Ni mtoto wa kaka yangu naishi nae hapa hasa kwa lengo la yeye kusoma maana mkoa nilipo una shule nyingi.
Darasa la nne hadi la tano alikuwa anasoma boarding, kwa sasa yupo kwangu anasoma day ya...
Anaandika Kenge
Tamaduni za wazee wa zamani waliishi kwenye misingi ya kuoa mabikra.Ilikua ni aibu kubwa sana kama ikibainika bint wa Mzee flani sio Bikra.Au Bwana fulani kaoa binti ambae sio...
Habari wa JF,
Kuna msiba wa ndugu mmoja jirani hapa. Sasa siku ya msiba walikuja watoto 2 wana umri wa miaka 5 na mama yao wanafanana sana na watoto mapacha wa kiume aliyozaa na mkewe wake ambao...
Sote tunafahamu ukali wa maumivu ya moyo na mwili pale unapo mpenda na kumuamini mtu halafu analeta ufala na kuishia kukuumiza.
Hii hali linapotokea huwa inakuacha na maumivu makali sana ambayo...
Aisee ni vigumu kuona bikra dsm, inasikitisha
Utafiti umefanya na (erm)huu umehusu wasichana wanaofika umri wa miaka 25 wakiwa bikira, ( virginity percentage at 25 years old)
Kati ya watu miamoja...
Najua wengi wenu mlikuwa mna ndoto za kuolewa na wanaume wenye mali, matajiri na handsome men.
Lakini sasa huenda mmeishia kuwa single maza na umri umesonga mmekuwa wasimbe (27+) au mishangazi...
Kusema kweli sikuwahi kuzungumzia maisha yangu humu JF hususani mambo ya ndoa ila naomba nishare nanyi hili jambo.
Niliwahi kuwa na ndoa ya kwanza lakini mke wangu wa kwanza alikuwa pasua kichwa...
Bahati mbaya binti mwingine ana watoto wawili baba tofauti anauliza una mpango gani na Mimi.
Mwingine chuchu zimeshaanguka anakuambia sitaki unichezee.
Wewe mwenyewe ndiyo umeyachezea maisha yako...
Haijalishi ni Ist, Passo, Carina, Teza, n.k. dada zetu wengi hasa wanaotembea kwa miguu wanachojua gari ni gari, japo ukiwa na mkoko wa maana inakuwa fresh zaidi kupata kuwapata wazoefu...
Dear men,
Unapokutana na mwanamke na ukatokea kumpenda, tenga muda wa kumfahamu vizuri ujue size yake.
Muhimu kufahamu vitu anavyopenda na gharama zake. Mfano: mavazi, mitindo ya nywele na mambo...
Idumu JF,
Namuuliza yule mwanamke ambaye kakubali kuolewa lakini anafanya kazi na kipato anachopata kazini anasema chake si cha familia!
Mume ni sawa anaitunza familia kwa huduma zote...
Mfano umemtongoza binti ukapeleka posa mkaishi mkazaa watoto ikapita miaka 10 hamjafunga ndoa vipi huyu mwanamke atakuwa na uhalali wowote kisheria za kimahakama ikiwa hamjafunga ndoa.
Nikiwa...
Bila kupoteza muda wakuu wacha niende Moja kwa moja.. kama kichwa kinavyouliza. (nitaifupisha)
Mimi ni Bwana mdogo tu kama vijana wengine lakinj si wa hovyo, ila story kwa namna ilivyo kuna...
Naomba niwie radhi kama nitakuwa nakukosea kwenye, wala sitaki kuficha toka nimejiunga humu kuna member anaita To yeye nahisi ananigusa mno.
Nahisi kupata hisia ima ninapoliana jina lake ama...
Yaani 😮💨😭
Huyu dada tulioana naye kwa ndoa ya kidini. Ana tabia zote nzuri ila ni mtundu sana kitandani.
Mkiwa katikati ya show unakuta gegedo limeingizwa kusiko na ladha imebadilika kabisa...
Ikawa asubuhi ikawa jioni....
Habari za jioni Kasiende, nzuri.
Waelekea wapi niunge tela...!!
(Kwani vipi...!! Kuingia tela huko vipii...!?) isiwe ishu...
Naenda kupata mlo wa jioni kisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.