Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Hii ni mahususi kwa wanaume tulio oa .....siku zote nipende kusema ngono ni starehe tu kama starehe nyingine. Kwa sisi ambao starehe yetu kubwa ni vidudu vya akina dada basi tumejikuta hii...
17 Reactions
48 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nimewakumbuka sana... Husika na kichwa cha habari kisemacho AC na Feni zipo ila joto limezidi linapoteza hamu ya kunako sita kwa sita. Bana acha jua linawaka jamani yaani joto ni...
8 Reactions
77 Replies
3K Views
Habari za muda huu ndugu zangu, nimekuwa na changamoto nyingi ila kuna moja nikitafakari naona haijakaa sawa. iko hivi; inatokea tu mtu from no where hasa ninaofahamiana nao wananiomba pesa, kuna...
15 Reactions
86 Replies
4K Views
Tofauti na zamani siku hizi vigezo vya mwanamke kumkubali mwanaume ili awe mume na baba watoto wake vimeongezeka maana wadada wanajanjaruka siku hadi siku. Zamani muhimu ilikua 1. Anatoka kwenye...
14 Reactions
108 Replies
7K Views
Mvua inaendelea kunyesha mjini hapa na bila shaka kila mmoja anachukua tahadhali stahiki ili kuendelea kubaki salama. Hongereni sana mnaopendana. Mliopendana bila kujali hali au mazingira ya...
9 Reactions
21 Replies
802 Views
Fundi huyu maskini alikuwa akichumbiana na msichana huyu mrembo mtandaoni. Siku moja msichana huyo alimwomba amtumie nauli ili aje kumtembelea. Fundi kijana alishangaa mno. Alidhani msichana...
12 Reactions
31 Replies
2K Views
Binafsi mimi ilikuwa 2022 hiyo natoka zangu Dodoma kuelekea Kibondo Kigoma, basi apo mjini Dodoma nikapanda SATCO inayoelekea Bukoba ili nikashukie Nyakanazi theni niunge na Casablanca (Wenyeji wa...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari za mda tena, nawasalim kwa jina la jamhuri ya muungano wa Tanzania. Hivi ikitokea siku miongoni mwa siku ukajua kuwa mzee/ Bi mkubwa wako anatoka kimapenzi na mpenzi wako ambae ndiyo...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Huyu ni mchezaji wa zamani wa Cameron , Chelsea na Madrid
1 Reactions
17 Replies
811 Views
Habari za muda huu wakubwa!!. Hivi siku ikitokea umelala na mke wako asubuhi, halafu ukasikia mlango umegongwa mkeo akaenda kuangalia ni nani alafu anarudi kwa upole na mahaba anakuambia baby...
5 Reactions
19 Replies
975 Views
Smile, smile and brighten my day. Is it too soon for me to feel the urge to have you close to me? Dream about your kiss Wish we had a past to remisce? Is it too soon for me to wish that we...
22 Reactions
245 Replies
15K Views
Rafiki nilienae mimi ameakua akinishauri vitu ambavyo vina matokeo mazuri katika maisha yangu: that why he's my best friend. Share your experience about your best friend na nikitu gani...
1 Reactions
4 Replies
305 Views
Wakuu kwema ? Nilikua na wazo la kuzaa kabla ya kuoa kutokana na presha ya ndugu na jamaa, ya kutaka mjukuu kama tunavyojua familia zetu. Lakini baada ya kuongea na baadhi ya watu wenye uzoefu...
10 Reactions
32 Replies
1K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu.. Nimeamua kujiengua rasmi kutoka kwa binti wa kimeru niliye mzimikia kwa akili zangu timamu hata kufikiakuhitaji kumuoa, kipindi cha nyuma niliamua kumuanzishia...
6 Reactions
49 Replies
4K Views
Poleni na pilika pilika za hapa na pale , Sisi wanaume tunapitia mambo mengi ya kuumiza na kufurahisha sana. Huyu jamaa ni rafiki yangu tulikutana miaka mitatu iliyopita yeye ni mmafia ila...
9 Reactions
72 Replies
9K Views
Tukiwatafua hata kwa salamu tu si mnasingizia Ramadhani, bado siku chache tu 😀
2 Reactions
14 Replies
674 Views
Yaani siku hizi hata wanawake hawaoni aibu? Kweli hii dunia inaenda less sana aisee zama za zamani kusikia mwanamke ameomba rushwa ya ngono unaona kitu cha ajabu sana ila si sasa aisee inashangaza...
25 Reactions
126 Replies
6K Views
Jamaa anadai huyu Jenifer ( siyo jina halisi) alikuwa mke wake wa ndoa, walipofunga ndoa jamaa alifanya janja janja ili angalau na mke wake apate sehemu ya kupata kipato chake Akiwa ndo wana...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Kama unajiona huna uwezo wa malezi bora kwa kiumbe chako na hauna uwezo wa kukitengenezea kesho yake bora ni vyema kabisa usizae. Kufa mwenyewe na umasikini wako acha kuleta kiumbe uje ukipe...
4 Reactions
8 Replies
469 Views
Back
Top Bottom