Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jambo? Baada ya kupigwa na mwiko wa kichwa na Single Mother hatimae Baba wa kufikia amemuomba Wife wake asimpige tena - Single mother kampiga mwiko wa kichwa Baba wa kufikia Ama kweli mapenzi ni...
2 Reactions
4 Replies
444 Views
Ndiyo ilivyo kwa mwanamke wa leo hakika anadanganyika kirahisi mno mbele ya mwanaume. Sio ajabu kwa siku hizi inachukua juhudi kidogo sana kwa mwanaume kulala na mwanamke. Mwanaume yeyote ikiwa...
27 Reactions
138 Replies
7K Views
Kwema wakuu, Sijui tatizo itakuwa ni nini mpaka sasa sijapata mwanamke aliyekubali nimuoe. Ishu ya uchumi na pesa niko vizuri sana maana pesa kwetu sio tatizo zipo za kutosha. Nisaidieni wakuu...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Nimekupenda/ kukutamani nimekuvuta kwa hela nawe ukavutika,nikakutunza,nikakutumia vya kutosha mpaka nikawa sioni tena jipya kutoka kwako. Siku nikitaka kubadili ladha,tafadhali usinikatalie...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Kuna wanaume wanahisi wanawake hawaumii sana kama wao kuhusu suala la usaliti, ukweli ni kuwa: Siku mkeo anakukamata na usaliti hiyo ndo siku umemtafutia mchepuko. Mke wangu akijafanya ujinga...
4 Reactions
21 Replies
854 Views
Japo sisi wanawake tunafake.Tunafanya maisha kuwa rahisi. Wanaume wengi mabubu hadi flavour inaisha. Pigeni kelele bna Kelele ina raha yake eti
6 Reactions
519 Replies
55K Views
Ni ngumu kiasi kukutana na mwafrika attractive, wengi hatuna sura na maumbo ya kuvutia, na sababu kubwa ni kwenye culture hatuchagui wenza wetu, wengi tumezaliwa na watu ambao hawakuchaguana...
13 Reactions
107 Replies
4K Views
Anawatoto watano sasa. Mume wake aliondoka miaka 5 iliyopita, akaacha watoto watano: wamwisho (miezi 9), wakati huo mtoto wa pili (3) kutoka mwisho anaumwa (Athma). Mwanaume akaondoka kachukua...
9 Reactions
89 Replies
3K Views
Usuli Naingia kwenye mada moja kwa moja pasipo kuwachosha. Wakati mwingine wanawake hutamka maneno mbele za waume/wapenzi/michepuko ambayo wao hudhani kuwa yanawajenga kumbe yanawaanika bayana...
4 Reactions
104 Replies
7K Views
Unaweza kuwa umemuita au kajileta mwenyewe kwa vimaneno vyao "baby nimekumisi" Sasa mpo getho usiku wote mwenzio hana habari nawewe. Yeye yuko uko Instagram, Facebook na Tiktok. Anasurf tu huku...
4 Reactions
38 Replies
1K Views
Wakuu kwema ? Kuna jambo huwa linanishangaza saana yaani katika familia yetu au baadhi ofisini nilifanya jambo linakuwa linaongelewa sana liwe baya liwe zuri yaani maneno yankua hayaishi...
7 Reactions
16 Replies
919 Views
Habari.. Nimetamani kushare kuhusu mwanaume limbukeni. Yule ambae anahisi akikupa ela ndo kamaliza kukupenda na kukujali. Ambae mali yake kila siku inaliwa na vijana wa mtaani, wachora kucha...
5 Reactions
63 Replies
2K Views
Wana jf nawapeni hii thread ni very critical Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia...
8 Reactions
84 Replies
5K Views
Unafanyaje kumaliza haja zako na isiwe dhambi kama upo nae mbali kutokana na changamoto mbalimbali za maisha Nimesema kwa wanandoa sio vinginevyo
20 Reactions
149 Replies
6K Views
Nikizungumzia mademu wenye hela sizungumzii hawa mayatima nazungumzia wanawake wenye pesa yao halisi. Kifupi hawa wanawake walicho bakisha kwao ni wapi watapata furaha, mtu wa kumuelewa na...
2 Reactions
111 Replies
4K Views
SHE’s DEAD [emoji2731]
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Najua kuna watu watabisha sana ila mwanaume hata kama mwanamke wake ageuze mahaba na yawe kama ya wacheza pornograph lazima tu mwanaume atafata tu hurka yake ya kucheat. Hata kama bado aoe wake...
0 Reactions
10 Replies
741 Views
Huwa najiuliza hii inakaaje yaan kila rafiki au marafiki nao wapata wanataka mashindano na vita namm. Mwanzo nilijua ni coincedence baadae nilipofanya Tathmini nikagundua ni pattern kabisa kua...
6 Reactions
32 Replies
1K Views
Binafsi machalii wa sasa siwaelewi kabisa kama wapo tayari kwa ndoa au wanaigiza? Sio wanaume sio wanawake yaani wote wanafanana ni kama kichaa na mwendawazimu wamekutana pamoja kuanzisha...
4 Reactions
14 Replies
654 Views
ANGALIZO: HII NI SIMULIZI YA KUFIKIRIKA, NIMEITUNGA MIMI MWENYEWE ILI KUJIPIMA NAMNA YANGU YA UANDISHI. NIMEONA NIWEZE KUSHEA NA WADAU ILI KUONA KAMA ITAKUBURUDISHA, AU LAA, SO UKIVUTIWA NAYO...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom