Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mapenzi ni upuuzi tu ngoja nifocus na maisha, kiukweli nimefunga nimeomba kwa Mungu mke wangu siku akifika nitamuona tu, yaani sitatumia nguvu nyingi kama ninayotumia kwa huyu binti. Kiukweli...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Hello wanachama wa jamiiforums leo ningependa niweke mkasa wangu baada ya kuwa msomaji wa humu ndani kwa muda mrefu. Niliwahi kuwa na mke hapo miaka ya 2018 hadi 2021, pia nina mtoto moja ambae...
41 Reactions
93 Replies
9K Views
Habari wadau. Ukweli mchungu najiona nina tatizo la kisaikolojia. Binafsi chuo nilisoma Mzumbe enzi zile za division one tupu ndio wanapata admission. Nikiwa chuo nilipata marafiki wengi sana...
33 Reactions
143 Replies
8K Views
Ninae Rafiki Yangu Mmoja Jina lake linaanzia na Herufi H. Nimiaka mingi Sana tumefahamiana nae, Ebana Huyo mshikaji anapendwa sana na Wanawake. Mara Nyingi tunapokua Wote Tunaeza kua Hata...
12 Reactions
92 Replies
6K Views
Habarini wanajamvi. Naomba mwenye tiba na shida yangu. Nikiwa na mke wangu sifikishi round 2. Hali hii inanitesa na nikajihisi ni mgonjwa wa nguvu za kiume. Hii ilinifanya nibakie njia kuu...
15 Reactions
93 Replies
6K Views
Uaminifu umekuwa kipengele sana katika kusonga mbele ukiwa unajumuisha wapendwa wako wa karibu. Kukosa uaminifu unapoteza undugu, urafiki, kusaidiana, kujengeana chuki miongoni mwetu, kubwa zaidi...
4 Reactions
10 Replies
669 Views
Vijana wa kiume wanazidi kuchanganyikiwa, 1. Wabahili 2. Wanapenda mtelemko 3. Wanalishana ujinga sana 4. Hawana hofu ya Mungu Wamekuwa na wivu kama wake wenza, yaani mwanaume anataka mke...
28 Reactions
81 Replies
3K Views
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia...
7 Reactions
67 Replies
7K Views
Wakuu nilileta uzi hapa wa kuoa, basi sasa kitu ndani ya nyumba. Sasa ningependa kupata Code kutoka kwa mliooa, vitu vya kufanya na visivyo vya kufanya (Do's and Don'ts) kwa mke. Code...
16 Reactions
225 Replies
8K Views
Wanajamii mko pouwaa.Kuna swala la kiufahamu kuhusu mtoto anayepatikana mzazi (Baba)akiwa mzee na ambaye anapatikana mzazi (Baba)akiwa kijana je kibaiolɔjia wanawezatofautiana ?Ni swala ambalo...
1 Reactions
6 Replies
362 Views
Wakuu, Heri ya Mwaka Mpya 2022. Naamini mmeanza Mwaka salama. Ebwana eeh, nawapongeza sana wale Wanaume walioweza kuishi bila kuchepuka kabisa. Mimi niliweza kwa kipindi flani hivi, ila...
71 Reactions
135 Replies
12K Views
Wakuu, natoa angalizo la Wazi kabisa!! Hapo Morogoro mjini haswa Maeneo iliyopo Hotel ya Morena na kwa nyuma yake kule (Majumba ya Mawe) na Samaki Samaki... Kwanza haya maeneo yana wanadangaji...
97 Reactions
257 Replies
39K Views
Wakuu Leo nikiwa bize sana dukani, nakuja kustuka Simu yangu ya private ina missedcall namba ngeni ya tigo inaishia na 900, ikabidi kuipigia haraka. Simu imepokelewa, sauti ni ya wife, namuuliza...
38 Reactions
332 Replies
21K Views
Huyu demu toka nimeacha kumpa pesa ameanza ujinga. Jan ghafla tu anasema tuachane. Nimemwambia aache huo upuuzi kabisa. Alipaswa anipange siyo ghafla tu utadhani anadondosha glass au jiwe. Mimi...
15 Reactions
23 Replies
2K Views
Previous Emojis kwenye simu nyingi utakuta kuna manyunyu matatu ya maji likifutiwa na biringanya huwezi kuta emoji za muda (time is money). huwezi kuta emoji za vitabu (kutoa ujinga), n.k Emoji...
2 Reactions
2 Replies
489 Views
Kuna binti mmoja nilipata kujuana nae baada ya kukutana kwenye kazi ya muda ambayo tuliifanya kwa muda wa miezi 6. Baada ya ile kazi kuisha kila mtu aliendelea na harakati zake zingine lakini...
10 Reactions
58 Replies
3K Views
Kuna mtu alituma mzigo mkoa X wenye thamani ya 3.5 kwenye basi na yeye alikuwa mkoa X bahati mbaya akafariki na hakuna mtu anaejua gari gani alisafirishia huo mzigo vipi kuna uwezekano wa kuupata...
4 Reactions
62 Replies
2K Views
Haya mje mnipe mbinu za kutumia nisipate mimbaa Jamaa ataingia usiku sana tupo tunachart hapa nimemuuliza kuhusu sex kasema we lazima tufanye nikampa mashart ya kupima na kutumia kinga yaani...
12 Reactions
119 Replies
4K Views
Nahisi kuchanganya sana, hukumu tar 8 mwezi huu, shida yangu sio kuachana naye au kwamba siwezi maisha bila yeye bali naumia sana swala kugawana mali kichwa inawaka moto na katika ukweli amenikuta...
68 Reactions
426 Replies
18K Views
Naomba niweke mada mezani kutokana na yaliyonisibu Mimi, nilikuw ni kijana mtiifu, mwaminifu na mchamungu lakini baada ya kujiingiza kwenye kamari za mitandaoni hasa hasa kasino nilipoteza Kila...
5 Reactions
9 Replies
642 Views
Back
Top Bottom