mwenzio nacheka kwa uchungu, niliolewa mume wangu baada ya miaka sita ya ndoa yetu mume wangu akanitaarifu ya kwamba anataka kuoa mke wa pili, japo iliniuma sikushangaa sana kwani dini yetu...
Wana Jf habari za leo,muwaje na shughuli zenu za kila siku?Nawaombeni kila mmoja kwa kutumia uzoefu wake juu ya masuala ya uhusiano anijibu, ni aina gani ya wanaume wanakuwa kivutio kikubwa kwa...
Habari ndugu zangu.
Juzi nilisafiri kwa basi toka arusha kuelekea mbeya kwa shughuli zangu binafsi. Tulifika makambako jioni jioni, dereva akasimama ili tuchimbe dawa halafu safari iendelee...
Wapendwa Marafiki, Wajukuu na wote wenye mapenzi mema, salaam
Ilikuwa weekend mbaya sana kwa ODM, Baada ya kushtushwa na msiba wa watanzania wenzetu kwenye ajali ya meli haukupita muda...
karibuni nilikutana na mdogo wangu wa kike kwenye daladala. Alikuwa na rafiki yake wa kike wakitokea chuo (sikitaji). Baada ya muda yule shost alishuka nikabaki na mdogo wangu. Tuliposhuka...
Wapwa kila kukicha maisha yanazidi kuwa magumu sana
Vitu vimekuwa ghali sana tofauti na siku za nyuma, unajikuta unasema bora ya jana.
Kwa mm nae kula kwa mama ntilie na kunywea bar za vumbi a.k.a...
Our sexuality is affected so easily by self-esteem, emotional insecurities, pressures, criticisms, and expectations. So to effectively ruin sex for your spouse, follow these steps:
1. Expect sex...
Marriage without stress is a possibility, divorce can be avoided.
When the lord turned again the captivity of His people they became like them that dreamed, Psalms 126 vs 1.Your trial is turned to...
mume wangu huwa anawasiliana meseji za mapenzi na wasichana...halafu la kushangaza ni wa aina tofauti tofauti,nikimwuliza anasema sio wapenzi wake.tena ananiambia niachane na simu yake...nifanyeje...
ndugu wana JF,leo nimeamua kuomba msaada wenu wa kiushauri,,,,!ni mwezi wa 2 sasa tangu nilipofika kwa kaka yangu akiwa anaishi na mke wake,mtoto mmoja na shemeji yake yani mdogo wa mke...
Hivi mtu akiuliza maswali haya ina maana gani katika mahusiano? Je uhusiano unaweza kuimarishwa kwa maswali haya au ni dalili ya matatizo? Kama watu wanamawasiliano mazuri kwanini haya maswali...
Wapendwa,
Najiuliza hivi bado kuna wanaume wanaodanganywa kwa kubambikiziwa mashemeji/madada wa bandia kama anavyolalamika Mbaraka Mwinshehe hapa?
Je kuna limitation yoyote ya shemeji/ madada...
Jamani naombeni ushauri wa dhati katika hili, ni jambo langu mwenyewe. Kuna mdada nampenda sana na nina mwaka mmoja tupo katika mapenzi. Mara kwa mara amekuwa akinishutumu kuwa eti bibi zangu...
Kisa hiki cha kweli kimenisikitisha binafsi na hata jamii yetu ya Kiafrika , Kimetokea hapa wilayani Arumeru katika kijiji maarufu kwa ufugaji wa ng'ombe wa maziwa. Babu amempa mimba mtoto wa...
Anasema tangu waoane na mume wake imepita miaka 6 na sasa wana watoto 2.
Mume wake alikuwa akiishi Dar akifanya biashara wakati yeye akifanya kazi ya ualimu huko MZ.
Baadae mume alimfanyia...
Mara ya mwisho tulikutana sehemu..na kila mtu akachukua namba ya mwenzako...na tokea hapo kila mtu akawa na hisia za kimapenzi na mwenzake....siku namtafuta akaniambia yuko na mtu niliumia...
Baada ya upweke wa miezi kadhaa nimekutana na mwanaume mmoja hivi (ni divorcee) na tumeanza kudate, tatizo marafiki zangu wananicheka wanadai ni mzee sana cuz ananizidi miaka 15. Is it that bad au...
mfano cku mungu akasema kila mmoja akamsalimie mpz wake wa kwanza (first lover) ..........hakuna atakaye mkuta wake home mana kila ukifika utakuta naye hayuko kaenda kumsalimia wake na yy huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.