Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Kijana mmoja kutoka Arusha ajulikanaye kwa jina la Idrisa Baltazari (30) amefanikiwa kumuua mpenzi wa mama yake aitwaye Manzi Yambayamba (34)...
Ikiwa hutokuwa mwaminifu kwa Mke wako,
Kuna uwezekano mdogo atakuacha.
Ikiwa utaonyesha uaminifu kwa mke wako,
Lakini utashindwa kumhudumia kiuchumi,
Kuna uwezekano mkubwa sana atakuacha...
Habari wanaJF, poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Hakika mungu ni fundi kama kweli yupo basi azidi kuwa na afya njema huko aliko 🙏, nilipata wasaa wa kutembelea jiji la Tanga, nikazunguka...
Nlikuwa na mahusiano na binti wa Kondoa huko, miaka 4 ya mahusiano alikuwa ni malaya wa kutupwa kila siku kazi ilikuwa ni kumfuma na matukio ya umalaya alafu kumuowa akawa ananipiga chenga...
Wakuu leo nimetembelewa na bint mmoja tulipotezana mwaka saa basi juzi katika kupitia phone book yangu nikaona namba zake nikamtumia msg na akanijibu na Kisha tukachati chat na kuniambia bado yuko...
Ndugu kwa masikitiko makubwa.
Ipo nguvu iliyopo mioyoni mwa wazazi wetu, ndugu, jamaa na marafiki na hata wazee wetu kabisa ya kumlazimisha mara kwa mara kijana aliyefika 30+ kuoa pasi na...
Habarini,
Nimewaza hali ya uchumi ilivyo, na tabia ya wanawake kupiga mizinga kila mwanaume anaewatongoza.
Najiuliza, mwanaume gani ataombwa hela siku chache baada ya kutongoza, halafu aweke...
Viungo vyetu havihusiani na ugomvi au mgogodoro wowote uliojitokeza kwenye mahusiano yetu.
Kunyimana tendo la ndoa kisa tumetofautiana kwenye kauli, kutokukupa pesa au majukumu mengine inakuwa...
Kwema!
Katika vitu nilikuwa naogopa ni kupima VVU. Ukimwi sio poa aseeh! Kwa sisi tuliouona miaka hiyo Watu wakiugua huo ugonjwa tumeathirika kisaikolojia. Hasa sisi wanaume ndio tunaogopa zaidi...
Nataka nijue Hotel gani hapa dar kwa kinondoni, Temeke, Makumbusho ambazo zina privacy 100% na bei isiyo ya kutisha isizidi 25k
Elewa maana ya privacy!
Je, ni halali kwa mwanandoa kubadili dini akiwa ndani ya ndoa?
Mfano mwanandoa akaamua kubadili dini na kuwa Muislam, na akaamua kufuata sunna ya Kiislam akaongeza mke wa pili, hii imekaaje kaaje?
Kuna watu ambao wamechanganyikiwa, wanapinga ndoa, kwa ujuha wao, nawaomba vijana msiwasikilize hao majuha wanawapoteza.
Wengi wao ni legelege, na hata tendo la ndoa hawawezi kwakuwa uume...
Habari za jumatatu wana jamvi.
Naomba kuleta mrejesho kwa kile nilichowaahidi mwishoni mwa wiki iliyopita. Zoezi limefanikiwa kwa 100%. Kazi ilianza hivi, jumamosi jioni dogo alipata mwaliko wa...
Kanda ya ziwa kila nyumba ina msimbe mmoja au wawili maana yake sio wavumilivu kwenye ndoa au ni wakorofi kwenye ndoa zao.
Ukija kanda ya kaskazini, Arusha na Moshi kuna wajane wengi hii maana...
Wanaume: Eeeeh eeh😎😎😎
mimi nasema: Wape Bia.
Ninaamini mko poa wakuu hii mada ilibidi ikajadiliwe kule JF Dokta lakini hili jukwa lapendwa
Nguvu za kiume now days ni big deal wakuu, kama huna...
Aisee! Ukiwa single unakuwa mpweke sana unakuwa Kama umetengwa kwenye kakisiwa kako uko Ukerewe ndani ndani. Kuna muda mpaka unapata mawazo ya kuanza kuwaza umri wako wa miaka 30 plus aisee hii...
Salamaaaa?
Hivi ni sababu gani hupelekea wazazi wengi kupendelea wajukuu wa watoto wao wa kike kuliko wale wa watoto wa kiume.Je ni kutokuwa na uhahika wa wa blood kwa wajukuu wa watoto wa kiume...
Kwanza kabisa salamu wapendwa,Mimi ni mwanaume wa Miaka 26 naishi na Mama nyumbani. Tunaishi vizuri lakini kuna Baadhi ya mambo yananikera sana nikiwa nyumbani;
1 .Hii tabia ya mama kuingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.