Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Baby (Kasie) you know... You are my lover baby... ... you know I love you so.... ‘Cause am not gonna be for long.... You know I gat what you need.....’ Keep it tight for me Kasie.... 😉...
5 Reactions
94 Replies
5K Views
I know... I know, but all these because of love... Babe, I love you 😍.... so much.... Wanasema kuishi kwingi ni kuona mengi , mahana ni misumari nigongelee taabani niteketee. Tahadhari tuweke...
6 Reactions
65 Replies
3K Views
Leo Mjanja_M1 nimeamua kuuliza swali chonganishi ambalo naamini mtalijibu kwasababu mnatumia Fake ID's. Unampenda mwenza wako wasasa kuliko Ex wako? Tiririka Mkuu......
4 Reactions
7 Replies
484 Views
Wakulungwa hii kitu inatokea huku tu niliko mimi au ni hadi uko mliko nyie? Sababu ni nini hasa?
4 Reactions
11 Replies
592 Views
Habari za wakati mabibi na mabwana!! Mimi ni kijana umri wa miaka 30 ,kwa moyo wa dhati na udhubutu naomba kuwafahamisha rasmi kuwa maisha ya ubachela yamenifikia kikomo nahitaji mchumba vigezo...
9 Reactions
53 Replies
1K Views
Mama ndo mwenye sauti yaani mama anakuwa na kaubabe fulan hivi. Pesa ya Posa lazima iwe nyingi ili wagawane ndugu wa wazaz wa bint na baadhi ya majiran Binti kuolewa mtaa mzima wataambiwa as if...
49 Reactions
257 Replies
12K Views
Mapambano ya kupinga ushoga yamekuwa yakielekezwa zaidi kwa jinsia ya kiume. Lakini sasaivi kumekuwa na wimbi kubwa la mabinti kuingiliwa "kusikoruhusiwa" kwa kupenda wenyewe au kwa kulazimishwa...
2 Reactions
13 Replies
497 Views
Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke. Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo. Kumekuwa na tabia ya wakaka na...
21 Reactions
221 Replies
7K Views
Nami wala nisiwe mnafki sitaki nijifiche kwamba ni mwema kwamba niwakemee wengine Watu wengi tumepata bahati ya kuweza kuja hapa duniani tukiwa na bahati kubwa sana ya kupata malezi ya kulishwa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakati mapenzi yalipokuwa moto moto, ilikuwa ni kutembea kama kumbi kumbi, mwanaume hapa mwanamke hapa. Lakini sasa hivi, wengi tunapeana maelekezo; tangulia tutakutana kwa mangi n.k Tatizo ni...
17 Reactions
148 Replies
3K Views
Juzi nilipita kwa jamaa yangu ni bachela umri anazaidi ya miaka 35 ila nilichokiona ndani mwake nikama anaishi dampo. Yaani amepanga chumba na sebule lakini ukiingia ndani hujui chumba ni kipi na...
56 Reactions
231 Replies
6K Views
Nilizaliwa miaka kadhaa iliyopita. Katika familia ya watoto 7, mimi nilikuwa wa 6. Kama watoto walivyo, nilikuwa mtundu kiasi ila sio mtukutu. Nakumbuka nikiwa darasa la 5,niliitwa mbele na ticha...
102 Reactions
1K Replies
292K Views
Mimi ni mgeni humu, sijajua kama inaruhusiwa kutongoza ila kiukweli mimi huyu Mzigua90 ananichanganya sana. Najikuta natumia muda mwingi kumuwaza. Hakyanani tena.
25 Reactions
351 Replies
8K Views
Tazama Hapa tukio la FUMANIZI la jamaa mmoja ambaye alifanikiwa kumfuma mke wake wa ndoa akijivinjari na mwanaume mwingine nyumba ya jirani. Angalizo: Punguza Sauti Kama upo kwenye watu wengi...
7 Reactions
45 Replies
1K Views
Wakuu, Napitia Sanaa threads nyingi humu MMU, karibia asilimia zote wadau wanajisifia kupita na Pisi Kali TU Sijui, ana shepu, sura ya kuvutia, kalio kubwa nk. Sasa najiuliza hizi Pisi mbovu/...
18 Reactions
113 Replies
5K Views
Naomba niende kwenye point kabisa. Hii ni kwa wanaume/kaka/vijana kama mimi. Najua life ni ngumu na kwa kipindi hiki mwanaume kutafuta mpaka ukajipata sio kitu cha muda mfupi inachukua muda sana...
52 Reactions
205 Replies
7K Views
Nimeona Niwape Mwendelezo Wa Kile kilichoendelea na maamuzi niliyofikia mpaka sasa Tangu last time nimepost kueleza kile kinachoendelea kwenye mahusiano yangu and so far na maamuzi niliyochukua...
38 Reactions
128 Replies
15K Views
Nimekuwa Kwenye Mahusiano na Huyu Binti Kwa Miaka 6 sasa! tumebahatika kupata Mtoto mmoja! ila hatujaoana. Kwa Sasa Yeye anaishi Dar Mimi niko kikazi Mikoa ya kaskazini! Mwanzo Nilianza Kufuata...
44 Reactions
481 Replies
45K Views
MAMBO YANAYOWEZA KUSABABISHA MAHARI KUWA KUBWA Na, Robert Heriel Baada ya huyu msanii Kudai kuwa mahari yake ni zaidi ya 500Mil(Milioni Mia tano) kwa anayetaka kumuoa. Nimeona tujadili kidogo...
6 Reactions
39 Replies
8K Views
Jamaa yangu ana umri wa miaka 36 amepambana sana kupata mwenza, lakini akianzisha uchumba na Mwanamke hawafiki mbali uchumba unakufa. Hii itakuwa ni shida gani! Au ni nguvu za giza zinamtesa?
10 Reactions
85 Replies
3K Views
Back
Top Bottom