jamani wapendwa. Hivi mapenzi au watu waliokutana katika mitandao ya kijamii na kufunga ndoa. Mapenzi yao huwa sawa na walio kutana misikitini au makanisani? Au ndo vululu valala kama style ya...
PP=People principles
Hellow wana MMU.
Napenda katika series zangu za PP niongelee "M" ya kwanza kati ya herufi tatu za MMU
(Mahusiano,Mapenzi na Urafiki).Lengo ni kuongeza wigo wa discussions na...
WAZAZI, in wezekaje mtu ambaye mm ndiye nayeoa au kuolewa mnitafutie? hapana jamani hii tabia ningependa tuikomeshe kwan inatuambisha na tuishi kwa wasiwasi je wadau mnasemaje iendeleeee au istopishwe
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie...
Hbr wana jf,nimepata msiba.Baba yangu mkubwa amefariki usiku wa kuamkia leo.Kwa wale wenyeji wa nzega mnaweza kuwa mnafahamu,alikuwa bwana afya ktk hospitali ya wilaya.
IN CHURCH sisters are complaining the brothers are boring, out there Women claim the men are irresponsible and non committal.
College girls say their fellow men are broke and young, in offices...
Kila mmoja wetu anajua nini anachohitaji kwenye mahusiano na kinapokosekana ama kuwepo zaidi ya alichotaka anaweza akavunja mahusiano hayo.
Kuna watu wanaopenda kuwa na 'YES' kinda man/woman. ...
Ebana,kuna mtoto nimempata hapa chuo,ye kwao ni hapa hapa dsm,sa kanambia ka nataka kumbanjua bac nitafute sehemu ambayo iko nje kdogo ya mji,so wakuu mnaoijua dar vzr, ebu nipeni mwongozo,ni...
Juzi tulikuwa sehemu na mada hii ikaibuka! Vipi mwanamke aliyeolewa avae vipi? Huyu dada aliyepekea hoja ianze ni mnene asiye na upungufu wa nyama mwilini! Bantu haswa! Lakini kavaa 'skini taiti'...
kuna binti nilimtokea na alikubali kuwa mchumba wangu. Baada ya mwezi mmoja iv nilienda kumtembelea kwao na kumkuta akiwatukana wazaz wake livelive, kuanzia siku hiyo mayon mwangu nilimtoa kabisa...
Kila unavyopata elimu kuhusu jambo fulani, kiwango chako cha uelewa kinakuwa juu kuliko,
Yapo mambo ingawa unayajua kabisa lakini huyapi kipaumbele kutokana na mazoea.
Katika mapenzi swala...
Mapenzi asili yake ni upendo,
kupenda sio dhambi hata rais anajua kupenda, Tunapopendana Mungu anatupenda zaidi
lakini wengi tunaharibu upendo kwa kukosa umakini. Upendo unatakiwa kubaki upendo...
Leo hii ndoa nyingi sana zimeingiliwa na kujihami kwa aina mbalimbali, lakini aina kubwa au inayofanywa sana ni ile ya kuhamisha (Displacement). Kwa mfano, mabosi wetu wanapotuudhi ofisini...
Habari zenu Wana Jf
Hayo maneno (Ikimegwa haifanyi alama) nimepewa na mpenzi wangu ambaye nimemgaramikia kwa mambo mengi
na nilikuwa na mipango mingi sana juu yake.
Baada ya kumwambia asivae...