Kama penzi lako wewe na huyo hacienda mpaka wewe ndio unaze kutuma sms au kupiga wewe haupo kwenye mahusiano bali unafosi.
Kama mpenzi wako ukiwa munachati inakuwa kama unamfanyia interview ya...
Hello JF Family..
Need a HELP
I’ve been in a relationship with a man ambaye hatukujuana vizuri (I regret it🥹) we date for one year, at that time wakat tunaanza dating nilikuwa single for 2 years...
Wakuu salaam kwenu,
Nipo nawaza na kuwazua juu ya huyu mke wangu.
Miezi michache nyuma tulipishana kidogo, sasa tangu wakati huo hadi sasa kila akija hapa home hataki kulala na mimi chumba...
Hili jambo kwa kweli labda naweza nikaonekana nna roho mbaya au Ant-Social, ila kiuhalisia katika utu uzima wangu huu, kama ikitokea safari fulani nahitaji kwenda sehemu kwa siku mbili...
Chakula ni sehemu muhimu sana maishani...kwanza tunakula ili kushiba baadhi hawajali mapishi ilimradi tumbo lijae na wengine kila siku wanaongeza ubunifu kunogesha vyakula vyao mpaka wote...
Huyu mdada ana miaka 25 nmejuana nae mwaka 2020 benki flan akiwa kama afisa mikopo wa benki husika
Siku ya kwanza namuona ilkua Ni siku ya business club tulipoalikwa wateja wa benki ile kwa ajili...
Mwaka 2008 nilikutana na Binti nikawa nampatia lift kuelekea Posta tukaingia kwenye mahusiano, nilimuuliza Kama ameolewa akasema hapana anaishi na wazazi wake. Mimi nilimwambia kuwa Nina mke na...
Nilikuwa na mwanamke ambaye nilikuwa nampenda mnoo, naye akasema ananipenda sana, Tukiwa chuo mimi nilikuwa nina kipindi 6 hadi 10 na yeye alikuwa anaingia saa 10 hadi saa 2 nikawa namsubiri atoke...
Salute....
Mwaka huu nimeamua kutumia platform hii kuongea na vijana wenzangu hasa waliozaliwa 90s. Mada zangu zote kwa mwaka huu 90% zitakua zinahusu miongozo na ushauri nasihi wa masuala ya ndoa...
Wakuu nimeona nilete hii case Kwenu wana jf ili muweze kunishauri nini cha kufanya.
Ipo hivi;
Kipindi namaliza chuo miaka takribani 6 iliyopita huko kanda ya ziwa nilikutana na msichana...
habari za jioni ndugu zangu,
Katika hekaheka zangu za kutafuta mke wa kuoa nimejikuta nimeangukia kwa mtoto wa kimanyema. sasa nina hitaji kujua utaratibu kuhusu kishika uchumba na mahali najua...
Kama sio Mke wako, whatever she think about you ni Pesa zako tu.
Atakutafutia sababu tu akupate.
Ukisikia anakwambia Baby nina hamu na wewe tutaonana lini? Basi My friend amemisi kukukwapua pesa...
Sijawahi kununua mwanamke anayejiuza. Ila huyu mke wangu ni anajiuza kwangu. Kivipi?
Manjonjo na ushirikiano kitandani anautoa kwangu tarehe za mshahara tu. Yaani kuanzia tarehee 21 hadi 23 kila...
Miaka ya zamani watu waliokuwa wakiamini mambo ya shirki na ulozi walikuwa ni watu wazima haswa, hawa ndiyo walikuwa wateja wakubwa kwenye vilinge vya waganga.
Kiukweli mambo yamebadilika sana...
Watu usema kujiamini ndo siri ya mafanikio ukijiamini unaweza kupata kile ambacho hukutarajia kukipata kwasababu ya ujasiri wako.
Mwenzenu mimi sio tajiri sio maarufu wala sina chochote kile cha...
Haya wakataa ndoa mmefikiwa🤡
Kumbe kampeni yenu ni kubwa ina watu wazito duniani.
1. Vladimir Putin
Huyu bwana nafikiri watu wengi wanamfahamu hapa duniani.
Kwa wasio mfahamu huyu ni Rais wa...
Kwa wasio wenyeji wa kanda ya ziwa.
Nimeona malalamiko mengi sana kina mama na kina dada wasio wenyeji wa mkoa wa Mara (na kanda ya ziwa ) wakilalamika sana kuhusu swala la kusahau kwao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.