Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
kuna kipindi kifupi hapo nyuma upepo wa fedha ulinipitia, niliwahi kuwa na biashara naingiza almost milioni 6 faida kila mwezi, nilishaiacha baada ya ushindani kujaa sokoni kiasi kwamba hata laki...
37 Reactions
98 Replies
5K Views
Amani ya Mungu iwe nanyi. Ebana kuna kamanzi/kadada kammoja kameibuka huku mitandaoni anaelekeza namna ya kunyandua ndizi na apple ni mkali balaa, ana vionio kama vyote wenye video ya visa...
4 Reactions
11 Replies
864 Views
Kwani ndoto yako ulitaka uwe na mke au mume wa aina gani? Nashauri hivi, tembelea ndoto yako, usiforce mambo kwa sababu fulani. Maisha ni wewe, ukiumia ni wewe, ukifurahi ni wewe! Usijali maneno...
35 Reactions
249 Replies
12K Views
Huwa nashangaa sana watu wenye akili finyu wana mawazo ya kizamani kwamba mabinti wote wanaotokea makabila yenye asili ya uenyeji kwenye mikoa ya Singida, kondoa na Bukoba kwamba wote wana tabia...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
{Mods naomben mnisahishie hapo kwenye heding badala ya zako weken zake} aya twende kwenye mada: Yaan ile umejenga nyumba wewe mwanaume umeoa na umeruhusu kukaa na shemeji zako baada ya muda...
10 Reactions
61 Replies
2K Views
UTAFITI UNAVYOONESHA JINSI AMBAYO WANANDOA WENGI HUKTANA MARA YA KWANZA 1. hujuana kupitia marafiki zao wa pamoja ( mutual friend) = 32 % 2. Kazini ( kufanya kazi sehemu moja) = 18% 3...
3 Reactions
4 Replies
359 Views
Habari za mihangaiko wakuu nmeoa ndoa yangu ina miaka 6 na tume balikiwa kupata watoto wawili changamoto kubwa iliyopo ni mke wangu kupoteza hisia kabisa na mimi kupata unyumba imekua ni kasheshe...
7 Reactions
50 Replies
2K Views
Voda huu mtandao nlikuwa nauheshimu ila Leo nimeona upuuzi unaonifanya nisiwaamini tena Hawa wapuuzi,wiki iliyopita Kuna tangazo Lili pop up kwenye cm na wakati naingia Ili nilicheki Nashangaa...
9 Reactions
15 Replies
736 Views
"After hustling all your life just to become successful, it will be a taboo to settle for a woman who used her prime jumping for one bed to another while you were busy grinding". "Kings, settle...
1 Reactions
1 Replies
174 Views
WanaJF tiririkeni Love at the first sight 😍😍😍😍
8 Reactions
97 Replies
5K Views
Ninawaheshimu sana wanawake waliopewa mimba na mtu waliempenda na kwa bahati mbaya wakaachwa na baba wa mtoto huyo. Ninawaheshimu sana wanawake hawa kwa sababu ni mtu mwenye akili timamu tu ndiye...
19 Reactions
28 Replies
1K Views
wanaume,popote mlipo,hakuna pisi kali kuliko mkeo,ndio maana ukamuoa.eti kwamba huko nje umetembeatembea na kukutana na pisi kali,huo ni umalaya tu,kwamba umemtamani tu.
4 Reactions
11 Replies
410 Views
Jana wana JF kadhaa wenye club yetu fulani hivi amazing tulikuwa tumekutana The Wine Coutry kwa ajili ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2023. Wanawake tulikuwa wawili tu, mimi na bidada mwingine na...
98 Reactions
1K Replies
32K Views
​Asalaam aliyekhum wana MMU, Nipo hapa mbele yenu kuwakumbusha kitu kimoja muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku hasa yale ya kimahusiano. Najua wote tunajua thamani ya mapenzi na...
17 Reactions
272 Replies
37K Views
Hii inanikuta sasa .. Kila nikitoka out "sio kwa nia ya kula mzigo" nazungumzia kufahamiana zaidi na pisi mpya utata kwenye kwenye kupiga stori.. Mara nyingi nabakia tu 'nambie mrembo'...'mambo...
66 Reactions
211 Replies
9K Views
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate...
19 Reactions
169 Replies
57K Views
...imewahi kunitokea mara 2, nitaelezea moja. Weekend moja kuna binti nilikua namfukuzia tangu mwaka jana. Sasa akawa kakubali tukafanye ila akasisitiza nibebe zana. Wasiwasi ukanibip ila ile...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Unajua nini kuhusu uadui? Unajua nini kuhusu urafiki na unajua nini kuhusu biashara? Hebu jiulize mechi ya SIMBA VS YANGA kisha mtu kama labda Walter Harrison meneja wa Yanga akauze siri za...
2 Reactions
4 Replies
446 Views
Natumai mu wazima wa afya, bila kuchelewa leo nimekuja na naombeni ushauri juu ya hili jambo lililonitatiza kwa muda mrefu sana. Mimi ni mwanaume kamili mwenye nguvu za kiume, jambo ambalo...
18 Reactions
126 Replies
6K Views
Back
Top Bottom