Kwanza napenda kumshukuru mh rais sana. Halafu kwa niaba yangu pia najishukuru.
Huyu demu muda flani nlimwambia naomba show. Akawa na maneno mengi kidogo na kutaka nimbembeleze. Mi sikuwa na muda...
Tangu nizaliwe sijaona mwanamke anaupwiru kama huyu. Yaani ukitua kitandani tu mikono mwilini anataka show. Ukipiga show ya kawaida. utakuta bado anakupapasa hapo ujue ushavurunda.
Ukimpiga show...
mimi ni mwanaume wa miaka 35 sasa, nilioa miaka 4 iliyopita, kisha nikaghaflika nikazaa na mwanamke mmoja baada ya mke wangu tu kujifungua.
Sasa mwanamke huyo anataka kuolewa na anayemuoa...
Kumekua na maneno mengi na vitisho vingi juu ya kutaka kuujua ukweli kuhusu mwanamke .
Ila siku mwanaume ukaujua ukweli huu ndio siku ambayo utakua huru na kukomboka kifikra. Utaishi maisha...
Leo ndoa nyingi wanaume wengi tunalia wanawake wetu hawana adabu hawatuheshimu wanatupangia unyumba, nk mnasahau kitu kimoja ya kwamba ili uheshimiwe lazima kuwepo na kitu kitachokufanya...
Habari wana JamiiForums,
Poleni na majukumu ya hapa na pale, kuna ile changamoto huwa inatokea, upo zako na mpenzi wako mnapiga story za hapa na pale, lakini Kwa bahati mbaya, ghafla tu!
Baadala...
Yaani nikishanunua na nikishakula mzigo kwa maana kusex na malaya najuta pale pale kwanini hii pesa nisingenunua msosi pale. Kwa mama nitilie au nisimpelekea kodi ya meza na mambo yakaenda...
1. Punguza marafiki kwa sababu wapo marafiki ambao wanaweza kua vikwazo vya mafanikio yako na hauwezi kuwajua unapo kua nao na kuishi nao na kula nao unacheka nao na wengine unalala nao wengine...
Kama title inavyoeleza, Mimi ni kijana umri (27)Kuna bint (23) nilianzisha nae mahusiano nikiwa na malengo na matarajio makubwa na yeye na tulipendana.
Japo kipato changu ni cha kawaida sana...
Kama wewe ni mwanaume shababi na hauitaji kuoa, husijichue au kwenda kununua malaya madhara ni makubwa mno.
Fanya hivi kupunguza akshi za ngono funga saumu za sunnah siku ya juma tatu na al -...
Kuna mambo ambayo yanachukuliwa kuwa ni ya asili(natural human behavior) kama kula, kulia, kucheka, sex nk nk. Yaani huitaji kufundishwa ndio uvifanye, vinakuja vyenyewe by instinct
Lakini kuna...
Wakuu, mjuavyo tena; mahusiano ndio yanayofanya dunia iwe sehemu sahihi na tulivu kwa kuishi.
Mjuavyo tena, sisi tunaopataga maji ya 'gold' huwa ni vigumu kunyimana kwenye mahusiano. Kama pisi...
Kuna desturi inayoaminika na kujengeka katika mahusiano kwamba wanaume ni wepesi sana wa kuwasilisha hoja na dhamira zao juu ya uhitaji wao pale wanapotaka kufanya mapenzi, kuliko wanawake.(ni...
Habarini za usiku wapendwa
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza nahitaji msaada wa Mawazo chanya iko hivi kuna mwanamke nilipata naye mtoto lakini kwa bahati mbaya sana tukaja kutengana na sasa...
Habar wana JF,
Juzi kati nilipokuwa kijiweni kwetu, tulikuwa tunajadili mambo mbalimbali kuhusu maisha, mara ghafra rafiki yangu ponda mali akaja na mada za mahusiano/mapenzi.
Mada hiyo alipa...
Nimesikitika sana rafiki yangu wa Miaka mingi alivyotaka kunigeuka
Niko mkoa x nimekuja nina Kama siku 3 nikamtonya best yangu kwamba nipo alipo bila hiyana akasema kadogo2 usiondoke bila kuonana...
Wakuu hii imekaaje, yaani Mwanamke akishakuwa mzuri tu basi unakuta ni Mdangaji?
Hivi hawawazi kuhusu future zao? Au wana guarantee?
Yaani ukikuta mzuri basi ana wanaume zaidi ya 50, anauza...
Kuna hali flani katika mahusiano ambayo si kila mtu anaijua ila kuna baadhi huwakuta na huwafanya washindwe kudumisha mahusiano yao. Kuna rafiki yangu mmoja aliwahi kuniomba ushauri kuwa mpenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.