Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ni nini chimbuko la uvaaji nguo za ndani.. Zililenga kusaidia nini? Na mpaka wa sasa zina imuhimu gani?
13 Reactions
142 Replies
5K Views
HAKUNA ANAYEWEZA KUVUMILIA UMASKINI WAKO MAISHA YOTE NI VILE TU HANA PAKWENDA 😔 Achana na mifano ya kujifariji kuhusu wazee wetu walivyovumiliana kwenye umaskini maisha yote ni vile tu mmoja...
15 Reactions
31 Replies
1K Views
Tuiangalie dhana ya 50/50 katika nyanja ya uchumi kwenye mahusiano. Hapo zamani mwanamke akupewa access yoyote kiuchumi kuanzia ajira, elimu, kumiliki mali, uongozi n.k katika hali kama iyo ni...
4 Reactions
23 Replies
777 Views
Kumekuwa na kasi kubwa ya wanawake wengi hasa mijini kukosa nguvu za kike, nao moja tu uaanza kulalamika eti amechoka na visingizio kibao mara amechoka,mara anamaumivu mara anamawazo na n.k Nini...
5 Reactions
43 Replies
2K Views
Habarini wakuu Kesho kutwa jioni kama sio alasiri (16 April 2024) nitakuwa Dodoma mjini nikitokea mkoani Mbeya safari ikianzia wilayani Chunya kiofisi zaidi,kwa wenyeji wa maeneo hayo nitafurahi...
1 Reactions
10 Replies
568 Views
Huyu ni Binti wa 2001 tu hapo. Aliolewa aktelekezwa na jamaa akiwa bado mdogo na watoto wawili. Mimi nikajitosa kuwa nae kimahusiano. Nilijinyima nikahakikisha watoto nalea kama wakwangu wakati...
24 Reactions
142 Replies
5K Views
Mwaka jana mwishoni niliexperience hio kitu, asikwambie mtu. Acheni mapenzi yawe kitu chenye nguvu kubwa duniani. Mimi nimekua nikiona watu wanalizwa na mapenzi, ila niliwachukulia wanyonge wa...
10 Reactions
345 Replies
14K Views
Ingawa neno “uchumba” halipatikani katika Bibilia, tumepewa kanuni kwamba Wakristo wanastahili kupitia kabla ya ndoa. Kanuni ya kwanza ni kwamba ni lazima tutafautishe mtazamo wa dunia kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
293 Views
Baada ya penzi zito na mpenzi wangu, tena penzi ashteashte nakumbuka kuna day alianza niandaa kisaikologia kuwa nisitoke home, anashida ya muhimu nami, nilipojaribu kumsisitiza kuwa nachokifatiria...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari zenu Bila kupoteza muda Mimi naishi jijini Arusha, nimetokea kuwa katika Mahusiano na kadada kamoja hapa hapa Arusha. Mahusiano bado hayajawa deep kwani tuna muda mchache kama miezi minne...
7 Reactions
95 Replies
6K Views
Naweza kusema ni state of mind pale unapoona kiuno cha kike shanga zimeonekana kidoogo! Kile kimuhemuhe na ashiki unayopata na mawazo yako unakoyapeleka. Shanga ni kivutio cha asili kwenye...
49 Reactions
539 Replies
152K Views
Pambania unachokiamini, watunze unaowapenda,waheshimu wanaokupenda, mshike anayekushika, mpende anae kupenda, usipoteze mda kwa asiye na mda na wewe, life is too short! Ukimpata anae kupenda...
21 Reactions
122 Replies
3K Views
Kitu gani kilikutoa machozi, kukubaliwa, kukataliwa, kupewa au kuporwa mpenzi wako? kipi kilikuliza? 🐒
7 Reactions
231 Replies
4K Views
KAMA UNA SIFA HIZI BASI HUWEZI KUTEGEMEWA, HAIRISHA HATA KUWA NA FAMILIA 😔 1. Kila changamoto inakuliza na kukuumiza. 2. Mtu wa kulalamika tu. 3. Unaishi kijanja janja kukwepa majukumu. 4...
10 Reactions
22 Replies
2K Views
Kuna tabia ambazo tuseme ukianza kuziona kwa mtoto wa kike ambae ni mpenzi wako kama ilivyokuwa zamani unajua hapa kuna kitu hakipo katika penzi lenu kama zifuato. Hakutafuti usipomtafuta...
4 Reactions
29 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, Ndugu sio kama marafiki, ndugu atuchagui ila tunajikuta wapo kwenye maisha yetu tu. Ndugu ni kiungo muhimu sana kwenye maisha ya kila mtu hasa pale anapokuwa chanya kwako. Kwa...
4 Reactions
3 Replies
370 Views
Onyo: video hii ni yakuogofya hatutohusika kwa mfadhaiko wowote utakaokupata Ndugu zangu leo sina mengi nipo na hawa viumbe wapenda wadada wa kazi na wao kazi yao kufuga kucha na kusuka minywele...
3 Reactions
29 Replies
2K Views
Ni kinyume na maadili na ni uchafu kufanya mapenzi na mwanamke kinyume na maumbile. Ukikutana na binti anataka kufanyiwa namna hiyo ni bora uondoke. Tuache kabisa!!
3 Reactions
19 Replies
956 Views
Karibuni tena kwenye kiota cha Malavidavi hapa JF, leo Mjanja M1 nina swali kwako Mdau. Ni kweli unampenda mpenzi wako au unamuonea huruma tu? TIRIRIKA MKUU HAKUNA ANAEKUJUA HUMU.....!
1 Reactions
4 Replies
388 Views
Umuhimu wa kumuombea mume wako Kumuombea mume wako ni muhimu kwasababu unapomuombea mumeo ni kama unajombea wewe. Mafanikio ya mume wako ni ya kwako pia Unapomuombea mumeo inaongeza na kukuza...
1 Reactions
3 Replies
640 Views
Back
Top Bottom