Mara ooh naona uko na baridi, mara ooh nije kukupikia, mara ooh ukiangalia pembeni yako nipo. Na ikumbukwe sijachomeka neno lolote la kumtaka in love hapana hua najiuliza huyu mtoto anataka nini...
Nampenda sana mke wangu, natamani niwe nae na kifo tu ndo kitutenganishe, kama watoto wetu watakua wakubwa, basi bora tufe pamoja.
Ila nikisikia kesi kua wapenzi wanaachana hata baada ya miaka 20...
Poleni sote kwa msiba wa Rais wetu mstaafu Mzee Mwinyi. Mungu ampumzishe kwa amani.
Kufuatia kifo chake pamoja na kuwa ameishi miaka 98 ametangulia na kuwaacha wake zake.
Hii imenifanya...
Kuna siri za familia, yes maadam mnaishi kama mume na mke kuna vitu vingi mnashea pamoja. Hivyo vinabaki kuwa siri ndani ya familia na hamsemi kwa wengine.
Lakini kuna siri kuu. Hii ni yako wewe...
Habari wana JF, nataka kumfungulia mwanangu duka la kuuza sabuni za maji. Tayari ameshapata knowledge on how to prepare it kupitia Social Media. Kilichobaki ni mahali pa kupatia malighafi za...
Habirini wakuu,
Moja kwa moja niende kwenye mada. Tangu nipate japo maarifa kidogo ya kufanya academic research nimekuwa na interest fulani ya kutafiti mambo mbalimbali yanayohusu mahusiano...
Tukiwa tunaendelea na maombolezo ya Mzee Ruksa, naomba tuchangie hii hoja kwa ufasaha mkubwa
Kuna Binti nmekutana nae wiki kama 5 zilizopita ,nasali nae sehemu Moja pia hivyo haikuwa na shida...
Wale ambao mshakuwa single Maza poleni sana Sina Cha kuwaambia zaidi ya kuwakumbusha kwamba maji yakishamwagika hayawezi kuzoleka Tena
Enyi mabinti
Usibebe mimba wakati upo kwenye mgogoro na...
Huwezi amini, muda huu jamaa na pisi kali yake ndio wanamalizia kuambukizana ukimwi, gono, kaswende UTI sugu kwa styles kama zote na wengine wanajipanga kufanya hivyo leo jioni na usiku wa mwaka...
Nawashauri wanawake wenzangu tuishi vizuri sana na waume zetu ,tuwapende tuwajali pia tuwe na masikilizano ndan ya nyumba sambamba na kufanya maendeleo na kuwa na mchango chanya katika ayo...
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii convo ya wapenzi wanaoishi mbalimbali.
Angalia hapa jinsi mahusiano ya mbali yanavyoendeshwa na hawa watu.
Nilianza kimzaa mzaa, nikaanza kujiunga kwenye magrupu ya wafanya biashara, wajasiriamali, wanaofanya fedha za kimtandao n.k kutoka huko duniani.
Nimekuwa namwaga nondo nzito, za kibiashara za...
Kama mwanume anaweza kumkataa mtoto wake bila huruma Basi ni sahihi pia mwanamke kumkimbia mwanaume akifukuzwa kazi Au akikosa kipato tena bila huruma.
Wajumbe poleni na harakati za kulisaka tonge.Leo tujadili hili swala la kutamani ntu ya ntu ilhali una Yako.Imekuwa ikitokea Unakuta ntu inanchumba au hata nke ila haishi kutamani ya mwingine...
Imekuwa kawaida sana kwa nchi nyingi barani Afrika na hata duniani kujaribu kupinga ndoa za mapema na Tanzania ikiwemo. Kigezo kikubwa kimekuwa kitajwa kuwa umri kati ya muoaji na muolewaji...
Nimepigwa mno na single mothers ambao niliamini baada ya 'kupigika' tungeyajenga vizuri sana kwa maana wameshayajua maisha, lakini wapi!
Wa kwanza kanipiga, visa havieleweki tu kila siku...
Hello
Hii staili ya wanawake sijui niite ni udangaji, kukomoa mtu, au kumjaribu mtu, pale ambapo mdada umetongozwa tu leo, kesho unaomba hela, nlishangaa kugundua hadi watoto wa kiume wa form 4...
Wakuu habari,
Kama kijana pia mwanafunzi Hapa Duce mwaka wa tatu, kuna jambo moja ambalo siku ya leo nakwenda kufanya maamuzi na sijui hatima yake itakuwa vipi.
Kuna binti mmoja hapo IFM, naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.