Ndugu nisiwachoshe msinichoshe
Jamaa ametuijia leo akiomba msaada wa ushauri, tukasema acha wengine tuingie hapa, mshikaji kampenda mwanamke lakini hamjui vizuri, sisi tunaishi na mwanamke nyumba...
Jambo hilo linaniumiza sana kichwa kuwa na mke mmoja naona kama sitotosheka Yani katika vitu ninavyovipenda, Mimi ni kujigijigi/kusex,pia napenda kuwa familia kubwa tu,lakini kuhusu kuwahudumia...
Hii Tamthiliyaa imekaa kimchongooo, uongo wa waziwazi !!.
Sema Kuna huyu HILLARY A.K.A GOOD BOY... na Huyu SYLVIA , MTOTO WA MJINI.
Good boy Leo kaambiwa Mimba imetokaaa baby 😅😅.
Ndugu wanachama na masenior , magavana na maseneta wote tuliobarikiwa kujielewa kwamba katika ulimwengu wa kibepari kuoa na ndoa ni adui wa maendeleo ya kiuchumi.
Karibu tufanye mjadala wa...
Baada ya kutembea na huyu mwanamke kwa muda sasa, leo ananifungukia hivi:
"Kabla sijaolewa nilitamani sana ndoa. Ila sijui kwanini baada ya kuingia kwenye ndoa, ndio anatokea mwanaume mwengine...
Kwema wana JF,
Leo sina maneno mengi ila nipo hapa kuwaasa mabaharia wenzangu kuwa wanawake wengi wa JF ni butu sana na wanapiga mizinga vibaya mno.
Ndugu ukitongoza mwanamke wa JF anakuvuta...
Unatakiwa Umzidi Mke Wako Mambo Matatu
1. Umri
2.Akili
3.Pesa
Mke Wako Anatakiwa Akuzidi Mambo Matano
1. Subira
2. Usafi
3. Mipango
4. Maombi
Na Mnatakiwa Muwe Sawa Kwenye Mambo Matatu
1...
Miaka ya 2000 mwanzoni mimi Babu Njunju mzee wa kunjunja na kunjunjumila niliteseka sana mpaka nikafikia kujipa cheo cha master nyeto. cha ajabu ili nigairi kunyetoka hiyo siku husika basi niwahi...
Habari za muda huu wadau. Mim swali langu ni fupi tuu.
Kwa mtu anaejua em apate kutufahamisha, labda kutokana na experience zenu tunaweza kujifunza.
Hivi imeshawai kukutokea njia panda kwamba...
Tunaishi watu 5, maisha ya kighetogheto. Kuna jirani yetu flani hajielewi kabisaaa, mme wake mwenyewe ni yanki tu kijana n anamzaa kabisa. Shida ilitokea baada ya mwanae kwenda kuhamia kwa...
Kuna uzi nimeupitia hapa JamiiForums, na michango ya wadau ikanifanya nijiulize. maswali mengi sana.
Uzi wenyewe ni huu Nimevunja Ndoa ya Ex Wangu kisa kumchangia Damu. Mumewe kawa mbogo kaapa...
1. Futa namba za ma-ex wako wote
2. Hata kama umechoka ni marufuku kumnyima mke wako dudu
3. Unatakiwa umsikilize kwanza mke wako kabla ya watu wengine
4. Hata ule chakula nje umeshiba ukifika...
Kama ulikua hujui kuwa MWANAMKE huwezi kumridhisha wacha nikufahamishe. Hii hutokana na mwanaume kuhitaji vitu vingi kutoka wa mwanaume. Na vyengine hata mwanamke mwenyewe havijui huku mwanaume...
Habari zenu,
Mimi kama Mtanzania mwenye upendo juu ya nchi yangu huwa najiskia vibaya tukisemwa vibaya haswa na Wakenya au raia wa nchi zingine. Najua tuna changamoto zetu kama poor customer...
Yaani unakuta mtu kukataliwa kunamtia wazimu.
Akishusha sound za kutosha halafu dada amkatae unakuta jamaa hachukulii kawaida hiyo rejection.
Anajiona kama mtupu na kudharauliwa kinachofata...
Mimi kwa umri wangu nina uzoefu wa wanawake, ime date na wanawake wasiopungua 50 hii sio sifa wala sio kitu kizuri Mwenyezi Mungu anisamehe.
Nimeanza ku sex kwa mara ya kwanza 1999.
Nirudi...
Leo tuachane na pesa, tuongelee muonekano wa wanachopenda wanawake.
Ila kabla ya kuachana na pesa wanaume huwa tunakosea saana kudhani wanawake wanapenda pesa tu. Common, mwanamke ni social...
Iko hivi, kuna mdau amenifata akanieleza juu ya mahusuano yake na mwanamke wake.
Aligombana na huyo dada ikafikia akaachwa, tena akaambiwa ana mtu mpya anaempenda sana. Jamaa akakausha ila baada...
Ndugu na yasema haya kwasababu wanawake wasasa wanajikuta na wao wanahaki na wajibu wa kutafuta mwanaume jambo ambalo siyo la kweli kabisa na hazikuwa tamaduni zetu na kupelekea wanawake wengi...
Bi. KHADIJA MKE WA MTUME MUHAMMAD NDIO SAMPULI YA MKE BORA AMBAYE UNAWEZA KUFANYA NAYE MAISHA.
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.
Ukisikia msemo usemao Nyuma ya kila mwanaume mwenye Mafanikio kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.