Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari zenu Wakuu, Kama tunavyojua kuwa ukifanya jambo baya basi malipo ni kesho kwa Baba au hapahapa Duniani. Sasa leo nataka nikujuze hukumu za watu wanaonyonya sehemu za siri hapa Duniani na...
2 Reactions
49 Replies
3K Views
Ndugu zangu natumaini mko salama kabisa , basi na kwa wale wenye changamoto Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi. Amina Michezo ya mipira ya miguu au inayofanana na hiyo ni burudani na kushabikia...
6 Reactions
34 Replies
994 Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! For a longtime, nimekuwa najaribu kutafuta shortcut and a figure out a way ya kutoka kimaisha! Sio kutoka hela ya mboga, kutoka kutoka kweli...
19 Reactions
208 Replies
27K Views
Sifupishi naandika ndefu ili muelewe somo Ndugu wana jf, pasi na kupepesa macho tunajua na kufahamu kwamba siku zote wanawake wavivu ni adui wa maendeleo ya familia, adui mkubwa wa uhai wetu...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Akufaye kwa dhiki ndiye rafiki na unawezaje kutambua rafiki wa kweli ni muhimu katika maisha yetu. Hizi ni baadhi ya ishara muhimu za rafiki wa kweli: Rafiki wa kweli ni mtu ambaye unaweza...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari za usiku wana jf. Leo nimekuja kutoa mkasa mmoja uliotokea siku 2 nyuma juu ya hawa wanawake. Nina rafiki yangu sana ambaye alikua na mpenz wake ambao wamedumu kwa miezi kama 9 wakiishi...
7 Reactions
17 Replies
2K Views
jamani leo ningependa tujadili hiki kitu sometimes unakutana na watu wanakugusa kwa tabia zao quality fulani ambazo pengine unatamani kuwa nazo lakini huna au huwezi kuwa nazo..... mfano wapo...
5 Reactions
86 Replies
6K Views
Ni story ya zaman kdg, inaweza kua funzo kwa KE na ME walio kwenye ndoa au mahusiano serious . Ni hivi, Ilkua ndo kipind kifupi tangu nmemuoa mke wangu kipenzi MAMAG A.k.a Mama wawili, na ndo...
19 Reactions
207 Replies
12K Views
Umetoka kazini umechoka umekaa zako sebuleni anajipitisha na khanga yake inanuka ushuzi unaamua kupiga kimya. Nipo kitandani naperuzi Jamiiforums yeye amelala amejamba kama mara 4 hivi. Shida...
79 Reactions
209 Replies
9K Views
Ndugu zangu Unapo mpenda mdada pasi na kujali anafanya kazi au hafanyi, pasi na kujali ni mzuri au sio mzuri , pasi na kujali ni tegemezi na masikini sana, pasi na kujali anatokea kwenye himaya...
18 Reactions
223 Replies
7K Views
Yaani kujitutumua kote kwamba naweza kuishi bila mwanaume lakini nimegundua nikikaa beside mwanaume (mpenzi) I feel safe. Aisee, tupendane tu maana hakuna namna. Yaani hata kama ni single mom...
158 Reactions
631 Replies
20K Views
Swali langu linajitosheleza wana jf mnisaidie niingie Chaka ndugu zangu. Nampenda kweli lakini bado hatuja "du". Niepuke nini?
5 Reactions
67 Replies
3K Views
Wote mpo hapo wizara ya fedha, kidogo wewe una kacheo hivyo huwa unasafi mara kwa mara kwenda mikoa mbalimbali, kutoa elimu ya masuala ya fedha. Kumbuka mkeo ni mtoto wa kinyaturu mweupeee...
15 Reactions
39 Replies
2K Views
Nimeshaona mara kwa mara watu wakiuliza kama mwanamke anaweza akawa wa kwanza kumjulisha mwenzake kwamba anamhitaji kimwili, na ni namna gani anaweza kufanya hivyo. Kwa mwanamke anaejiamini na...
44 Reactions
269 Replies
19K Views
Kila wakati nimekuwa nikisema ya kwamba maneno mazuri yana mchango mkubwa sana katika mahusiano ya kimapenzi. Hivyo kila wakati tumia maneno mazuri ili kufanya mpenzi wako akupende daiama...
19 Reactions
96 Replies
32K Views
Nakumbuka nikiwa chuoni hadi nikawa najiulizaga mwenyewe nakosea wapi mpaka nakuwa single ? Yani nilikuwa naona wivu sana wenzangu wanavyoleta madem zao huku mimi nabaki kupigwa excile, kusifia...
14 Reactions
65 Replies
3K Views
Ndugu wajumbe ni hivi kuna hatua za awali as kutaka kujua kama mtoto ni wako au sio wako. Na hatua hizi huanzia tangu mtoto yupo tumboni. Kabla ya yote unatakiwa kujua kuwa mimba ni...
12 Reactions
162 Replies
11K Views
Habari yako Broo nilikuwa naomba unipostie changamoto yangu ile niweze kupata ushauri Mimi ni kijana wa miaka 20 mwaka huu mwezi wa 8 natimiza miaka 21 nilikuwa naomba unisaidia kupost changamoto...
6 Reactions
17 Replies
980 Views
Bwana ee kijana wa watu kwenye pita pita hapa na kule huu mtaa ninao kaa bwana vimbwanga vingi. Niliwaambia kipindi kile mazingira ya geto yalivyo, zimejaa bitch zinawasha ni upupu, aisee...
7 Reactions
17 Replies
960 Views
Habari ndugu zangu, Katika kundi la wanawake zangu kadhaa wa kadha nilionao, nimejikuta nimeangukia kumpenda binti anayetokea na kukulia maeneo ya Mlima Meru huku Arusha ndugu zangu. Nipo nae...
14 Reactions
132 Replies
9K Views
Back
Top Bottom