Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

habari kuna dada mmoja amenieleza kisa hiki kimemtokea hadi sasa anashindwa aamue nini huyo dada kaolewa kwa ndoa ya kanisani miaka 11 iliyopita na wamejaliwa watoto 2 ila karibu kuna tatizo...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
ZAIDI ya nusu ya wanawake walioulizwa wameonyesha kutoridhishwa na tabia ya wapenzi wao kupuuzia umuhimu wa kuchezeana kimwili kabla ya kufanya-sex. Hii ni kwa mujibu wa dondoo za utafiti...
0 Reactions
71 Replies
9K Views
Kauli hiyo siku hizi ni ya kawaida sana, kwani kila uchao watu wanaoana, kila wiki siku hizi utasikia matarumbeta na nderemo kila kona na sio mijini tu bali pia hata huko vijijini watu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Huyu jamaa alikuwa mpnz wangu kwa miaka 2, mwaka jana mwezi wa pili akawa amebadilika analewa sn tukawa tunagombana hatimae tukaachana mwezi wa 4 kila mtu akawa na maisha yake, yeye akapata...
0 Reactions
149 Replies
11K Views
We all know what power does to a person..... I mean kuna watu wakipata madaraka..kazi...elimu...pesa zaidi ya walizokua nazo mwanzo wanaruhusu vitu hivyo vitawale hata utu wao na wanabadilika...
1 Reactions
45 Replies
4K Views
Kwa nini wanawake wenye makalio makubwa wapendwe sana
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wapendwa hamjambo? Ninaomba mnisaidie kufikiri maana sasa naiona dunia ya mapenzi kama uwanja wa fujo tu ambao natamani kama ningeweza kujiepusha nao niuepuke. Nimesoma na kusikia visa vingi...
6 Reactions
159 Replies
10K Views
Kuna wanaume ambao hawataki kabisa kuona mke akiwa na uhusiano wa karibu na ndugu zake (mwanamke). Hataki kabisa kuona mkewe akionyesha kuwa na mshikamano mkubwa sana na ndugu zake. Inawezekana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwanza nawapenda sana watanzania wenzangu popote mlipo Mungu aendelele kutupa amani na utulivu.Kuna binti anaitwa Ester nilikutana nae kwenye treni nikitoka mwanza kwenda dar (chuo),alikuwa ni...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Ila nakupa ushauri mmoja, mwanaume hasifiwi kwa kuwa na maumbile ya kiume, maana hata mashoga wana maumbile hayo, ila kuna sifa ya ziada kwa mwanaume,kuwa na msimao.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu wanaJF. Eti jamani hii issue kwanini inakuwaga hivi? Mwanadada akikushika makalio bwana aaaa.., yani inakuwa shwaari, lakini dume lenzio likikugusa hata ikiwa ni kwa bahati mbaya tu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna jambo linanishangaza sana kwa kushindwa kulielewa ni hili suala la wanawake huwa wanapenda au kutaka nini wawapo katika mahusiano kwani nafikiri huwa hapa ndipo pasipoeleweka na ni chanzo...
0 Reactions
92 Replies
15K Views
A Very Touching Story... A few weeks ago, I was rushing around trying to do some Valentine's Day shopping done. I was stressed out and not thinking very fondly of the weather right then. It...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Experience yangu kuhusu mahusiano inanionyesha kuwa kuna wanawake na wanaume ambao hupendelea kuwasha taa wanapokuwa faragha wakati wengine wanapendelea kuzima taa wanapokuwa kwenye "shughuli"...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Mungu kanijalia mifugo mingi kiasi ambayo iko eneo la Buyuni kata ya Pemba Mnazi, Tarafa ya Kigamboni ambako ndiko shamba langu liliko. Jirani ya shamba langu kuna msikiti na sheikh mmoja...
0 Reactions
86 Replies
7K Views
Truth to be told, for you to find love or to be found by love, you have to strategise, Even after you have found love , or after love has found you, you also need to strategise to keep it. Almost...
3 Reactions
136 Replies
7K Views
Mpenzi msomaji, vipo vituko vingine ukisimuliwa unapata kizunguzungu. Unajiuliza hivi kweli Ndivyo Maisha Yalivyo au ni watu wanabuni staili yao ya maisha mfano wa yale ya `kufikirika`...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Sex...is it a need or want?
1 Reactions
132 Replies
7K Views
Habari zenu wapendwa,hiki kisa kimemtokea clacment wangu wa kike jana, yeye ana boyfriend wake wa siku nyingi tu tangu chuon, ila ana katabia kakumchanganya na vimeo vyake(kazi za nje), bf wake...
0 Reactions
69 Replies
5K Views
Have you ever seen a married couple renew their vows?It’s so beautiful. After years of hardships, things not going the way they thought, and weird traits they didn’t know about, they still say...
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…