Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ndugu zangu Hivi viumbe tunu ya mioyo yetu sijui akili zao zipo wapi. Japokuwa mimi ni muhanga wa kataa ndoa ila sikatai kuishi na mwanamke, nitaishi na mwanamke uchumba sugu hakika. Hivi...
4 Reactions
31 Replies
2K Views
Kuna wakati tunakuwa na hisia usiku wa manane au tukiwa tumepumzika mchana na wenzetu wako kwenye usingizi mzito na hatutaki kuwaamsha. DADA ANGU FANYA HILI Ukiwa kwenye hisia kali basi wakati...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari za wakati huu wapendwa kuna kitu kwa kweli kimenitokea nikaona kama kuna madhaifu kwangu au la . Jana nimelala na mwanmke bwa na nilikuwa nime dhamiria kufanya mapenz. Kanishika uume...
5 Reactions
23 Replies
891 Views
Hii Game hua niliipenda Sanaa, sio unakua na kajitu kanyonge, masaa hayapiti kanalia. Mda mwingine inabidi uwe na mtu anayekutingisha kidogo, hata thamani yake utaiona. Mimi nilikuaga na Mchezo...
7 Reactions
47 Replies
3K Views
Wanawake wakiwa wanapeana ushauri kusuhusu mahusiano, wanaambiana kuwa. "Shosti wewe date na Hao wanaume wote, halafu angalia yupi anajali zaidi na ana hela kuliko wenzie halafu ndio akuoe". NB...
4 Reactions
11 Replies
585 Views
Kama una date dem wa kinyakyusa hakikisha hatokei Kyela. Wanawake wa Kyela wana viburi sana alafu wanabishana sana, anaweza kukufokea hadharani ukabaki unajilaumu kwanini ulioa. Alafu wanapiga...
0 Reactions
24 Replies
1K Views
Wanaume bwana,siku ya kwanza kudangaywa, Nilikutana na mwanaume supermarket moja akanitongoza Nilipomuuliza unajishughulisha na nini? Alinijibu anafanya kazi Shirika la Reli (TRL) Tukaendelea...
16 Reactions
299 Replies
27K Views
Habari za Leo wakuu. Kuna ujinga fulani ulisha waingia wanaume, wakifanikiwa tu huwa hawakumbuki watu waliowasomesha au kuwapa mitaji. Wengine walisomeshwa ili wazikomboe familia zao lakini...
21 Reactions
71 Replies
7K Views
Yani najiuliza hivi kweli kitu gundu kipo au ni nadharia tu. Kuna ile mtu anaambiwa we una gundu yani mambo yake hayatoenda na hatokaa afanikiwe katika jambo lolote abadani,kama ni mafanikio...
2 Reactions
3 Replies
571 Views
Kwa jinsi miaka inavyozidi kwenda rate ya wasichana wenye zaidi ya miaka 30 hawajaolewa na inazidi kukua kwa kasi, hasa ukiangalia kwa jamii kubwa ya kitanzania mwanamke anapofikisha miaka 33 kama...
0 Reactions
147 Replies
19K Views
bonge moja la song kutoka kwa mkali wa rnb ben pol ft darassa cmg mwanamziki asiechuja kila ngoma ni hit song tuuuuuu
3 Reactions
0 Replies
291 Views
Mke analetwa home na gari la kazini mume anapanda dala dala, ukitela fyoko unaambiwa kaa pembeni.
17 Reactions
156 Replies
6K Views
Ndugu zangu, Mimi mmoja kati ya wale vijana ambao niliapa kutooa single mother na pia ni muumini wa kataa ndoa ila sasa kama mnavojua usilolijua ni sawa na usiku wa giza katika pilikapilika...
9 Reactions
101 Replies
6K Views
"Mwanamke akikupa pesa yake wivu wake unaongezeka maradufu, na anataka uwe wake peke yake, yaani ni kusema achilia mbali kutaka kumiliki moyo wako lakini pia anataka na roho yako. "Pesa ya...
3 Reactions
9 Replies
422 Views
1. Kevi (sio jina halisi) alijichanganya kunioa. Me nilijua tuu tangu ananioa kuwa amejichanganya. Kudumu na mimi kwenye ndoa inabidi awe na moyo mgumu. Sababu naweza tembea na ukoo mzima. Ndugu...
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Hapa na umiza kichwa sana, ni kwanini wanawake wanatuomba hela sipati majibu kabisa Awe sio mkeo anaomba hela Awe ni mkeo anataka hela Awe ni rafiki wa kike anaomba hela Awe ni mpenzi au...
8 Reactions
67 Replies
2K Views
Mahusiano yanatakiwa yawe daraja la maisha yako wala si ukuta wa kufupisha au kuharibu maisha yako. Ukiona mahusiano uliyonayo hayawi daraja la ukuaji wako wa kiroho, kiakili na kiafya basi si...
9 Reactions
17 Replies
618 Views
Kuna mwamba mmoja yeye kila mkewe akijifungua anachukua vioo viwili, kisha anajitazama yeye na mtoto, ataangalia chogo chake na cha mtoto, akiona kasoro ataanza, mke wangu huyu sio wangu na mambo...
6 Reactions
16 Replies
642 Views
Habari za jumapili wana JamiiForums Kiukweli kuishi na mwanamke kunahitaji moyo wa chuma.....yaani nimemuweka ndani huu mwezi wa 3 lakini naona akili yangu haifanyi kazi vizuri hata uwezo wangu...
38 Reactions
97 Replies
5K Views
Kwa kweli hakuna kazi ngumu kama kudate na mwanamke wa Arusha, yaani hawajui kuwa romantic wala nini. Wapo kiselasela tu. Kama wewe mwanaume upo smart unaweza ukazani unadate na muhuni au malaya...
30 Reactions
266 Replies
15K Views
Back
Top Bottom