Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Waungwana, Maeneo tunayojidai ni maeneo ya kazi au shughuli zetu tunazotenda kila siku ni sehemu ambazo zina michakato kiutendaji na fani na maudhui mbalimbali katika maisha yetu ya kila siku...
48 Reactions
102 Replies
6K Views
Jamani mimi napenda sana harufu ya uvundo wa nguo yaani unakuta nguo imewekwa kabatini ikavunda yaani ile harufu naipenda mpk natamani kula nguo Harufu ya mchanga mvua ikinyeshaa lazima nichote...
6 Reactions
44 Replies
1K Views
Ni aibu na fedhea sana... Inakera, inachefua na kusikitisha sana.. Inaamsha hasira sana, kuona au kuskia mtoto, ndugu, jamaa au rafiki wa familia amekumbwa na uchafu, unyama au uharibifu huu...
0 Reactions
2 Replies
358 Views
Wasalamu wana MMU Mimi ni member wa jukwaa hili wa muda mrefu. Nimeamua kuja na ID hii mpya kwa ajili ya hili suala. Mimi ni kijana chini ya miaka 38. Nimeo ila ndoa yangu imeingia kwenye...
23 Reactions
194 Replies
8K Views
Hello. Ni nani aliye na Hizi tabia . 1. Nachelewa sana kulala hadi nagombana na mke wangu. 2. Mvivu kupokea simu ,ninaweza kuiona itaita ila nitakupigia au kukutumia sms tu. 3. Ninafanya jambo...
16 Reactions
79 Replies
3K Views
wakuu nina mke kiburi sana, Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu. Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au...
18 Reactions
115 Replies
5K Views
Za asubuhi Kwenye majira flani hivi yaliyopita nlikuwa mahali ofisini, nafanya mishe zangu, mara akapita mdada jirani wa siku nyingi kidogo tunaefahamiana kwa majina tu ila sinaga mazoea nae...
8 Reactions
52 Replies
2K Views
Halafu unakuta ni pisi ya kwenda + wife material, umemkuta yupo 22 akiwa bikra (mali adimu), hazijui jeans wala suruali, anakupenda kuzidi unavyompenda. Shida inakuja mwanzoni wala alikuwa...
3 Reactions
15 Replies
544 Views
Eti ebu njooni mnijibu sisi sijui tutaolewa na nani? Mwanaume akikutongoza sasa hivi anakuuliza unaushi wapi, ukimwambia nyumbani Anakuuliza tena kwako au kwenu? Sasa ukijiroga ukasema unaishi...
10 Reactions
39 Replies
2K Views
Ni kweli asilimia kubwa ya wanaume wamezaliwa na uwezo wa kufanya mapenzi Tatizo kubwa ambalo naona linawasumbua watu wengi ni kukosa hisia na sio kutokuwa na uwezo Tatizo lilianzia pale ambapo...
4 Reactions
8 Replies
692 Views
Kwanza kabisa shukrani za dhati kabisa zimuendee maumba wa mbingu na ardhi.. Mimi ni mlinzi katika moja ya apartment zilizopo masaki Dar es Salaam, nilipata mafunzo yangu ya mgambo mkoani Pwani...
17 Reactions
80 Replies
3K Views
Before Mr Ibu died: ▪️first wife divorced him & took away his savings ▪️Second wife accused him of sleeping with daughter ▪️Consequently, he suffered diabetes ▪️Had blood clotting & dead blood...
8 Reactions
103 Replies
5K Views
Irene uwoya, so beautiful aiseeh. Au nakosea vidume wenzangu?
15 Reactions
91 Replies
5K Views
Kwanini Mtu anapomaliza kupiga NYETO (Kujichua) anaanza kujutia kwa kitendo hicho? Habari wadau tushirikishane suala hili kwanini inatokea hivyo? Uzi huu isifutwe majibu ya hapa yatasaidia...
2 Reactions
24 Replies
1K Views
Mimi ni msichana pekee na mtoto wa mwisho kwenye familia yangu. Nina kaka zangu wawili ila wamenipita kidogo kiumri na siko karibu nao sana kwa sababu tokea nikiwa mdogo, huwa wananiona kama mtoto...
12 Reactions
49 Replies
3K Views
Ujumbe huu huwahusu zaidi wanawake ili kiwajengea stara kwa wenza wao na kiwapa moyo ili kutowatoa mchezoni, hasa kimawazo, wakati wa tendo. Ewe mwanamke, epuka kauli hizi. Badala yake, tafuta...
15 Reactions
50 Replies
4K Views
Akili zao wanazijua wenyewe!, kamshawishi rafiki yake anitege nami babu rambaramba nikategeka!,nae alietumwa kadata na penzi limemkolea baada yakukutana na huba toka anga za unyamwezini...
4 Reactions
25 Replies
1K Views
Signed out
107 Reactions
977 Replies
20K Views
Ndugu katika ujenzi wa taifa na umoja wetu wa Jf. Ukipishana nao huku na huko utagundua macho yao yanalenga kwenye zipu zetu huku midomoni wakiwa na maneno matamu kusifia matango makubwa na...
1 Reactions
3 Replies
620 Views
Kumekuwa na shauku kwa vijana wengi kutamani kwenda kufanya kazi nje ama kuishi nje. Tukitegemea kuishi kwao nje, watafanya mambo makubwa hapa nchini, kama vile umiliki wa viwanda, umiliki wa...
5 Reactions
50 Replies
1K Views
Back
Top Bottom