Rafiki yangu ambaye anatarajia kufunga ndoa mwanzoni mwa mwezi wa Tano, baada ya kumtaka mapenzi mpenzi wake kabla ya kufunga ndoa, mpenzi huyo amemkatalia katakata kwa kile alichodai kuwa anaweza...
Kutwa kucha kusengenyana na kusemana vibaya.
Kuoneana wivu na kijicho.
Kusingiziana mambo mabaya na yasiyo ya kweli.
Kuombeana mabaya.
Kuchukuliana waume/mabwana/wapenzi.
Huku mnajifanya marafiki...
Unamdanganya msichana wa watu,huna girlfriend,kumbe unae,unamdanganya mvulana wa watu,upo pekeyako,kumbe wapo wengi.Ipo siku woteee watakukimbia,utawatafuta utakuta wameshaoa au kuolewa..Usijesema...
Kumekuwepo na wimbi kubwa la wanawake wenye ndoto ya kuwa na makalio(makadi) makubwa kwa njiayeyote ile ,alimradi makalio yake yatutumke inapofika kwa wanaume makalio (makadi) yamekuwa ni moja...
Wakuu,nikiwa natimiza miaka kadhaa siku ya leo,nina furaha kubwa maishani mwangu.Pamoja na malezi ya watu wangu wa karibu,Watu wote wa Jf,wake kwa waume mmeyabadilisha maisha yangu.Ni mizigo mingi...
Mwanamke kamili ni mwanamke ambae anajiweza kihisia na kifikra, mwanamke ambae sio tegemezi wala maisha yake hayatawaliwi na kuzira.
. . Badala ya kuzira unajieleza.
Mwanamke ambae anaifahamu...
Being in relationship ain't something simple and sometimes ain't difficult as well.
We always face some difficulties that creates questions, lots of questions,
here are some Questions that I've...
Nikiwa na my girlfriend asomaye udom week end hii nikiwa nimekwenda kumtembelea kama kawaida tukaanza kupiga story za hapa na pale tukiwa chuoni pale nikiangalia mazingira mazuri ya chuo kile mara...
Wajameni salaam kwa mpigo.
Ukubwa dawa wajameni......
Hii biashara ya mabinti na baba zao kuwa "washkaji" sijui imetokea wapi. Jana nlikapeleka kabinti kangu kapendwa shule kuanza maisha rasmi...
Ukweli elimu inamsaidia mtu kuwa na ufahamu katika maisha na kujua jinsi ya kukabidhi changamoto za maisha na kadiri mtu unapozidi kusoma ndivyo ufahamu na uwezo wa kupambanua mambo unakuwa...
Habari zenu wapendwa MMU...naomba kujuzwa uzoefu (xperiensi) na mikakati kama mtu ana elimu ya juu kiasi amempenda na ameoa mwanamke elimu yake ndogo kama hiyo anaweza kumwendeleza vip ili apate...
Kuna watu katika nahusiano wanaamini jatika kuagana. Wengine hawaamini katika hilo. Siyo katika kuaga tu bali pia katika kuulizana. Kwa mfano, mtu akitaka kutoka anaweza kukuuliza "unakwenda wapi"...
A popular motivational speaker was entertaining his audience.
He said : 'The best years of my life were spent in the arms of a woman who wasn't my wife!'
The audience was in silence and...
Ni girl wangu wa cku nyngi sana{ie tangu primary},tulikua tukisaidiana mambo mengi tu,though smtym tulikua tunaznguana na baadae tunasameheana,last tym{ilikua mwaka jana mwezi wa 10} alnambia ana...
The If Love (ikiwa unamtimizia mahitaji yake hususan pesa hawezi kukuacha but if poverty comes in through the door, love fly out through the window)
Because Love (Kwa sababu unamridhisha hususan...
Pale inapofikia kuandika jina la mpenzio mwilini mwako tena kwa permanent ink, huwa unakuwa unafikiria nini?
Pale mwanzo unapoingia kwenye mahusiano akili yako yote haifikiri je ikitokea siku...
Jamani kulala ni amani na ni pumzisho la mwili na ukiwa umelala saa nyingine hutaki kitu kikuguse na hasa hii uendana na mazingira husika!Mara nyingi wanawake wana milalo tofauti na wanaume labda...