Huenda wewe ni miongoni mwa vijana wanaokaribia kuoa au kuolewa lakini haulewi ni mtu wa namna gani wa kuingia nae kwenye ndoa.
Mbali na kuangalia uzuri wa sura, umbile, kipaji au hali ya...
-Ni aibu na fedheha kuishi na mwanamke ambaye wakwe zako wanajua kuwa anakuzidi uwezo.
- Ni aibu na fedheha kupewa zawadi ya kiwanja na wakwe zako siku ya send off/Harusi.
- Ni aibu na fedheha...
Mbele yangu nnatuzamana na mwanamke wa kimasai...
Ni mrembo jamani
Yuko natural
Mtoto mrefu kama ngusoo
Shingo yake ina mistari na kama mafuta hivi
Kwa hakika muumba anaumba 🙌🏻
Macho yake...
Mtu unaamua umuonee tu huruma ilimradi na yeye asitirike, cha ajabu unakutana na lugha chafu kutoka kinywani mwake. Ni mzuri baasii, basi tu. Shepu hakuna, sauti kama ya mwanamke aliyetokea kijiji...
PENZI LA MWANA WA BOSI
(sehemu ya kwanza)
1
Nipomaliza la saba, litorokea mjini,
Mguuni nina raba, na kibegi mgongoni,
Nauli ninayo haba, nimeweka mfukoni,
Penzi la mwana wa bosi, menitia...
Kwema wakuu!
Kama swali linavyoeleza.
Kwa upande wangu naona sisi wanaume ndio mabingwa wa kuharibia wanawake maisha. Kwenye wanawake kumi basi tisa wameharibiwa maisha na wanaume.
1. Kutia...
Hello puntas, nina manzi fuluani kama miaka 2 sasa, kipindi chote sijawahi mpigia kama hajanicheki, atume sms au apige, abip ndio nimpigie, for almost 2 years, sasa ghafla analalamika mbona...
Penzi letu la zamani, lilikuwa ni la dhati,
Tulikutana mtoni, kuipanga mikakati,
Halikuwa la kihuni, lisilo la kisaliti,
Penzi letu la zamani, lilikuwa ni la dhati.
Tulikutana porini, tunapookota...
Ni nadra sana mkaka aliyetulia kumkuta anatapanya hela kwa kutoka out na mdada asiye mkewe.
Ila kuna hawa wakaka wahuni wanaojua kucheza na akili za wadada wakurupukaji.
Huwatoa out na kuvinjari...
Hellow,
Kuna mkasa umetokea hivi karibuni kuna familia mke ni mjamzito ni mimba ya pili lakini mwanaume anajichua.
Mke alishajaribu kuongea nae lakini inaonesha mwanaume ndio anazidi kuendeleza...
Salaam,Shalom!!
Hizi TABIA za kuiga Kila kitu ni mbaya sana, zamani pens na vest za mikono wazi ilikuwa MARUFUKU kuonekana mzazi amevaa nje ya chumba chake,
Hivi sasa mnaangalia kwenye movies na...
Habari za muda huu masista duu, mabrazamen, mafazamen and mamazawumeni. Natumai mpo salama na ni wa zima wa afya plus mahangaiko ya hapa na pale
Sasa wakuu wangu mimi ni kijana ambaye bado...
Kama uko mwenyewe mwenyewe hilo ni tatizo, au mwenzako yuko mbali na wewe, hilo nalo ni tatizo pia; kwa kifupi hayo sio maisha.
Adam alipokuwa pekee yake, alitafutiwa msaidizi ili wakae pamoja...
Singo maza wanaanza kunyanyasika nyumbani kwao kabisa hali inayowapelekea kuamua kuondoka nyumbani kwenda kupanga ghetto tayari kwa maisha mapya.
Munaijua hali ya maisha ilivyo ngumu duniani...
Kwa lugha ya malkia mnaita 'swaying'.
Ni moja ya sanaa za kale iliyorithishwa kupitia mafunzo ya jando na unyago na mafunzo mengine yasiyo rasmi ndani ya makundi rika.
Inahusu wandani wawili...
Habari wakuu....
Huyu dada amekuwa rafiki yangu kwa kipindi cha muda mrefu huku tukijaribu kusaidiana kwa vitu vingi na urafiki wetu ulikuwa kama Tupo kwa mahusiano jambo la kunishangaza muda si...
Wakuu,
Mwezi uliopita tulikuwa na ugomvi mkubwa sana nikadhamiria kabisa kuachana naye moja kwa moja.
Baada ya kuomba msamaha sana, turudiane ikashindikana. Akameza vidonge lengo kujiua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.