Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Imefikia mahali tuanze kuzungumzia tabia za watu zinapotokea ili kama unaamua kufanya jambo au kuanzisha uhusiano ujue unachofanya.Maana malalamiko yamezidi kila siku huyu kamtenda huyu mara sijui...
1 Reactions
103 Replies
7K Views
Hivi karibuni nimesoma utafiti katika makabrasha yangu kuhusiana na maradhi mbalimbali yanayowakabili wanawake walioko kwenye ndoa au uhusiano wenye mashaka. Tafiti zinaonyesha kwamba, wanawake...
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Haya wapendwa nawaletea kisa kingine. Kuna mwanamke mmoja mtu mzima, alinifuata nimsaidie kumshauri mpenzi wake aliyenaye angalau akubali kuzaa nae hasa baada ya kukataa kumwoa! Alisema kwa...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Wakati nasherehekea siku yangu ya kuzaliwa kuna kituko kimewahi kunitokea nimekikumbuka sana leo. Kuna binti mmoja amewahi kutangaza ana mimba yangu wakati hata kusalimiana naye sikuwahi. Halafu...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Ndg zangu WanaJF! Hili nimependa niwajuze tu! Yule Mmasai aliyekuwa anatangaza bia ya kampuni ya TBL kwa kutoa advertise ya kukimbia na kutaka kuruka mto na kudondosha kizibo cha bia ya safari...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
...Ilikuwaje hata ukawa na hili jina? Just curious
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Ni ukweli usiopingika kwamba wanaume sio waaminifu ktk mapenzi ukilinganisha na wanawake! Ktk utafiti niliofanya nimegundua kuwa asilimia 80 ya wanaume sio waaminifu ukilinganisha na asilimia 20...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WanaJF naombeni mnisaidie kwa ili nabishana sana nadadazangu wao wanataka niwaletee mwanamke mzuri tabia sura yoyote, wakati mie naamini mwanamke sura tabia ntambadilisha mana naogopa kuna...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Ndugu zangu, january mwaka huu nilikuja hapa na habari za furaha kuu za kupata mtoto wa kiume (angalia link hiyo hapo chini)...
8 Reactions
137 Replies
9K Views
Wana JF habari... Kitu cha ajabu kimenipata nimeona niweke hadharani, nina rafiki yangu kwa muda mrefu tumekuwa tukiwasiliana, lakini baadaye nikamwambia ukweli jinsi ninavyomzimia...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
....ushauri wandugu...maana huu utamaduni unaonifanyisha nifikirie kwa lugha ya kigeni karibu naadhirika ugenini... nimeletewa zawadi na mlimbwende (namshukuru mungu sina wa kuniuliza nimepewa...
0 Reactions
132 Replies
8K Views
habari za leo ndugu zangu...kuna bf wangu ambaye tulianza urafiki zaidi ya miaka kama 2 na nusu iliyopita, japo tulijuana kwani tulisoma primary pamoja lakini hatukua na uhusiano wowote ule. kwa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
ebwana wee siku hizi naona kwamba most ladies ukiwagusa wanakwambia kuwa ana bf au just from a relationship. sasa wewe kama ndio unaingia kwenye mahusiano ulishawahi kujiuliza uhusano wa mwhisho...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Christmas is a day created by capitalists to increase public spending. HALLOWEEN NIGHTS, BEER FESTIVALS, MOTHERS' DAYS ETC ETC. Do we need all those? A peasant unlike celebrities spends an...
0 Reactions
7 Replies
844 Views
Heshima mbele wakuu!!ebana,me cjui nina gundu gani,yan kila mmanzi nilye wahi kuwa na uhusiano nae lazima anakua amelelewa na mzazi mmoja,wengi wao huwa wamelelewa na mzazi wa kike..ivi kuna...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
When you fall in love, it is a temporary madness. It erupts like an earthquake, and then it subsides. And when it subsides, you have to make a decision. You have to work out whether your roots...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
hivi kwanini mtu unapendwa alaf unakua na pozi? namis meseji zake, namis kis zake, namis kilakitu,najua kama ananipenda lakin kwa nn ananitesa sana
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Yeep JF...Christmass is here again..... Haijalishi upo mabondeni,kijijini au shimoni................we have to celebrate it!! Christmass ni special kwa sababu tumerithi utamaduni huo wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
"Atamwacha baba na mamaye ataambatana na mumewe" ndani kabisa ya moyo wa mwnamke kuna ndoto ya kuchukuliwa na mwanaume mtanashati na mwenye kummiliki, vile vile maisha ya mwanamke mtawala...
11 Reactions
113 Replies
18K Views
KUNA mdau kanitumia hii, isome, ni kweli?Mapenzi ni kitu kisichodumu kwa muda mrefu (do not last longer or is something temporary). Ni kwa sababu ya mapenzi (?) leo upo na uliyenaye na unajihisi...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom