Siku ya wanaume.lini Jamani navona ya wanawake tu mnasherekeaaaa
Mkumbuke fathers day sio ya wanaume n ya wababa.....kama baba hioo sikuyakooo
Muanze kudai siku zeenu wanaume
Maana kila nikitongoza Wadada anasema yupo kwa mahusiano.
Sio poa
Inaniumiza kichwa sana kupata ninayemhitaji.
Chaajabu kuna wadada wanaonekana kunikubali asilimia zote hata sjawatongoza...
Ukitoa 'K' mwanamke hana mchango wowote kwenye mahusiano.
Kwenye birthday yake ulimnunulia zawadi, hela ya salon na kumtoa outing,
Kwenye birthday yako zawadi anayokupa ni kukuchanulia mapaja...
Wasalamu, ukiangalia Katika familia nyingi wamebaki kina mama. Kina baba wanakufa sana.
Hivi sababu ni nini? Mimi naanza na zangu.
1. Majukumu mazito ya kulea familia
2. Tabia hatarishi Katika...
Kuna watu kwa nje wanafurahia mahusiano ila ki uhalisia wanateseka sana na anayewatesa sio mwingine bali ni huyu mtu ambaye SIKU UKISEMA HUNA TU BASI HAKUNA MAHUSIANO 😔
Je, upo kwenye mahusiano...
Miaka kadhaa wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wamekuwa wakiulizia naoa lini lakini nikawa hata siwaelewi.
Sasa kuna binti mmoja, miaka 25, mzuri, anajitambua na mpambanaji nimekutana naye na...
Habari ya saa hii wana jukwaa pendwa,
Yani nimekaa hapa nikaona nishee na nyie hiki kisa. Nilikuwa kwa sista yangu mkoa fulani hivi nilipitia hapo nikitokea mahali nikasema niwasalimie. Sasa...
"Kuna huyu binti tulipendana sana, kutokana na mambo ya kazi muda mwingi yeye ndio huanza kunicheki iwe kwa kupiga au sms, sasa ghafla kaanza kulalamika kwamba kwanini kuwasiliana mpaka anitafute...
Ndugu zangu.
Sipo hapa kukashifu wanawake ila ukweli usemwe vijana wapone, vijana wengi wanafanya kazi ila ni masikini sana kwasababu wanadate na ombaomba.
Wanawake wamekua ombaomba sana kutwa...
Ndugu wanaume wote
Njoeni hapa tusake kwa pamoja njia mbadala maana wanawake wanatunyanyasia sana tamuu zao maana huwezi kulala nayo ndani na bado akakubania waziwazi kwa kisingizio cha amechoka
Habari zenu!
Kama kawaida sisiti kuachia nyuzi za upendo kwa dada zetu. Lengo ni jema tu ingawa wasiotaka kubadilika hunichukia.
Mama mwenye familia yake haijalishi ameolewa au hajaolewa...
MUHIMU: Mbinu hii haitumiki kwa magurumbembe na gold diggers, ni kutwanga maji kwenye kinu.
BE HER DADDY, MFANYE AKUONE WEWE NI KAMA BABA YAKE,
Niseme tu ya kwamba ukiweza kuwa yule mtu anaeona...
Jana nimepanda daladala ile kuingia tu nikakaa siti moja na mdada kumbe yeye ananifaham na mimi nilishamsahau, kumbe niliwahi kufanya nae kazi kipindi flani, akaanza kunichangamkia kwa stori mbili...
Wakuu za sahizi, 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nipo hapa nacheka kaa fala kwa kweli. Hii ni baada ya kuona baadhi ya wanaume wanadatishwa kwa avatar za wanawake humu ndani bila kuangalia uhalisia. Asee nyie watu...
Habari ya wakati huu JF members, nina imani mnaendelea salama. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, naomba kushare japo kidogo hili swala ninalolipitia.
Mimi na familia yangu(baba, mama, kaka...
Wakuu salaam
Hawa viumbe ukiwafukuzia sana wanakukwepa utadhani hawana uhitaji kabisa na mwanaume, mpaka unajiuliza hicho kichongeo kapewa cha nini. Mbaya sana ikitokea amekukubalia baada ya...
"Formula yangu ni ile ile mwaka wa 7 sasa. Nikimtumia baba pesa X mama 2X" - Idriss Sultan
Vijana kama hawa wakizeeka ndio wanaongoza kutoa lawama kwa watoto wao wa kiume kuwa wanaegemea sana kwa...
KWANINI ULIKUJA KWA KUSHTUKIZA BABA?
Akiwa bado yuko safarini baba anold akajisemea
"enhee wacha leo nimsurprise wife"
na alitaka afanye hivyo ili kuupima uaminifu wa mkewe baada ya kusikia...
Oi mko murua wadau?
Kwahali hii wanaume tuna safari ndefu sana hapa duniani.
Kumekua na tabia ya kushangaza sana aisee, unakutana na mdada unaomba mbadishane namba, kabla ya kumweleza nia yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.