Falling in love...
I believe that for many of us it's easier to fall IN love when we out of relationships and OUT of love when we are in relationships.
Kabla ya kumuweka mtu mikononi sauti...
Binafsi niliachana na mpenzi wangu niliyeishi naye Kwa zaidi ya miaka mitatu na tuliachana baada ya mikwaruzano mwaka Jana June.
Kiukweli maisha niliyoishi ni mabaya Sana bila mwanamke yaani...
Habari wana MMU,
Leo si siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwangu, namshukuru Mungu wa kuongeza mwaka mwingine nikiwa na afya njema kabsa.
Mwenyezi Mungu awaomgezee wazazi wangu miaka mingi na heri...
1👉Je mwanamke wako ameanza kuwa na mitoko au safari kuliko ilivyokuwa huko nyuma??.
2👉Je mwanamke wako macho yake na akili yake yote ni kuwa karibu na simu yake??
3👉Je kwa Sasa amekuwa active...
Habari za wakati wana jf.
Naomba ushauri wenu tafadhari.
Mimi ni kijana wa miaka 28, kwa sasa ninaishi dar, elimu yangu ni chuo kikuu, Nina kazi na kipato changu ni cha wastani.
Katika maisha...
Habari wana jf,
Moja kwa moja kwenye mada, katika pita pita hapa na pale nikiwa mkoani manyara alimaarufu kama mkoa wa Wambulu mix Wamasaai na wengine wanajiita Wairaq sijui kwanini wanajiita hio...
Anadai anaona soni
Anataka taa zote za humu chumbani eti zizimwe
Ndio, zizimwe kabisa, tubaki kwenye giza tii ndo yeye avue nguo[emoji15]
Yani hata TV izimwe maana na yenyewe ina mwanga, na...
Wasalaam jamani.
Kuna watu ambao mahusiano yao yametawaliwa na
"baby come back/baby please stay" miaka nenda rudi. Kuachana na kurudiana ni jambo la kawaida kwao maana kila mmoja anamjulia...
Na. John- Baptist Ngatunga
___________________________
Kwa kawaida, kila binadamu anayafanya makosa. Lakini yapo makosa mengine ambayo pamoja na ubinadamu wetu hatupaswi kuyafanya. Tunatakiwa...
Mimi ni binti wa miaka 33, baada ya kumaliza chuo nimekua nikiishi kwa Kaka yangu huu ni mwaka wa kumi sasa. Mwanzo nilikua kawaida na wifi yangu, lakini baada ya muda nilijikuta tu na mchukia...
Nasikitika kulisema hili. Ila wanawake wa rafiki zangu ambao walikuwa na mahusiano ya kimapenzi, sasa wanataka kimapenzi.
Wengi wamekuwa ni wapweke licha ya kwamba wanajimudu kiuchumi, wananiomba...
Utafiti unaonesha, mtu akifika kileleni, mwili wake unapatwa na Msukumo mkubwa wa damu hivyo sehemu zenye michubuko zinaweza kutoa damu.
Mfano.. kama unapiga maswaki na kutokwa na damu kwenye...
Kila siku utasikia wanawake hawapendani blah blah blah....kama wanaume mnapendana sana mbona kwenye "THREESOME" huwa haongezwi mwanaume???
😆😆😆
Just joking guys....juuuuuuuuust joking😁😁
On to...
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwa mada yetu inayosema kuliwa na kuachwa ndicho kilio cha wanawake wengi.
Asilimia kubwa ya wanawake wamepitia katika mahusiano na katika mahusiano hayo...
Mambo vipi.
Masela wasome hii watapata kitu
Kuna mwana hapa mtaani ana mwanamke wanaishi pamoja kama miaka miaka mitatu sasa. Wana mtoto mmoja wa miaka miwili. Ila mwanamke alishawai kuwa na...
Wanaume na mtihani mgumu wa kuchagua kati ya mama au mke. Hii na makala katika gazeti la mwananchi. Uislam unasemaje?
Kaa tayari upate
kutoka kwa Anas bin Nadhwiri Al-Ashijainiy amesema: Siku...
Habari wana JF humu ndani natumanini kila mmoja ni mzima wa afya kabisa
Bila kupoteza muda niiende moja kwa moja kwenye kisa changu cha kweli kilichonitokea na nitajitahidi sana kugusia mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.