Wanaume tulioa tuitane tukae kikao 2025 na 2026 tutulie kwenye ndoa zetu, tuangalie wale mabinti wanaoenda kwenye mahotel kupiga picha vitandani au kwenye vioo sijui wanaita kuflex.
Kama...
Wawami ndio akina nani?
Wawami ni kifupi cha wanawake wapiga mizinga. na kuna aina nyingi sana za kikosi hiki cha kupiga mizinga utofauti ni mbinu tu.
Ntaelezea kadhaa nanyie mtamalizia mengine...
Habari zenu wakubwa,
Mada nyingi humu mnasapoti pesa ndo kinasio cha kuwanasa wanawake lakini ukiangalia wenye nazo ndo wanasalitiwa sana,unakuta mwanamke kaolewa na tajiri baada ya mda...
Nimejaribu kuutafakari huu utamaduni wa ndugu zetu wahindi linapofika swala la ndoa familia ya mwanamke ndo inawajibika kulipa mahali kwa familia ya wanaume .
Ukituzama kwa mbali hawa ndugu zetu...
"Wakuu naoa mimi 😂😂
Alooo 😂😂😂 Kwanza ncheke
Naongea kwa utani kwasababu mimi nina masihara sana. Hadi sasa nina miaka 34. Wadogo zangu wote walishaoa. Umri wangu walishaoa. Kila naemjua alishaoa...
Heri na fanaka kwa wote , Allah awajalieni herina wepesi wenyr changamoto.
maisha kwa ujumla wake hayajawahi kuwa kwenye mstari mnyoofu wakati wote, kuna kupanda na kushuka kwingi lakini dhana na...
Nje ya mama mwanamke hana upendo wowote kwa mwanaume.
Nje ya mama mwanamke hana huruma kwa mwanaume.
Mwanamke hamuhitaji mwanaume kwa aina yoyote ya hitaji kinyume na mwanaume mwanaume anavyo...
Wanabodi,
Naomba kuuliza, hivi kwa nini wanawake huwa hampendani?!, Inawezekana kuwa ni kweli, adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe?!.
Naomba niwape mfano mdogo tuu toka humu humu jf,
Siku...
Kwa haraka haraka kifuatacho ni majanga kama ya ujane na watoto.
Nashauri baharia wote tukae mkao wa kula tugawane hizo toto's.
Hio inaitwa wamrambee, wamnyonyoee, hawavumi ila wako Ardhi...
Maisha yanakwenda kasi sana ndugu zanguni[emoji23][emoji23] Nimechoka kutongoza ndugu zanguni, sio tu kutongoza, bali hata kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, nimechoka. Nimechoka, Nimechoka...
Alipoona Kandili hajibu neno aliongeza, “Nitakuibia siri yetu wanawake. Sisi huwaweka wanaume wote katika mafungu matatu. Fungu la kwanza ni la wale wanaume ambao tunawapenda kwa dhati. Wanaume...
JAna nimetoa post kuwa naumwa ila sikuwa naumwa nilikuwa natolewa kafara na mtu niliyempata humu.
Ila kitu ambacho hajui nipo ndani ya bwana yesu na hakuna kitu au mtu wakutoa hii roho maana...
Kumekucha!
Baada ya kuwapopoa wanawake ombaomba wanaojificha kwenye kichaka cha mapenzi sasa nawarudia vijana wazinzi (both men and women).
Uzinzi haujawahi kuleta tija kwa mtu yeyote tangu...
Hiyo miaka ya 90 mzee baba.
Nakumbuka mwaka 94 nikiwa darasa la tatu kuna jamaa mmoja alikuwa kampangishia mchepuko wake nyumbani kwetu then mchepuko ukazingua, jamaa siku hiyo alikuja zake na...
Binadamu yeyote anahitaji kuwa na furaha, pamoja na kuzungukwa na watu mbali mbali ambao watamfanya achangamke na kuondoa au kupunguza tatizo la msongo wa mawazo.
Hii imekuwa ikitokea kwa baadhi...
Wana zengwe
Nawaambieni, tafuna mifupa wakati meno bado yapo
Weekend hii imekua mbaya sana, nilijipanga kwenda kuona maziko ya mnyama pale kwa Mkapa, ila wale wa Botswana wapuuzi sana...
Jamani, kichwa cha Habari kinajieleza.
Mimi nilikuwa na mwanaume nimemzidi miaka 10, mwanzoni hata haikuwa serious maana tuko tofauti,
ila mi ni wale wanawake ambao nikiwa na mwanaume basi bahati...
Kichwa cha habari chajitosheleza...Yaan mwanamke hubaki kusikiliza mwanaume ameamua nini...Huwa hawajali kabisaa,awe msomi, mwanafunzi, mke wa mtu na n.k..
Wenyewe hubaki kusikiliza mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.