Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

habari zenu wapendwa! mume wangu alikwenda site tunako jenga, alikwenda tangu asubuhi, akarudi sa 8 usiku, na alipokuja nilimfungulia mimi na akalala tv room, ila anachonishanga akiwa site huwa...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Nawaomba members wapenzi wa kiswahili na sanaa ya ushairi tubalidishane maoni na baadhi tungo za kishairi ili kuboresha lugha na kuinua hadhi yake. naomba nipeni maoni yenu kuhusu "kilio changu...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna mdada yuko raskazone- tanga,alikosea namba, simu ikaingia kwangu,nikapokea fresh thn me nkamwambia kakosea number,toka cku hyo mdada wa watu hapitishi cku bila kunipigia simu eti asikie tu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
jamani utajuaje kuwa u love someone au u just like someone
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwa nini wanaume wanakuwa wakali wife/girl friend/lover wanapo pewa vitu na watu wengine? Na kwanini kitucha kwanza wanafikiri ni kuwa wamepewa na wanaume? Is it because they do the same to other...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Mwanamake anajua fika kabisa kuna family nyumbani mke na watoto..shida yake sasa amekwisha kutamani ulalale naye hata siku moja,sasa atakapoanza kukuonyesha mapozi mwanzoni..akitoka hapo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari JF, Siku nyingi kidogo sikua nimeingia kwa jukwaa kwa sababu ya majukumu ya hapa na pale lakini leo nmebahatatisha ka mda kiddogo. Nimejikuta nikiwaza, na nikahitimisha kua tunahitaji...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza hili swali kila siku, Wana JF ambao mmeajiriwa maofisini, hivi huwa mnapata muda kweli wa kufanya kazi za ofisi? Na mada mnazoposti hususan za mahusiano huwa mnazipata wapi...
1 Reactions
59 Replies
4K Views
Muda huu tunapoongelea uhuru wa miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika, kuna mwanamke hapa Chan'ombe Dodoma limemshuka, tena looooooooooooooote! Ameolewa ana miaka 9 ktk ndoa yake ingawa hajabahatika...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Kwa muda nimekuwa nikiwachunguza wanawake/wasichana ambao wanaingia katika mahusiano/ndoa kutoka katika familia ambazo wazazi wametengana au waliwahi kutengana. Kwa wachache nilipata fursa ya...
5 Reactions
19 Replies
3K Views
Wadau naomba mawazo yenu. Kuna binti tuko nae chuoni,ila nilifahamia nae zaidi baada ya kuattend conference pamoja hivi karibuni. Tukabadilishana namba na tumekuwa tukichat tu mara kwa mara.saa...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
1. Kuna watu hawawajali wapenzi kwa sababu wapo, thamani ya mpenzi ni pale utakapo mpoteza; 2. Kuna wanawake wenye bikira wanatafuta wakuzitoa, utaitamani lakini haitarudi 3. Kuna wanaume...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Ni kisa cha kweli kunarafiki yangu wa kiume alijiingiza kwenye mahusiano ya kimapenzi na msichana ambaye alikutana nae wakiwa wanachart facebook,na ilichukua mda mpaka anamtongoza,wakakubaliana na...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
haya hebu mniambie unamuitaje huyo wako wa moyo maana majina ni mengi nwdays
0 Reactions
66 Replies
6K Views
Life is like a trade. What is trade? -Trade is any exchange; you give what you have for what you need. -In Trading you release your liabilities and your acquire assets because all of us have God’s...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Unakuta umeenda kwenye show ya msanii flan na mpenzi wako,cha kushangaza huyo mpz wako anajifanya anaenda kumtuza huyo msanii afu anamkatikia mauno as if wanajuana..inanikeraga sana hii tabia.
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Hiki ni kisa cha kweli kimetokea leo Mjini Dodoma. Endelea kupata uhondo............ Mtu anatoka 'guest' kufanya 'mambo' na mpenzi wake. Bahati nzuri ghafla anamuona dada yake naye anatoka...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Ni katika kusherekea miaka 50 ya uhuru. Ninatoa ofa ya kula chakula cha usiku na kuburudika kwa mrembo yoyote wa jf atakayekuwa tayari tuwasiliane 0657 93 83 95. Hppy brthday TANZANIA.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
In her book, Dr. Holly Hein explores infidelity and teaches how to cope with its aftermath. By understanding the motivations behind the affair, betrayed spouses can learn to heal and rebuild...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
habari zenu ndugu zangu
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…