Johnson Antony anasema mke wake akimkosea ananuna mpaka wiki mbili na akimgusa anamtoa mkono au anasema amechoka yani inaweza kufika mpaka miezi 9 ajapewa unyumba.
Credit: WasafiTv
Kwakweli mzazi yule nilishamsamehe ila sijawahi kumsahau kwa kupotea katika umri wote wa makuzi yangu.
Halafu bila hata aibu siku ya harusi katokea![emoji15]
Habari wana jamii, me nmekuwaga msomaji wa humu muda mrefu tu na mm sasa nimeamua kuwa member.
Moja kwa moja kwenye mada eewe mume mjali na mpende mkeo hata kwa 60% then endelea na mambo yako ya...
Wakuu kwema?
Aisee kati ya kitu kinakera ni kukutana na mwanamke aliekeketwa. na inashangaza sana kuona kwamba bado kuna jamii zinazokeketa mpaka Leo hii.
Hapa nilipo wanawake karibu wote...
Hawa majamaa zangu wanambwembe sana mix misifa ya kutosha utafikiri wana undugu na wakina
Martin Lawrence. Sasa siku moja walinishtua tushuke maeneo ya sokomatola (kwa wenyeji wa mbeya wanakujua...
Utangulizi
Nimekua nikisoma habari mbalimbali katika mitandao ya kijamii, katika Jambo ambalo linanipa maswali ni mabadiliko ya vigezo vya kuoa au kuolewa
Wakati nikiwa kijana mdogo kuna maswali...
Habari zenu
Kuna demu fulani hivi tabia zake zimenishtua, yaani yeye hapendi mapenzi ya taratibu, anapenda fujo kinoma, haswa kitandani.
Ikifika muda wa sex yeye anataka fujo, hataki zile za...
Unakuta kipindi hicho umefwafwanzika life halisomi na kila mwanamke unaemtongoza anakutolea nje "utasikia nataka bwana wa maana huna hadhi ya kuwa na mimi"
Sasa maisha yamekunyookea umejipata...
Wataalamu,
Acheni tu, leo mjukuu wenu Niko oves sana.
Nimegundua Dem wangu kumbe anafanya kazi ya kujiuza huko Ulaya.
Kilichonifanya nigundue ni kama bahati tu. Nimewasha VPN ikasoma UK halafu...
Ndugu zetu Islam na wazee wa Mila wameweza kudumisha ndoa za wenza wengi na kutokana na elimu waliyonayo ni jambo linalowezekana sana na linatibu jamii ambayo infidelity imekuwa order of the day...
Mimi nimeanza ngono nikiwa na miaka 21 sababu zipo nyingi ila mojawapo ni kutojichanganya na makundi yasiyofaa.
Muda huo nilikuwa nashuhudia vijana wadogo zaidi yangu wakizichakata.
Mwanamke wa...
Mahusiano ya kimapenzi ni sehemu nyeti sana ya maisha ya mwanadamu na ndipo sehemu kubwa ya Maisha hufanyika au ni muda mwingi huwa tunatumia katika kufanya maisha yetu.
Kuna watu wanaopata...
Ntajikita zaid kwa wale waarabu na wahindi orijino tukiachana na hawa waliochanganywa changanywa.
hasa kwa waarabu, yaani hata uwe wa dini yao, uvae full set baraghashia + kanzu + kobazi na...
Kwema Wakuu!.
Kwa sisi wazoefu wa haya mambo. Kama unatafuta mchumba au mke ambaye utataka umuone mzuri daily basi haishauriwi umtongoze vuupuu! Utakwama! Haina tija kwako. Labda awe demu wa eat...
Mambo vipi wanajumuiya ya JF?
Kwa mara nyingine tena niwaalike kwenye interview!!
Leo mgeni ni mmoja tu!
So naomba uchaji uwepo,
Mgeni wetu leo ni lara 1
Mada: Mapenzi Na Pesa..
Naamini...
■ Kama umeenda kufanya mapenzi na mdada anekujua wewe ni tajiri, hakikisha ile kondomu mlio tumia usiache hata kwenye dustbin. Ichukue na uitupe chooni na ukiflash kabisa. Tofauti na hapo...
Nina rafiki yangu tulifahamiana kwenye mitikasi ya utaftaji wa maisha, huyu rafiki yangu tumekua tunasaidiana mambo mengi sana.
Kuna kipindi alipata tatizo kubwa sana alijitahidi kuomba msaada...
Kipindi hicho nipo chuo mwaka wa pili nikiendelea kula kitabu na kufurahia maisha ya chuo bila stress na bata za chuo zikiendelea kama kawaida.
Basi nilipanga mtaani kwenye nyumba ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.