Sisi tunaoishi maisha halisi huwa hatupendi kuwa karibu na jamii ya watu wanafiki, chawa, waongo waongo, wanao-'pretend', au wanao 'fake' maisha; kwa sababu tunajua hayo si maisha yao halisi na...
Ingependeza uzi huu uchangiwe zaidi na wanaume wenzangu maana naimani Hawa wanajua stuation ninayo pitia,
Wanaume wenzangu ipo hivi, mm mwenzenu ni kijana above 27 yrs, Nina mke na mtoto mmoja...
Katika maisha Kuna wale akina sisi ambao Kila tutokapo mihangaikoni tunapitia mahali kuchamba koo kidogo alafu ndo turud magetoni, katika moja na mbili Kuna mahali nimekuwa napendelea kwenda hapo...
Mke wangu amepata kazi mshahara wake ni mkubwa zaidi yangu na mkataba wake unasema atakuwa anatembelea gari ya kampuni wakati mimi sina hata gari. Nataka kumkataza asikubali hiyo kazi, je niko sahihi?
"Usimpoteze mwanamke mwema kwasababu alijamiiana na mwanaume mwingine kwa bahati mbaya"
Hapo kwenye uwanja wa comment tujitahidi ziwe fupi fupi, pole pole tusikanyagane.
#Repost #EARadio
Habari wanajf,
Kipindi tupo O level tulikuwa tunakatazwa kuingia kwenye mahusiano huku tukiambiwa tutayakuta chuo.
Tukaenda advance tukaendelea kutiwa moyo zaidi huku tukisisitiziwa kwamba chuo...
Hapo vip!!
Kuja jambo moja huwa linanishangaza,eti unalikuta lijamaa jeusi,alafu anawatoto weupe.. na yeye anajisifia eti nimetoa rangi ya mtume..hiyo rangi umeitoa kutoka wap?
Hivi mzungu...
Nimekuwa nikisafiri mara kwa mara mikoani kikazi kwani nature ya kazi inahitaji kusafiri ili kutekeleza majukumu.
Nipo kwenye ndoa kwa muda mwa miaka 5 hadi sasa na tumejaliwa kupata mtoto mmoja...
Anaandika Robert Heriel
Chunguzi zangu zinaonyesha kuwa kuna uhusiano wa karibu wa Maumivu ya Mwanamke na upendo wake. Wanasema chungu tamu.
Chunguzi zangu zinaonyesha kuwa kadiri Mwanamke...
Ndugu zangu salaam sana
Nimeamua kwa akili zangu mwenyewe kuishi na mwanamke kabla mwaka huu haujaisha
Ila kama tujuavyo huko enzi na enzi hawa wanawake wa kimachame walijulikana kama...
1. Wanawake wazuri (warembo)
Hawa ni wale wanatumia uzuri wao kama njia ya kujipatia kipato ukioa hawa, hakikisha unakua na fedha kila wakati
2. Wanawake waliosoma ngazi za juu za elimu mf...
Umri wangu bado nipo 20s nina kijana wangu wa miezi6 nampenda japo sio sana.. sijajua kama atanioa ama la,
Miezi kazaa nikiwa kazini kwangu alikuja mzee wa makamo yaani umri wa baba angu mdogo…...
Nyie mnaotaka kuingia kwenye ndoa mnapoambiwa shinda na raha sio Kila shida na Raha mnaweza kuvumilia.
Kuna mambo madogo yanaweza kusababisha shida na Raha kuwa ugomvi.
Msimu huu wa mfungo...
Hapo unaambiwa mtu alifariki watu wakashindwa kumtambua kwasababu sura na sehem zingine za juu, ila dushelele ikawa haijaharibika inaonekana vizuri.
Unaambiwa mwana mama huyooo akaangalia...
Ni kama jini si jini!,labda niseme mzuka lakini ni mzuka gani unawezakuwa mzuri kiasi kisichoelezeka..??!
Kufupisha mambo sitasimulia nimekutananae vipi ila baada ya majuma kadhaa yakuzoeana...
Huyu Mwanamke alikua ni Ex wangu wa muda tu, ndo mpenzi wangu wa kwanza kipindi naanza chuo 2019, tupo mwaka mmoja wote.
Sikupata tabu sana kumpata maana alianza kuonesha dalili za kunipenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.