Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
1. ACHANA NAYE na ulee watoto wako uliowapata ukiwa na mkeo. Unaweza kuamua kuoa mwanamke mwingine ama kubaki mseja daima. Kumbuka ukiamua kuoa tena hutapata malaika mwingine bali utapata mke...
18 Reactions
71 Replies
4K Views
Niliachana na aliyekuwa mume wangu miaka 5 imepita, kuachana kwetu kulikuwa kubaya sana kwa mambo mabaya yaliyopita katikati yetu. Sipendi kuyaeleza maana ni mabaya ila nilishayasahau na kuyaacha...
70 Reactions
323 Replies
16K Views
One day you are Married to Your Soulmate then you Watch them turn into Someone Else....; Sometimes you are so in Love with who a Person was, you can't bring yourself to Love who they have...
3 Reactions
13 Replies
581 Views
hii ni similuzi niliyoitunga nilpokuwa shuleni Pugu Sec. School yaani ni BOEZ. Ilkuwa mwaka 2020 October baada ya kumaliza form 4 matokeo yangu hayakuwa mazuri kuendelea na advance yaani kidato...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu, Leo nimejisikia kuwapa tafsiri halisi ya neno mapenzi, wadogo zangu mliokuwa humu na watoto zangu pia kwa ujumla, kokote ulipo ukiulizwa nini maana ya neno MAPENZI, Jibu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani wadau naomba mnisaidie ni zawadi gani naweza mpatia mume wangu.... nisaidieni.
0 Reactions
77 Replies
46K Views
Tunajua wanaume ni viongozi na vichwa katika familia zetu na majukumu ya mwanamume na mwanamke huwa yanafahamika vizuri tu ndani ya nyumba. Sasa ni kwanini siku ambayo mwanamume akipumzika...
1 Reactions
17 Replies
788 Views
Salute Comrades! Wanaume wenzangu njooni hapa niwape code kuhusu hawa wanawake ambao tumeusiwa tuishi nao kwa akili. Kawaida yetu sisi wanaume tuna hulka ya kutongoza tongoza wanawake especially...
17 Reactions
141 Replies
6K Views
Za wakati huu wanajukwaa......naomba kupata uzoefu wenu haswa kwa wale wanaume wenye sifa hizi 1. Short (wafupi) futi 5.6 kushuka chini 2. Broke(wenye kipato cha papatu papatu) #upambanaji...
5 Reactions
41 Replies
1K Views
Huwa inaweza kutokea mmoja wenu kutangulia mbele ya haki, japo hatuombei maana maisha si yetu ni majaliwa ya yeye aliyetuleta hapa Duniani. Mimi aisee ninavyojionja ni BIG NO, siwezi tu yaani.
11 Reactions
144 Replies
5K Views
Habari za siku waheshimiwa wa MMU poleni na wikiendi na mihangaiko ya kusaka chochote kwa ajili ya familia..... Bila kurefusha maelezo ngoja niende kwenye mada moja kwa moja ni kwamba kwa siku...
0 Reactions
187 Replies
18K Views
Wasalamu,hii kitu inanichanganya sana,unaweza Kuta mwanamke ana sura,ana Tako ila Tabia ni sio nzuri kivile. Unaweza Kuta mwanamke ana sura ya kawaida tu na Tako la kuibia tu ila ana adabu balaa...
2 Reactions
14 Replies
553 Views
Hii imetokea nchini Kenya. Kama wewe ni mtu wa mitandaoni naamini kuwa umeshaiona hii habari. Jamaa kaoa, kwa furaha kapost picha za ndoa mtandaoni, from nowhere akatokea jamaa akapost picha...
8 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu zangu niwape pole sana kwa taarifa zilizotufikia Wakuu wangu kuna kazi ambazo mwanaume akizijua na kuzifanya kwa weledi wa hali ya juu basi kuoa ni kazi sana * Kuosha viombo vingae na...
20 Reactions
57 Replies
3K Views
Mmekua na kasumba wa kutushambulia ambao hatutaki ndoa lakini insasikitisha sana mashambulizi yenu huwa hamlengi kwenye point mahususi. Utetezi wenu huwa unalenga zaidi kwenye dhiaka mfano kataa...
10 Reactions
29 Replies
1K Views
Huwa nahofia sana kufanya confrontation hasa na mtu wa karibu ila kwa hatua ilipofikia, nataka nimvae mama mkwe wazi wazi, yani nimpe majibu makavu. Yeye anataka ku impose sheria zake na...
8 Reactions
69 Replies
3K Views
Jamaa yangu alikuja kwangu akilalamika na kuniambia “Unamkumbuka Jessy yule mwanamke niliyekuambia,aisee ni mwanamke wa ajabu Sana Kati ya wanawake wote niliowahi date nao yeye ni WA tofauti sana”...
20 Reactions
118 Replies
6K Views
Francis Chacha Wambura Kazi; Mkulima Umri: 98 Wake: 6 Watoto: 47 Wajukuu: 86 Sababu ya kifo: uzee Lazaro Olemgbe Kazi: Seremala Umri: 115 Wake: 11 Watoto: 56 Wajukuu: 132 Sababu ya kifo: Uzee...
5 Reactions
35 Replies
2K Views
Mke wa zamani wa Ricardo Kaka, aliyemsaliti akiri kwamba Kaka alikuwa mume bora sema aliboreka na maisha matakatifu aliyoishi Kaka. Kwa maneno yake anasema "Kaka hakuwahi nisaliti, alinijali na...
21 Reactions
84 Replies
5K Views
Mimi huwa nasikiliza Kuna mwimbo mmoja hivi wa jamaa wa kuitwa [toxic_jinai] asee hili ni bonge moja la pini kwangu huu wimbo haujawai kuniangusha hasa pale mpenzi wangu inapotokea kanikosea na...
3 Reactions
51 Replies
2K Views
Back
Top Bottom