Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Juzi nilikwenda mapumziko Tanga baada ya kuchoshwa na shughuli zangu za kikazi za wikii nzima na foleni za hapa Bongo zisizo na tija! Nikiwa TA nilipata wasaa wa kumtembelea kwa mara nyingine...
0 Reactions
68 Replies
5K Views
Habari za asubuhi mabibi na mabwana.poleni na hongereni kwa kazi. Jana nimehudhuria Send Off ya ndugu yangu.sherehe ilipangwa kuanza saa kumi na mbili na nusu jioni .lakini tuli lazimika kuanza...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Kila siku watu wanapendana na wengine kuachana kutokana na sababu mbalimbali...hili suala la "age mates" kupendana lina tatizo jamani?? Maana nimekuwa nikisikia watu wakili-discourage sana,kwamba...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Habari zenu waheshimiwa,nimeamua kumrudisha mke wangu kwao. Sababu kuu ya kufanya uamuzi huu ni kwamba mie ni mtu wa wanawake wengi nje,kula nyumbani ni kwa mbinde kulala nako kwa week naweza...
2 Reactions
143 Replies
12K Views
utafanyaje ukija gundua kuwa jina alilochagu mke wako kumpa mtoto wenu ni jina ya jamaa aliye kuwa boyfrend wake chuo?
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Najua ukikutana na wanawake 10 barabarani kati yao 9 au wote kumi wametengeneza nywele,yaani wameziondoa kwenye uhalisi wake na wanataka zifanane na za wazungu,waarabu wachina n.k,ukiwauliza...
2 Reactions
50 Replies
9K Views
Baada ya kujibu swali la Gaijin kwenye thread ya mzee Mtambuzi https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/196999-ingependeza-kama-wanawake-wakijibu-swali-hili%85%85%85%85%85.html...
6 Reactions
46 Replies
4K Views
Kila mtu atakubaliana nami kwamba ndoa ni sehemu muhimu ya maisha ya mwanadamu. Hili halina shaka ndani yake. Na wengine husema kwamba kama hujaoa au kuolewa, basi siku zote utahisi kuwa kuna kitu...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Welcome to Aisos The world’s first school of practical sex. Though our courses include both history and modern sexual theory, the emphasis is on how to be a better lover. Sexual positions...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Jamani kisa hiki kimemkuta dada mmoja aliyeko ughaibuni, naomba tukisome na kukielewa. Leo yeye, kesho wewe. mimi nilisha wahi kuwa na boyfriend ambaye alinitoa usichana wangu,kweli yule...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Kama kuna wakati mgumu wakati mwingine kwa wanandoa wapya ni kuchelewa kupata mtoto. Wakati mwingine watu wanaamua kwa makusudi kutopata mtoto mara moja huku wakijitahidi kujipanga vizuri. Mgogoro...
2 Reactions
46 Replies
7K Views
wadau kunamdau aliwahi kupost kuwa alikuwa amempata mpenzi wake na alipodoo naye aligundua kuwa yule mwenzake hana joto yaani ni wabaridi but kuna baadhi ya watu walipost kwa kujokes bt swala hili...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Amani iwe nanyi nyoote! Jamani,hivi ni kwanini JF mko hivi!? leo mtu analeta mada yake,wengine wanaanza kuponda kuwa ni utoto au ufinyu wa mawazo. Kesho,huyo huyo mtu aliyeponda na kukandia mada...
3 Reactions
21 Replies
3K Views
Yaaani umeomba ki date na mwanamke akafika na shosti yake, mkala misosi, mkanywa, ukalipa bili. Baada ya hapo inaingia sms, "ninataka kumkimbia kimeo huyu", mwanamke alikuwa anamtumia shosti wake...
1 Reactions
38 Replies
4K Views
Nimeamua kuanza kuandika series za aina mbali mbali ya jamii kama vile, syansi, elimu, mila na makabila mbalimbali yaliyopo tanzania. Hata hivyo naomba wanajf mniruhusu kufanya hivyo. Nikipata...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Habari za wakat huu watanzania wenzangu!!!ebana,niliwahi kuwa na galfrd wangu tangu tukiwa primary bt mwaka jana mwezi wa 7 alinipga kibuti kwa kisingzio cha kwamba ,eti me ni kicheche{kitu...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
nimesikia mtu akisema kuwa mabasi yanayotoka mikoani kwenda dar,yameanza kupitia barabara ya bagamoyo,je ni kweli?mwenye taarifa atujulishe
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, Nadhani itabid Tupeane Mawazo/Techniques za kuwatuliza hawa Viumbe especially wanapokuwa wame Panic au wana hasira Juu yetu, you can face this katika matukio tofauti tofauti, i think its...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
nimeshindwa kuvumilia Vituko na MAJINA NAYOPEWA kama NYOKA WA KIBISA,Sasa NAFANYA KWELI..... NIKITOTOA NAE TU NAWEKA PICHA. huyo wife wa jamaa si mchezo leo mudda si mmrefu amekja kuazima...
0 Reactions
67 Replies
7K Views
Tafiti zisizorasmi zinaonyesha hiki ni kipindi wanawake wanatongozeka kirahisi tofauti na wakati mwingine katika mwaka,so badboys na alpha man wote mliosingle huu ndio msimu wenyewe si...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…