Ku date na mwanaume ambae umemzidi miaka 2 it’s very tough kwakweli, though he is so caring and showers me with love 🥰😘 ila naona ni watoto hawajawa matured.
Ugumu zaidi unakuja kwenye ku get...
AMEPOTEA KISIWANI KEY WEST - 1 Umewahi kujua kwamba taa za barabarani huwekwa pia Kamera? Si kwa Tanzania, lakini katika miji mingine mikubwa taa za barabarani huwekwa Kamera ili ziweze kunakiri...
IMEANDALIWA NA *R.M - Professor of psychology Ohio state University-USA:
Anaanza kwa kusema......"Mwanaume anaweza kuchepuka na bado akawa na upendo wa dhati kwa mke wake lakini mwanamke hawezi...
Jf wasalaam
Sio Kwa ubaya tupeane Elimu tu. Mihemko na mjibu yasiyo Faa tujaribu kuyaepuka.
Kila mtu atoe mtazamo wake.
*MWANAUME MTU MZIMA:-
Kusherehekea happy birthday party bila hofu...
1. Mwanamke kapigwa mimba na mwanaume X anaenda kumtegeshea mimba Mwanaume Y, hapo unakuta Mwanaume Y kategeshewa sababu anajiweza kiuchumi, Mwanaume Y anakuja kugundua mchezo anaachana na...
na pia kipo kilekile chenye page 206 au kuna edition zingine?...kama zipo naomba wadau mziweke hapa naona nilicho soma kina pages chache sana ukilinganisha na jina la kitabu....Ahsanteni sana
Mwanaume mmoja wa nchi ya DRC, Hassan Remy amemuoa aliyekuwa mwalimu wake wa sekondari na kusema alishindwa kumsikiliza alipokuwa akifundisha darasani.
Remy amesema alimchumbia Maombi Jeannette...
Kuna watu wanahangaika na wanawake pasua kichwa kuwatuliza ili wawaoe wawe wake zao. Huko duniani kuna Musk hajaoa na ana watoto zaidi ya 10.
Wanaume nawashauri kama unaweza kulea tengeneza tu...
Moja ya tamaduni ya kishenzi inayopaswa kukoma katika jamii ya watu weusi hasa Afrika ni hii biashara ya kununua wanawake ili ummiliki kama mtumwa.
Hii tamaduni ya ulipaji mahari inaendeleza...
Wakuu mmepigaje hapo siku ya leo? Hakika na kweli wanawake ni kiboko mamba akapige shule.
zimepta siku 2 simu ya mwanamke wangu ipo kwa fundi wkt simu yake ipo kwa fundi nilichukua line yake...
Hivi wanaume mliooa na bado na michepuko nje mmeoa kwa ajili gani sasa? Au mihemko na mkumbo wa ndoa ndio uliowasukuma kufanya hivyo?
Huwa nashangaa sana mwanaume anasema ameoa na bado yupo busy...
Naamini kuna watu humu huwa wanaoana kimya kimya alafu ni member wenzetu tu, hapa na tupo nao kwa miaka mingi lakini mbona hatupeani mialiko ya harusi?
Au wana jamiiforums huwa amuowagi au kuolewa
Kwakweli kwa hawa wafuatao lazma kondomu aka ndom ihusike
i. Machangu-najua kuna watakaobeza kwanini mtu aende kwa changu. Lakn niwaambie tu hii ni vita, ashki zikishapanda uezi kujua utaangukia...
1. Ni Weupe
2. Ni Warefu
3. Ni Wanafungasha vzr
4. Ni wana Pua ndefu (demu mwenye pua mlalo walahi hana nafasi kwangu)
5. Ni wacheshi balaa
Nawapenda sana!!
NB. PESA NINAYO NISHATAFUTA!!
Napenda kuwasihi wanajamii, kwa kuzingatia matukio ya wapendanao kudhuriana.
*Napenda kuwashauri Wanandoa na Wapenzi, pale mmoja wa wapenzi anapomsaliti mwenzake, kufanya vurugu sio suluhu ni...
Wakuu naomba msaada wa maswali haya:
Ndoa ya kimila ipi?
Vigezo na masharti yake ni yapi?
Anayefungisha ndoa hii ni nani?
Wanandoa wa makabila tofauti wanafuata mila za nani?
Je ndoa ya kimila...
Ndugu yenu nimenasa nimenasa hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Mwenzenu nimepata mtoto wa kutoka TANGA nimechelewa kuzijua raha za kidunia maana huyu mtoto.
Ana wivu balaa anapiga simu muda wote...
Sina mengi ya kusema, natoa ushauri tu kwa dada zangu hasa nyinyi mnaoishi kwenye miji mikubwa.
Dada, kama bae wako anajifanya mbahili, hakupi pesa, wewe pika uji asubuhi ukauze kazini kwake...
Mimi Wadiz nawasalimu na hapa chini ni ujumbe wangu kwenu wenye kupangia watu maisha.
Wanawake wanatakiwa kujua sisi wanaume ambao hatutaki kuoa hatuna sifa ya husband material kabisa.
Ndiomana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.