wanae wote miaka 6 iliyopita.
"
Mumewe wa sasa...
jamani ivi what can a man do 2 please his woman...nimefanya so much for lakini bado hatosheki,we have dated for over a year,i'v olways been thre for her n i have yelled at her nor diss her lakini...
Mpo humu ndani???shikamooni wote kwa ujumla wenu.
Kwa kweli kabisaaa Haipendezi kabisa mwanaume kuwa bahili kwa galfriend/mchumba/au mke wake. Hata kama tunasaidiana lakini mwanaume lazima...
Kanishangaza sana huyu Dada wa saluni, nimemtuma
mtoto aniitie tuongee mambo mengine kabisa yeye anarudisha
jibu "Mwambie mi sitaki kuchezewa kabisaaa, kama anataka
aje nimuelekeze waliko wazazi...
Inawezekana ikawa ni kwenye mtoko wa kwanza, kutokana na mazingira kuruhusu na kuwa muafaka kwenu mkajikuta tu jambo hilo limefanyia bila nyie kujijua, au inawezekana baada ya mitoko miwili...
Naomba Nieleweke Hivi, Cjaja hapa Jamvini Kuja Kuleta Story Za Uongo Au Kufurahisha GENGE, Nimekuja Hapa Kwasababu Najua Kuna Watu Wazima Ambao WanaAkili Timamu za kuweza kunipa Msaada Wa...
Nauweka ukweli hadharani! Mwenzenu mwenye kucha ndefu na za rangi, macho mekundu na 'kifua cha haja' na 'usafiri' unaohanikizwa na mgongo wa kubinuka, hata ghorofa ntamjengea. Huwa...
Najua MODS wanaweza kudhani hii ni Chit Chat..lakini naomba wasiipeleke huko kabisa kwa sababu hii ni KWELI kabisa...na members wenzangu nilikuwa naomba kwa moyo wa Kitanzania kila mtu atambue...
Sio siri Tangu nianze kujihusisha na mambo haya ya Mapenzi najipongeza kwa kuwa na Kismati kweli, Yaani kila ninapokanyaga Demu WA KISHUA mwenzangu au Mfanyakazi Wa Benki au Mfanyabiashara, lakni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.