Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wakuu nimekutana na hii habari njema kutoka kwa majirani zetu wa karibu kabisa Hawa mila na tamaduni zao zingine si zinafanana tu na za kwetu hapa? Tuna kitu cha kujifunza hapa. *sosi...
4 Reactions
6 Replies
356 Views
Ukiona nyani mzee jua kakwepa mishale mingi. Kumcheka au kumdharau mtu aliyeumizwa na mapenzi ni dalili ya immaturity. Kama hujawahi kuumizwa na mapenzi jua wewe bado hujakua na hata kama umekua...
14 Reactions
56 Replies
3K Views
ACHENI KUGONGAGONGA HOVYO!!! Vijana wengi wanapambana sana lakini hawafanikiwa, kila wakijitahidi kujitoa kwenye janga la umasikini wanashindwa kabisa. Unashangaa tu mambo yako wala hayaendi...
35 Reactions
122 Replies
8K Views
Naona watu dhana ya upendo inawasumbua nadhani sababu ni uhaba wa maarifa. Elewa na fahamu kuwa MTU anyekupenda ni mtu yeyote asiyekutakia mabaya . Kina dada wanalia sana kisa hawaelewi...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Wasalamu. Katika ulimwengu wa leo hakuna mapenzi ya dhati kama zamani miaka ya 1980 kurudi nyuma. Ukienda kutambulishwa ukweni cha kwanza wanauliza anafanya kazi gani. Hawa wa kileo mnajuana...
18 Reactions
41 Replies
2K Views
Mwanamume aliyefungwa jela miaka 17 amemaliza kifungo chake na amemkuta mkewe akiwa mwaminifu akimsubiri amalize adhabu yake waendeleze maisha. “Nimefurahi sana kwa sababu mume wangu ameachiwa...
4 Reactions
46 Replies
2K Views
85 Years Ago to date, Sunday, 10 October 1938 Soviet Union, Moscow Siku hii anazaliwa mtoto mwenye akili nyingi sana Jijini Moscow Urusi, Hawa ndio wale watoto ambao huzaliwa mara moja Baada ya...
20 Reactions
166 Replies
7K Views
Mambo vipi mdau wangu wa nguvu, nakushukuru kwa kutenga muda wako na kuwa msomaji mzuri wa makala zangu twende sawa usisahau kufollo ukurasa huu. Leo tuangazie dalili ambazo huwa zinajitokeza...
7 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii post ya East Africa Radio imenishangaza sana, UZINZI UNAENEZWA KWA KILA NJIA SIKU HIZI.
4 Reactions
12 Replies
530 Views
Mengi hutokea kwenye ndoa, wala sina haja ya kuyataja hapa. Ukitoa uvumilivu, huruma ni muhimu sana kwa wana ndoa wote, mwanamke na mwanaume, kila mmoja awe na huruma na mwenzie. Kwa njia hiyo...
8 Reactions
26 Replies
876 Views
Kwenye pitapita zangu mtandaoni nikakutana na hii, Nini maoni yako?
9 Reactions
13 Replies
861 Views
Nimekaa na mke wa mtu nikampa dili kuna sehemu wanahitajika watu kazi ya kutwa data collection 25,000 kwa siku, project ya miezi 2, alichonijibu akasema yupo tayari tena akiipata hiyo kazi huyo...
24 Reactions
40 Replies
3K Views
Wanawake asili yenu ni kuwa na huruma na kujali, lakini imekua opposite hasa kwenye sekta ya mahusiano na mapenzi kwa ujumla. Wanawake wa kipindi kile walikua wanawajali sana waume/wapenzi wao...
9 Reactions
43 Replies
1K Views
Kina dada naombeni jibu. Lady , To yeye, Madame B, Miss Angel ,FaizaFoxy, Money Penny
10 Reactions
122 Replies
8K Views
Mdau kasema ukosefu wa Wanaume "Baba" kwenye malezi ya watoto wa kiume ndio kunapelekea vijana kuwa na mahusiano na wanawake wenye umri mkubwa. Huyu ndio Mwanamke mwenye ujauzito wa Dogo Nb...
3 Reactions
13 Replies
415 Views
Mkeo akizaa mtoto wa nje ya ndoa na akakiri kuwa ni kweli, huyo mtoto ni wa nje, usimfukuze. Msamehe mke ila chunguza ni kwanini amezaa nje ya ndoa, ukishaijua sababu, basi ikabili hiyo sababu.
7 Reactions
151 Replies
4K Views
Nimefurahi sana kuona mwanachama mwenza wa UWABATA akipangua Ombi kutoka kwa Mrembo. UWABATA IDUMU! Umoja wa Wanaume Bahiri Tanzania (UWABATA).
7 Reactions
18 Replies
890 Views
Chukua hiyo mtu wangu, Usikione kidada cheusi tii kinapita ukakidharau. Hicho ndo kimebeba asali mbichi huko chini. Ile yenyewe kabisa ya nyuki wa kienyeji.
31 Reactions
108 Replies
5K Views
Usimpende kupita kiasi, Usikasirike kupita kiasi, Usishauriwe kupita kiasi, Usiongee kupita kiasi, Usijitolee kupita kiasi, Usiwaze na kuvumilia kupita kiasi, Usile na kulala kupita kiasi...
6 Reactions
27 Replies
859 Views
Back
Top Bottom