Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana JF. Nina ndugu yangu mmoja upande wa mama, yeye KE. Miaka kama 10 hivi iliyopita alikuwa na mahusiano na Jamaa mmoja hivi, walikaa muda tuu mpaka mahusiano yao yakazaa mtoto. Lakini...
26 Reactions
205 Replies
12K Views
Wasaalam sana ndugu zangu Wakubwa ni nani aliyetuloga , ni nani aliyetufanya kukosa akili na kutambua jambo hili baya tulilolifanya ndiyo utaratibu wa kuwa send off na kuwasindikiza kwenye ndoa...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
Fisi na tumbili hawana huruma nyakati za mavuno. Mwanaume ukiamua kukataa kuoa uwe na msimamo. Usije ukajichanganya uzeeni ama jua la jioni ukatepeta ukataka kuoa hawa wanawake, mabinti, ama...
3 Reactions
18 Replies
956 Views
Kwenye harakati zako za kufukuzia mrembo, ulitumia muda gani mrefu kumpata Demu? Mm binafsi nilimfukuzia Demu kwa kipindi cha miezi 4, tena alikuwa ananionesha dalili za kunikubalia. Yani ile...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Mwanamke myenye miaka 27+ na hajaolewa wanakuwaga na stress Sana, Kuna baadhi nawaonaga niliskuli nao na wengine tulikuliaga kitaa kimoja Wanawaza Sana kiasi kwamba nawaonea huruma, zifuatazo ni...
18 Reactions
246 Replies
8K Views
Moja ya harusi bora kabisa hii Watu wa hivi huwa hawataki mambo mengi kabisa, mara nyingi huwa sisi wanaume ndio tuna aamua iwe hivi. Nyingine ile mkimaliza kufunga ndoa shughuli zina endelea...
22 Reactions
149 Replies
6K Views
1. He's 68 years old. 2. Retired from active service. 3. Worked all his life to raise his kids. 4. Deprived himself of life's pleasures to pay expensive school fees and living expenses for his...
7 Reactions
9 Replies
533 Views
Kwa wale ambao mmepata neema ya kuwa na mama Mpaka sasa Hivi ni mambo gani haupo comfortable kabisa kuzungumza na mzazi wako labda itokee yeye aanzishe. Mimi binafsi yako mengi ila.:- 1.Siwezi...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu, Kama utataka kuoa/kuolewa nakushauri usikubali kufunga ndoa na mtu anaenyonya sehemu za siri. Nitakupa sababu za kwanini usifanye hivyo, sababu zenyewe ni kama ifuatavyo, 1)...
12 Reactions
74 Replies
5K Views
Kun mud Upwiru huwa unabana ila mwanamke ulienae kaumbwa kuwa kwenye siku zake 3 hadi wiki, huo moto unauzimaje? umetoka safarin umerud mke yuko sikuzake afu ndo siku ya kwanza kabisa kaanza na...
6 Reactions
90 Replies
4K Views
Usihamaki. Huu ndiyo ukweli. Kwani uhai unaanzia ngazi gani ya kibayolojia? Mayai ya mwanamke siyo kitu hai? Kama ni kitu hai kilichosanifiwa na mwenyezi Mungu wewe una mamlaka ya kukiua? Bila...
9 Reactions
39 Replies
1K Views
Habari wakuu, Ni ukweli pasipo na hata punje ya shaka kwamba wanaume wengi wanaongalia picha za ngono hujichua (masturbation)jambo hili lina madhara makubwa hasa ya Kisaikolojia. Watu walio...
0 Reactions
21 Replies
15K Views
Habari waungwana, Nawasimulia kwa ufupi kisa changu cha mapenzi ya utotoni ila naanzia nyuma kidogo. Nilipokuwa kidato cha pili nilikuwa naendela vyema tu na masomo japo sikuwa nafaulu sana...
172 Reactions
235 Replies
44K Views
Ndugu zangu Nina wapenzi wakike wengi sana mpaka sijui nichague yupi awe mke wangu Wanawake wangu wanatokea makabila haya na wote nimenyandua baadhi yao wanajuana katika kufumaniwa hapa na...
6 Reactions
32 Replies
2K Views
Jambo? Hili tukio limetokea mtaani kwetu kuna jamaa ameoa Single mother, sasa usiku wakiwa sebuleni jamaa akasikia meseji imeingia kwenye simu ya Single mother. Lahaullah ile kuangalia...
15 Reactions
35 Replies
2K Views
Binti aliachwa na baba yake akiwa na miaka 3. Baba wa kambo akalea akasomesha mpaka akafika chuo kikuu na sasa ni tabibu. Amepata mchumba sasa anataka kumuoa binti akasema mahari apewe baba yake...
9 Reactions
85 Replies
3K Views
Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo...
7 Reactions
60 Replies
2K Views
Wakuu mpaka muda naandika thread hii nimejikuta najiuliza kinachonisibu kwa sasa. Kwanza kabisa neno Ghosting :Ni ile hali ya kukatiza ghafla mawasiliano na mtu bila taarifa wala kumuandaa huyo...
12 Reactions
74 Replies
3K Views
Ni vijana ndugu zangu wameingia kwenye ndoa mwaka jana ila hawakupima afya. Sasa mke amepata ujauzito na walipokwenda kupima kama inavyotakiwa clinic mke ameonekana ana maambukizi ya vvu. Kwa...
4 Reactions
55 Replies
8K Views
Nawaambia vijana. Unavyozidi kuchelewa kuoa ndo huyo atakayekuwa mkeo anazidi kuchakazwa. Watu watamtumia weeeeeeeh... Ukija sema. Sasa naoa. Amekwisha. Wamemgeuza geuza... Milango yote ipo wazi...
19 Reactions
61 Replies
3K Views
Back
Top Bottom