Habari wanajf
Nilienda mkoa mmoja hivi kwa shughuli binafsi, wakati nipo pale kwa muda mchache kulikuwa na tukio moja limetokea na story yake iko hivi mdada mmoja mzuri sana pale mtaani alikuwa...
Tendo la ndoa ni miongoni mwa vichocheo muhimu sana vya kuimarisha upendo miongoni mwa wachumba na wanandoa..
Baadae ya tendo, purukushani au zoezi zito sana, na tamu mno la ndoa kukamili katika...
Mfanano wa kesi:
Zote ni za kaskazini
Zote zinahusu mabilionea wakubwa Tanzania
Zote zinahusiana na utajiri, chuki, visasi.. No more [emoji174]
Utofauti
Moja ni talaka, wanandoa wote bado wako...
Habari
Kutokana na wapenzi wetu tuwapendao wamekua ghali sana kupita kiasi, katika harakati za ugumu wa maisha na kupunguza matumizi ina bidi umkwepe kwepe kinamna kwa kujifanya upo busy sana...
Home Arusha, Baba Mngoni, mama mchagga
Wanaume tupeni uzoefu mlipotongozwa live live bila tafsida na wanawake.
Personally huu wehu alinifundisha mwanachuo mwenzangu fulani tukiwa Kenya...
Habari wana MMU. Niko mbele yenu kuzungumza jambo, walio nyuma yangu ni wana Jamii Intelligence. Kwa unyenyekevu naomba kuzungumza kitu
Uzi ulikuwa hosted on 11th Dec. 2011, hakuna hata kiumbe...
Huyu dada anajini kali sana amepitia kila mahali halitoki tumechoka kumsaidia je nani anayeweza kumsaidia maana linamfungia kila kitu chake . Hata atakaje lipo tu.
Kumuomba Mungu . Kachoka . Kwa...
Habarii ndugu zangu Wana jf,Ni muda Sasa nimekuwa nikifanya sex under performance yaanii chini ya dakika mbili tayarii nakuwa nimeishamaliza na hunichukua Hadi dakika 15 au zaidi kurudia round ya...
Ndugu zangu.
Hawa viumbe, hawa viumbe
Enyi wanawake wake zetu wenye viburi na wengine wenye utii wa kinafiki kama mwanaume kakuomba umsaidie kwenda mahali kama huendi sema tuu hauendi kuliko...
Ikitokea umenunua gari used,kwasababu ni ngumu sana kumiliki zero kilometer basi kuwa makini sana Dereva.
Hakikisha mmiliki wa mara ya kwanza wa gari hiyo,hana funguo ya ziada.
Kuna nyakati gari...
Kuna mwanamke fulani nilimkuta baa fulani analewa nikaona acha nijisogeze, kweli nikafanikiwa kukaa naye hakuniringi.
Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila...
Rais Biden wa Marekani anasema msingi wa ndoa yake ni mapenzi motomoto na mkewe, good sex.
Biden anasema huwashauri wasaidizi wake wasiache kufanya mapenzi kadri wawezavyo.
Biden ana miaka 81...
Habari zennu....! Habari zennu...!!
Ebwana wazee mbona hatuambizaniiii..!!!
kwa muda kidogo nimekua nikifanya haka kautafiti ili kugundua ni kwa namna gani naweza kumtega mwanamke kivitendo...
Waswahili wanasema kwamba ukila nyama ya mtu sio rahisi kuacha hata kama utaahidiwa nyama nono ya ng'ombe kila siku. Wakati nilipopokea video hii (tazama hapo chini) kwenye kundi sogozi nilidhani...
Hivi mtu mpaka anauliza hili swali huwa anawaza kitu gani haswa?? Yaani umekaa ukafikiria ukaja kuuliza swali ambalo majibu yake unayo
Mwanamke ana mengi ya kutoa kuliko hata wewe mwanaume…...
Salaam, Shalom,
Ilikuwa yapata kama majira ya saa tatu hivi usiku, tulikuwa tumemaliza kupata chakula Cha usiku, tulikuwa tukijiandaa kufanya Ibada kabla ya kwenda kulala. Wakati huo nilikuwa na...
Wadau huko vyuoni Watoto wa kike hupitia sana, hebu niwachanue from my experience.
1. Nafanyiwa shopping na wazazi kuanzia viatu, nguo nk.
Picha linaanza nimetoka kijijini kuja Dsm, full...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.