Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Sikatai chakula ni chakula tu, ila hakuna asiyependa kula mapocho pocho. Usijitetee eti hautaki kulisha masumu ya kizungu watoto wako hahahah, mara nyingi msosi nyumbani kwao hawa jamaa inabaki tu...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
Ni vitu gani hupaswi kumfanyia mtu ambaye hujamuoa na vipi vya kumfanyia? Which is the line of demarcation?
9 Reactions
90 Replies
3K Views
Yani. Uko On point kila mahala. School fees Family and relatives support Daily chores..domestics upo. On Bed even better.. Yani you are perfect. Kuna haja ya mkeo kusema lolote zaidi ya...
8 Reactions
92 Replies
3K Views
Umufia kwenu wakuu, Kwa muda mrefu nilikuwa na uhitaji wa kuoa, ila nilikuwa na ugumu wa kumpata mwanamke. Katika harakati za hapa na pale mwaka huu nikampata mtu nikasema hiki chuma nakiweka...
6 Reactions
44 Replies
2K Views
Beware of women who don’t believe that a rat can bring condom into your house.
2 Reactions
1 Replies
184 Views
Shalom Hodi hodi jumapili! Mungu wetu ni Mungu Mkuu na wa ajabu sana. Sijui huwa inatokea vipi sio kwa hiari yangu but nahisi ni kitu inherent au kuna namna sielewi anejua Aya za bibilia au...
1 Reactions
2 Replies
298 Views
1. MKE SHEREHE (party wife) Hawa muda wote wanawaza sherehe na starehe tu, utawasikia kesho sendoff, birthday, graduation, mara kitchen party. Wako tayari kutumia hela ya chakula kwa ajili ya...
19 Reactions
118 Replies
4K Views
I hope y'all are doing just fine, and so Do I. Straight kwenye mada... #1: 4yrs ago kuna mtu (alikua muimbaji wa kigango fulani) hakua na mke wala kuishi na mtu yoyote...He was a loner. Akawa...
51 Reactions
236 Replies
15K Views
Mada nyingi kwa sasa ni zile zinazowaandaa vijana wa kiume kukataa ndoa kisa matatizo yanayosababishwa na jinsia ya kike. Hata wanawake nao wana ajenda yao yao ya pata mtoto lea mwenyewe maisha...
2 Reactions
4 Replies
451 Views
Habari! Hivi ni kwanini ukiwa unafanya mapenzi unakuwa huna hasira? Naongelea kwa wote, wanaume na wanawake. Nimefanya tafiti kwenye groups kadhaa za akina mama. Wakakiri kuwa, wakiwakosea waume...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Nilikuwa najipa moyo kwamba unaweza kupata mwanamke mwenye sifa angalau 80% ya vile vigezo muhimu vya kuwa mke bora. Nikasema kama wapo wanawake wazuri wa sura zenye mvuto, lakini kwa nini usipate...
27 Reactions
69 Replies
3K Views
"Jamani naombeni mnishauri, mimi nimeoa na ninakaa kwa baba wa mke wangi. Sasa nimegundua mke wangu kanicheat, nataka nimfurumushe hapa nyumbani, sijui nyie mnaonaje?"
7 Reactions
14 Replies
998 Views
Habari wakuu. Leo nimekumbuka kisa changu na mdada flani pale Arusha mitaa ya mbauda, kirika a pale. Kipindi hicho nilikuaga machinga, sasa sometimes nilikuaga napita gate kwa gate huyo dada...
12 Reactions
68 Replies
4K Views
Kuna dada nafanya nae biashara jiran. Yeye ni mgeni amekuja karibuni. Ni mzuri saana na ni single maza. Sasa mwana mmoja ambae tunafanya nae biashara ya aina moja ola ofisi yake iko mtaa mwingine...
12 Reactions
48 Replies
3K Views
Sio kwamba nataka uhusiano usio na dosari, nafahamu kuwa hilo haliwezekani. Nataka mtu ninayeweza kumuamini na ambaye hatakua akinidanganya kimwili au kihisia. Kila mtu anahitaji mtu ambaye...
8 Reactions
12 Replies
371 Views
Shalom Wanaume bora niwachane ukweli ukiona manzi, demu, sholi, mke au mpenzi wa kike hafiki kileleni ndani ya dakika 3-5 hadi 7 ujue umepigwa za uso unatoka na mwanamke ambae analiwa sana, kila...
8 Reactions
28 Replies
1K Views
Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume? Je, yawezekana kuishi katika mahusiano bila kupishana kabisa?
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom