Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mwanamke umekamilika na viungo vyako vyote unashindwa vipi kupambana kujisimamia na wewe kawa na vyako na maisha bora bila ya kumtegemea mtu. Uzuri, shepu na sifa nyingine sio kigezo cha wewe...
9 Reactions
34 Replies
865 Views
Ni ukweli ulio wazi kuwa zinaa inaleta mikosi, inarudisha vijana nyuma kimaendeleo. Na kubwa zaidi ni kwamba zinaa ni dhambi ambayo imepelekea vijana wengi kufa wakiwa wabichi. Uzinzi ukikomaa...
15 Reactions
24 Replies
2K Views
Ndugu zangu nawasalimu sana . Katika maisha ya kawaida ya binadamu , tunajua fika kabisa tunategemeana kutokana na ugumu wa maisha uliopo , hivyo hivyo na ndipo lilipo chimbuko la mahusiano mengi...
18 Reactions
123 Replies
6K Views
Hili swala limekaaje maana asilimia kubwa Kwa uchunguzi nilioufanya Kwa hawa Dada zetu ni ngumu sana kukubali aolewe na mwalimu ndomana walimu wanaishia kuowana walimu Kwa walimu. MIMI nadhani...
62 Reactions
507 Replies
23K Views
Wapenzi mkikaa muda mrefu kuna vitu mtafanana sababu ya kuigana tu ambako kunatokea automatically. Mfano mke wangu ameiga kabisa maneno nnayotumia kuwagombeza watoto wakikosea, akiwa peke yake...
16 Reactions
136 Replies
5K Views
Saizi huyu ni Senegal president na yeye ni first Lady....😊
30 Reactions
59 Replies
2K Views
Wanaume walio ndani ya ndoa ambao huwa wanapigwa na wake zao naweza kusema ni wazembe kupita kiasi Mwanaume unapotongoza mwanamke lazima uangalie key factor kwamba sawa huyu mwanamke nimempenda...
4 Reactions
12 Replies
868 Views
Anatakiwa afanye kazi/majukumu yapi, na yapi hatakiwi kufanya akiwa nyumbani? Kwa sababu kuna watu wanajisifia huku duniani kuwa wameoa, lakini hawajui majukumu ya wake zao. Wengine wanaishia...
15 Reactions
83 Replies
2K Views
Mara nyingi naona watu wanasisitiza mtu aanze kujipenda mwenyewe kabla hajapenda wengine Ni kwa namna ipi utasema au kuprove kwamba hapa najipenda mwenyewe yani ufanye vitu gani vinayothibitisha...
4 Reactions
17 Replies
937 Views
Kwenye mapenzi mbali na ngono kuna mambo ya kusaidina matatizo madogo madogo na hata makubwa kama yapo ndani ya uwezo wenu. Mfano mwanaume umemuambia mwanamke wako akuazime let's say Tshs 20,000...
7 Reactions
65 Replies
2K Views
Hiz ni code zitazokufanya usifeli popote 1. Hakikisha Unapiga pipe kwelikweli Kama uko 18-50 jitahidi uwe unapga pipe au uwe na mahusiano valid. Kama hupigi pipe Heshima sahau utaonekana ni pisi...
18 Reactions
69 Replies
3K Views
Miaka ya nyuma wakati wa likizo ya kidato cha tano kuelekea cha sita niliwahi kutana na binti mrembo tu. Nikamsalimu "mambo", aliishia kunisonya! Ndipo nilipomsogelea karibu na kumuuliza sababu ya...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Nmesikitika sana baada ya kukaa na kuangalia vijana wa sasa jinsi walivyo na mambo haya hivi kweli, Nimeangalia hii video sijaelewa lengo zima la hawa wanaume lilikuwa ni nini? Yaani mnataka...
11 Reactions
227 Replies
21K Views
Ukiona dada anakuchekea kwenye gari ya abiria. usirudishe tabasamu mpaka alipe nauli. utakuja kunikumbuka baadae
14 Reactions
43 Replies
2K Views
Wakuu nawakumbusha tu, usidate girl ambaye hana heshima kwa mke wako. Naomba kuwasilisha
8 Reactions
32 Replies
1K Views
From my experience real love is hard to find, real people are so rare! Wanawake siku hizi hawaaminiki kabisa. Their intentions is to play you and use you. The same applies to men. Kijana msomi...
12 Reactions
26 Replies
967 Views
Kama mpo mlio weza naomba mnipe codes hususani kipindi cha rikizo
1 Reactions
19 Replies
730 Views
Habari za jioni ndugu waumini wa kataa ndoa Leo naleta kisa changu Nivumiliwe ishu ya uandishi Mimi ni kijana umri 34 nilibahatika kupata mwenzangu ambaye pia alikuwa mwajiliwa mimi nikiwa...
45 Reactions
206 Replies
8K Views
Leo nimepanda daladala naenda mjini kwenye mishe mishe, seat ya mbele alikaa mdada mmoja hivi alikuwa busy anachat kama mnavyojua macho hayana pazia nikabahatika kusoma ujumbe mmoja nanukuu" Emma...
31 Reactions
56 Replies
3K Views
Habari za muda huu JF? Je huwa ukitoka safari unamnunulia mwanamke zawadi? Kama ndiyo, ni zawadi gani unapenda kumnunulia/anapenda kuletewa? Karibu...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Back
Top Bottom