Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

habarini, hivi inakuaje mtu anapenda kiasi kwamba akiachwa anajiua? na kwanini mapenzi yanatesa watu kiasi hicho?ninaombeni ufafanuzi great thinkers!
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kwanza nilishikwa na hacra juu yake, nikajiuliza ana matatizo gani huyu mdada? hakika niliamini kuwa either hana akili timamu au ni limbukeni wa mawazo. Yaani nikawaza miaka mi3 tangu mtengane...
5 Reactions
121 Replies
7K Views
Naandika kwa masikitiko. Imemtokea rafiki yangu kipenzi. Alikua na mahusiano na kijana mmoja, wanatambulika hadi kwa wazazi. wakiwa kwenye prosess za kwenda kulipa mahari of which ilipangwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF. Nina rafiki yangu na ni jirani yangu wa karibu ambaye katika story mara nyingi alipenda kumsifia mumewe kuwa ni mwaminifu kupita kiasi hawezi kumcheat. Kumbe inaonekana jamaa...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Leo nimeudhuria msiba wa mwanafunzi mwenzangu,ambaye amefiwa na mama yake mdogo,...katika msiba huo mengi yalijitokeza lakini moja kubwa ni hili la kimada wa mume wa huyo marehemu,....kimada huyo...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kina dada, kina kaka, ipi au zipi mnakubaliana nazo na zipi mnakataliana nazo? indicate tu mfano, 'namba 2', n.k Source = Source: About Lustability During the months of research which have gone...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Akina Zuhura tabia zao bana hazina tofauti sana na za akina Rose,wakati akina Rose hupenda kutembea na waume za watu,akina Zuhura wengi wana watoto wa nje ya ndoa!Aidha wamezaa kabla ya kuolewa au...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
NOTE : KABLA HUJASOMA HAPA ANZA NA SEHEMU YA KWANZA KUNA THREAD ILIOITANGULIA HII. Bebiy alifika ktk mji aishipo Dadaake Riza. Wakati wa mapokezi (namnukuu Riza) Hee...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
nimetokea kumpenda sana kijana mmoja hivi kiasi cha kutamani awe mume wangu! ana qualities zote ninazozitaka na ameshika dini pia. tatizo ni kwamba nimekuwa nikimpenda muda mrefu sana lakini...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Hivi majuzi tu nilitoke kukutana na msichana mmoja ktk eneo langu la kazi, ktk kushare some ideas nikagundua huyu mdada alitokea kunipenda/kunitamani. 1day tukiwa duka la jirani na offiisini huyu...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Wana JF ebu nisaidieni hili, ni kweli mapenzi yanaagalia umri?kwa kiwango gani?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Alikuwa na kazi yake nzuri. Lakini nampenda sana kiasi kwamba nilikuwa namuonea huruma sasa nimemwachisha kazi ili asipate tabu. Halafu kuna suala la wivu. Huko alikokuwa anafanyia kazi kuna...
0 Reactions
132 Replies
7K Views
..when i am asked "<EM>would</EM> you help me please?" it gives me an opportunity to help, <BR>and i am more than willing to support her, but when I hear "<EM>could</EM> you help me please?" I...
0 Reactions
1 Replies
628 Views
Tangu nimeanza mahusiano sijawahi kabisa kupenda ila nasikia watu wanalalamika kuhusiana na mpenzi wengine wanafikia hatua ya kujiua kwasaabu ya mapenzi. Huwa najiuliza nikipi hasa kinamfanya mutu...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari jf . CJUI KAMA ILISHATOLEWA AU LAAHA,BUT ELIMU HAINA MWISHO. Napenda nizungumze na wale walio kwenye mahusiano,wapenzi. Ni vyema Wapenzi mkawa mnazungumza kwa undani kabla mjafanya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Vigezo vinavyo/vilivyotumiwa na wanawake kupata wanaume kuanzia miaka ya 1960: 1960s----kutafutiwa/kufosiwa na wazazi 1970s----tabia njema 1980s----family status 1990s----u-handsome na mwili...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
I love you neno hili bado limebeba maana ileile au ni kama groceries?
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Ni mara nyingi tumekuwa tukisikia kuwa "mwanamke akipenda huwa kapenda kweli". Je, wanaume tusubiri kupendwa ili tuepuke kuumia au tuendelee kupenda na tukubaliane na hali halisi iliyopo (maumivu)?
0 Reactions
19 Replies
8K Views
Naomba msaada..ni mume wangu nina miaka saba nae some how hajatulia lakini kwa kuwa me ni mwanamke mpambanaji maisha yaendelea kiubishi..yupo mkoani kikazi toka jana usiku saa tatu kazima simu...
1 Reactions
70 Replies
7K Views
Hivi juzi Nilikuwa napita mahali mara nikawaona wazee wawili wamesimama kimtindo kwenye kona ya nyumba (babu around 70s na bibi 60s) nikashikwa na udadisi nikabana karibu yao na kusikiliza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…