Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ndugu zangu Ukituliza akili na kuyatafakari kwa kina mahusiano ya sasa utagundua wanawake walio wengi wameyageuza ni biashara ya kuuziwa bidhaa ambayo hubakiwi nayo huku sisi wanaume tukifanywa...
9 Reactions
26 Replies
1K Views
Usiombe udukue simu ya mwenza wako, unawez ukajitaguliza ahera kwa utakayokutana nayo ukajuta kama wewe ndio wale wanaojifanya mahaba kama yote! Mimi ukinipa simu yako nikiamua dakika Tano...
15 Reactions
581 Replies
150K Views
Msipumbazwe na watu wa kataa ndoa, wengi ni waongo sana,pia msiogope changamoto za maisha ya ndoa,hizo zipo tu. Kwenu ambao hamjaoa au kuolewa, fanyeni juhudi muoane na mimi nipo kuwasaidia...
7 Reactions
35 Replies
827 Views
Wakuu, at first anaonekana kutaka attention yangu lakini navozidi kumkaribia ili kuwa naye urafiki hazipiti siku tatu anaanza kunikwepa na kunionea aibu. Nami ambavyo sipendi kushoboka nampotezea...
4 Reactions
10 Replies
693 Views
Utakuta nimekutongoza umenikataa ukasema tuwe marafiki na nikakubali, au hata sijawahi kukutongoza ila sisi Ni mabesti, una rafiki wa kike uko karibu naye kuliko mimi nilivo karibu nae, hivyo mm...
7 Reactions
53 Replies
4K Views
WAtu wengi wanajua waganga wanasaidia . Ila waganga hawasaidii waganga wanachukua mazuri yako anampa mteja wake mwaminifu halafu wewe anakusaidia some how unaona afadhali ila ukija jua kachukua...
3 Reactions
0 Replies
299 Views
Mambo mengi sana yamezungumzwa kuhusu mapenzi na ndoa kwa ujumla. Hata hili ninaloandika ni kama kukazia tu. Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema ni kuwa mwanaume yeyote kama kichwa cha...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
NI mamb gani upelkea mtamfluko wa MAPENZ kuvnjika kbisa kuto elewan pia kuon wabaya zaid kujsemea “Nmefnya makosa kuwa na wew Kwa mim yot y yote naamin percntge nyng wanachkua WASCHNA kualbu...
1 Reactions
13 Replies
471 Views
Katika umri mdogo kijana anamtamkia binti maneno anayoumba kutoka katika akili yake na majibu ya binti yatashtua mapigo ya moyo ya kijana aidha kwa wasi wasi au mahaba. Wakati wa umri mdogo...
0 Reactions
1 Replies
242 Views
Tujuzane.. Isijekua tunamiss mambo matamu.. Nasikia kuna kondomu ambazo ukitumia ni sawa na unapiga kavu yaani zinakupa utamu ule ule sawa na unaoupata ukipiga kavu. Tujuzane kwa wale expert...
1 Reactions
112 Replies
44K Views
Habari jf ni Crala Kidoti tena. Hii issue ilimtokea mdogo wangu mwaka 2019 upande wa baba mkubwa wangu. Dogo alikuwa na mchumba wa kike aliyedumu nae kwa miaka miwili kwenye uchumba. Hatimaye...
3 Reactions
76 Replies
6K Views
Aisee muda unakwenda kwa kasi ila mambo au maisha yanakwenda taratibu nadhani sijui kwa wengine. Imagine madogo waliozaliwa mwaka 2000 huu mwaka watasheherekea birthday ya kutimiza miaka 24. Huu...
17 Reactions
38 Replies
2K Views
Hivi unaweza kweli kumuumiza mtu mpendae kwel. Yaani kumfnyia vtendo ambavyo havistahili kufnyiwa, km MPIGA BILA KOSA or kuuingza mwanmke mwengine akat yeye yupo? PIA kutokujal hisia zake juuu...
0 Reactions
4 Replies
285 Views
Habarini wanajamvi #JF 1.Utangulizi Hii ni true life story ya maisha yangu, nikilenga kutoa ushuhuda wa mambo kadhaa niliyoyafanya katika harakati za kuchakata mbususu. Mimi sio msimuliaji mzuri...
19 Reactions
72 Replies
9K Views
Ni kwamba wasioolewa tu ndo wana muda wa kutosha kujipatia wasaidizi wa kazi za ndani wenye hadhi? Yaani unakuta wanaendana, wengine hadi wanavaliana nguo. Msaidizi mrembo, msafi na mchangamfu...
2 Reactions
3 Replies
390 Views
Wakuu, Mimi Ni baba wa watoto 5 na mtoto wangu wa mwisho wa miaka 2 kasoro anaumwa na Yuko Kwny dozi ya sindano, anatakiwa kupelekwa dispensary kuchomwa kila saa 12 jioni. Sasa Leo nilishinda...
35 Reactions
170 Replies
9K Views
Leo nilikua kwenye ktuo kimoja cha mabasi ya mikoani, nikiwa nikisubiri usafiri wa kunipeleka mkoa x; wakati nikisubiri gari, nilikaa kwenye kimeza kimoja karibu na mchoma mishikaki na chipsi...
9 Reactions
89 Replies
3K Views
Usijali Mkuu, hapa tunatumia fake ID'S Fungukaaaaaaaaa!
4 Reactions
137 Replies
5K Views
Jambo Sana! Wakati wengine wakibadilisha Maisha Yao Kwa dakika tano Kwa kubet, Mimi nilikuwa napiga doria katika account za mitandao ya kijamii huko Pm na inbobo nikivizia mawindo. Wengine wengi...
24 Reactions
114 Replies
9K Views
Nikiwa maeneo ya mikoa ya kusini, baada ya kumaliza harakati zangu za hapa na pale, nikaamua kuingia kiwanja kimoja kwenye mida ya saa nne usiku angalau niweze kupata 'vibe'. Baada ya kufika...
7 Reactions
42 Replies
3K Views
Back
Top Bottom